Obasanjo: I told Kikwete, "You are now a man without flag!"

Obasanjo: I told Kikwete, "You are now a man without flag!"

Burkinabe

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2023
Posts
2,354
Reaction score
4,024
Asalam Aleykum wapenzi wana JF,

Wakati nafuatilia mchakato wa kumpigia chapuo Raila Odinga ili awe Mwenyekiti wa umoja wa Afrika, Mh. Ruto alifanya hafla na kuwaalika viongozi mbali wa Kiafrika pamoja na viongozi wastaafu.

Mmoja wao alikuwa Rais mstaafu wa Nigeria, Mh. Obasanjo ambaye alipoalikwa kutoa salamu alinishangaza kwa mambo mawili;

Kwanza ni kitendo chake cha kutoa "kirefushaji" na kuwananga waliomwekea kwa kusema, "I am not as short as you think I am."

Pili ni pale alipomtupia "kijembe" Mh. Kikwete kwa kusema, wakati anaingia alitaka akae kwenye "Bendera". Lakini yeye (Mh. Obasanjo), akamwambia " You are now a man without flag"!

Hili kwa kweli binafsi limeniacha na maswali mengi sana.

Mh. Obasanjo hapa alitaka kufikisha ujumbe gani kwa Mh. Rais msitaafu?
 
Asalam Aleykum wapenzi wana JF,
Wakati nafuatilia mchakato wa kumpigia chapuo Raila Odinga ili awe Mwenyekiti wa umoja wa Afrika, Mh. Ruto alifanya hafla na kuwaalika viongozi mbali wa Kiafrika pamoja na viongozi wastaafu.

Mmoja wao alikuwa Rais mstaafu wa Nigeria, Mh. Obasanjo ambaye alipoalikwa kutoa salamu alinishangaza kwa mambo mawili;

Kwanza ni kitendo chake cha kutoa "kirefushaji" na kuwananga waliomwekea kwa kusema, "I am not short as you think I am."

Pili ni pale alipomtupia "kijembe" Mh. Kikwete kwa kusema, wakati anaingia alitaka akae kwenye "Bendera". Lakini yeye (Mh. Obasanjo), akamwambia " You are now a man without flag"!

Hili kwa kweli binafsi limeniacha na maswali mengi sana.

Mh. Obasanjo hapa alitaka kufikisha ujumbe gani kwa Mh. Rais msitaafu?
Chanzo cha habari. Au ndio zile stori za vijiweni?
 
"Man without flag" inaweza kuwa na maana mbili za haraka;

- He is no longer a president of Tanzania, so bendera ya Tanzania now inabebwa na Samia.

- Amekuwa mwakilishi wa jumuia ya kimataifa kwenye mambo tofauti, hawakilishi nchi moja pekee, so being a man of no flag means ni wa wote.
 
"Man without flag" inaweza kuwa na maana mbili za haraka;

- He is no longer a president of Tanzania, so bendera ya Tanzania now inabebwa na Samia.

- Amekuwa mwakilishi wa jumuia ya kimataifa kwenye mambo tofauti, hawakilishi nchi moja pekee, so being a man of no flag means ni wa wote.
Ooh, kumbe!
Anyway, kujifunza ni suala endelevu.
Ahsante sana Mkuu.
 
"Man without flag" inaweza kuwa na maana mbili za haraka;

- He is no longer a president of Tanzania, so bendera ya Tanzania now inabebwa na Samia.

- Amekuwa mwakilishi wa jumuia ya kimataifa kwenye mambo tofauti, hawakilishi nchi moja pekee, so being a man of no flag means ni wa wote.
You are the genius of language
 
Haiwezekani Genius kuzaliwa Pwani
Umeamua kuwaonea watani zetu ?!!

Huko pwani hawali samaki?!!

Samaki wana "omega 3 fatty acid"...inaongeza sana akili...wajaluo wanajua ,wanyakyusa wa Matema wanajua...wa ziwa Tanganyika hivyo...wa jirani na ziwa victoria the same....
 
"Man without flag" inaweza kuwa na maana mbili za haraka;

- He is no longer a president of Tanzania, so bendera ya Tanzania now inabebwa na Samia.

- Amekuwa mwakilishi wa jumuia ya kimataifa kwenye mambo tofauti, hawakilishi nchi moja pekee, so being a man of no flag means ni wa wote.
Naonaa hiyo ya kwanzaa, ndo kamaanisha Obasanjo. Lol
 
Umeamua kuwaonea watani zetu ?!!

Huko pwani hawali samaki?!!

Samaki wana "omega 3 fatty acid"...inaongeza sana akili...wajaluo wanajua ,wanyakyusa wa Matema wanajua...wa ziwa Tanganyika hivyo...wa jirani na ziwa victoria the same....
Akili is more of heredity kuliko kula samaki au chakula kingine. Virutubisho vinapatikana kwenye organism aina mbali mbali.
Ukanda wenye ndizi je? hauna uhusiano na watu wenye akili?
Hata hivyo, hoja yako yahitaji utafiti rasmi, twaweza kupata kitu humo.
 
Back
Top Bottom