Obasanjo: I told Kikwete, "You are now a man without flag!"

Obasanjo: I told Kikwete, "You are now a man without flag!"

Asalam Aleykum wapenzi wana JF,

Wakati nafuatilia mchakato wa kumpigia chapuo Raila Odinga ili awe Mwenyekiti wa umoja wa Afrika, Mh. Ruto alifanya hafla na kuwaalika viongozi mbali wa Kiafrika pamoja na viongozi wastaafu.

Mmoja wao alikuwa Rais mstaafu wa Nigeria, Mh. Obasanjo ambaye alipoalikwa kutoa salamu alinishangaza kwa mambo mawili;

Kwanza ni kitendo chake cha kutoa "kirefushaji" na kuwananga waliomwekea kwa kusema, "I am not as short as you think I am."

Pili ni pale alipomtupia "kijembe" Mh. Kikwete kwa kusema, wakati anaingia alitaka akae kwenye "Bendera". Lakini yeye (Mh. Obasanjo), akamwambia " You are now a man without flag"!

Hili kwa kweli binafsi limeniacha na maswali mengi sana.

Mh. Obasanjo hapa alitaka kufikisha ujumbe gani kwa Mh. Rais msitaafu?
Acha upotoshaji kenge wewe.
Mwenyekiti wa AU lazima awe Rais aliyepo madarakani. Raila ni Rais wa nchi gani?
Ndiyo maana kikwete aliambiwa a man without a flag.......maana yake si Rais tena.
Kenge wewe.
 
Ile nafasi alipaswa kuochukua Kikwete ila amezembea,wewe ni a man without a flag.

Anamaanisha Kikwete atafute bendera ya kimataifa sasa.
 
Asalam Aleykum wapenzi wana JF,

Wakati nafuatilia mchakato wa kumpigia chapuo Raila Odinga ili awe Mwenyekiti wa umoja wa Afrika, Mh. Ruto alifanya hafla na kuwaalika viongozi mbali wa Kiafrika pamoja na viongozi wastaafu.

Mmoja wao alikuwa Rais mstaafu wa Nigeria, Mh. Obasanjo ambaye alipoalikwa kutoa salamu alinishangaza kwa mambo mawili;

Kwanza ni kitendo chake cha kutoa "kirefushaji" na kuwananga waliomwekea kwa kusema, "I am not as short as you think I am."

Pili ni pale alipomtupia "kijembe" Mh. Kikwete kwa kusema, wakati anaingia alitaka akae kwenye "Bendera". Lakini yeye (Mh. Obasanjo), akamwambia " You are now a man without flag"!

Hili kwa kweli binafsi limeniacha na maswali mengi sana.

Mh. Obasanjo hapa alitaka kufikisha ujumbe gani kwa Mh. Rais msitaafu?
Kuwa ameshastaafu apunguze kiherehere.
 
Asalam Aleykum wapenzi wana JF,

Wakati nafuatilia mchakato wa kumpigia chapuo Raila Odinga ili awe Mwenyekiti wa umoja wa Afrika, Mh. Ruto alifanya hafla na kuwaalika viongozi mbali wa Kiafrika pamoja na viongozi wastaafu.

Mmoja wao alikuwa Rais mstaafu wa Nigeria, Mh. Obasanjo ambaye alipoalikwa kutoa salamu alinishangaza kwa mambo mawili;

Kwanza ni kitendo chake cha kutoa "kirefushaji" na kuwananga waliomwekea kwa kusema, "I am not as short as you think I am."

Pili ni pale alipomtupia "kijembe" Mh. Kikwete kwa kusema, wakati anaingia alitaka akae kwenye "Bendera". Lakini yeye (Mh. Obasanjo), akamwambia " You are now a man without flag"!

Hili kwa kweli binafsi limeniacha na maswali mengi sana.

Mh. Obasanjo hapa alitaka kufikisha ujumbe gani kwa Mh. Rais msitaafu?
Hasimamishi bendera😌😌😌😌
 
Akili is more of heredity kuliko kula samaki au chakula kingine. Virutubisho vinapatikana kwenye organism aina mbali mbali.
Ukanda wenye ndizi je? hauna uhusiano na watu wenye akili?
Hata hivyo, hoja yako yahitaji utafiti rasmi, twaweza kupata kitu humo.
Enyi watu,akili ni nini?
 
Umeamua kuwaonea watani zetu ?!!

Huko pwani hawali samaki?!!

Samaki wana "omega 3 fatty acid"...inaongeza sana akili...wajaluo wanajua ,wanyakyusa wa Matema wanajua...wa ziwa Tanganyika hivyo...wa jirani na ziwa victoria the same....
Pwani ipi ambayo hawali samaki kweli wasukuma hamna akili
 
Akili is more of heredity kuliko kula samaki au chakula kingine. Virutubisho vinapatikana kwenye organism aina mbali mbali.
Ukanda wenye ndizi je? hauna uhusiano na watu wenye akili?
Hata hivyo, hoja yako yahitaji utafiti rasmi, twaweza kupata kitu humo.
[emoji1787][emoji1787]
Hakika...

Ndizi zina mchango mkubwa....

Endelea kufanya tafiti mwaisa...
 
Back
Top Bottom