Observation yangu kwenye stori ya Le Mutuz

unamlipia kodi wewe
 
Umenikumbusha ile stori wameumia watu sita na mgogo mmoja!
 
1. unatumia ID feki, in other words hatukufahamu kabisa , mwenzio anajulikana na unajua ni nani na came out boldly to write the facts, so wa kuja kupinga ni aliyekuwa mkewe

looser
1. Swali la 1
JIBU: Hapa yeye anatoka wapi ? topic ni lemutuz.pili kwani kujulikana ni mafanikio ? ok labda kwa kufirw$ kwake na kiba100,jitu zima linakaa kwao.

2. Le mutuz ameweka sababu moja watanzania walikuwa wanamchukia mkewe , kijana alijikita kwenye hiyo hizo zingine ukasimuliane naye ww ,hapa ni kwa nini mkewe aluchukiwa?

3. JIBU: U must be like lemutuz brain wise

4. JIBU : Mkuu hii inge faa kama mngekuwa mnafanya Masters in Kib100 and Lemutuz imaturity management,too scrutiny

5. who is bashite? anaingia vipi kwenye hii story?
Mfano unaruhusiwa kumuingiza yoyote au kuna mahali au kanuni za JF zimekataza ,kwani si kweli ana vyeti feki na kweli anapendwa na mkuu ,na kweli watu wengi hatumtaki mkuu
 

- Nilikua na Rafiki mbongo Peter na ni rafiki yangu mpaka leo tunaongea kila siku kwa simu, nilisema kwenye my story wabongo wote wanyonge wa fikra ndio waliokua wananichukia, na sikua na tatizo kuchukiwa nao my ex alikua na akili ya kinyonge sana kama hao wenzake ndio maana wakaungana pamoja,

- Kuna mengi sikuyaandika ila yatakuwemo kwenye kitabu, cause I was too much of a man Wanaume wengi wakawa wanaonekana sio wanaume kwa wanawake wao kunilinganisha na mimi na maisha yangu, nilikua sinywi pombe wala kuvuta sigara nilikua nafanya kazi na kujisomesha mwenyewe na kutunza familia, hakuna mbongo aliyeweza kujaribu kuishi na mke miaka 5 bila kazi kama mimi, now kilichokuja kuwaudhi sana Wabongo ni mke wangu kupata kazi ubalozini baada ya kukaa bila kazi miaka 5. Kazi ya Ubalozini kwa wazamiaji majuu ni impossible hapo palikua na chuki kubwa sana.

- Ila naomba kusema tena na tena kwamba Wabongo wa New York hawakua sababu na nimesema sana kwenye story yangu na nitairudia vizuri kwenye kitabu,

- Hii thread imeanzishwa na mtu ambaye tayari nimeshaona anakotokea na anakotaka kwenda hahahahaha lakini atapiga ukuta tu maana ni ngumu sana kushindana na FACTS, karibu sana mkuu ila usikimbie hahahahaha!

le Mutuz
 

- Kumbe kuishi kwenye nyumba ndio mafanikio kwa bongo hahahaha I am sorry hata Rais Trump anaporudi nyumbani kwake New york anaishi kwenye Apartment ya kupanga kama mimi, na infact ninapoishi wapo Matajairi kibao wa kihindi wanaomiliki uchumi wa Tanzania kumbe nao ni failures wa maisha kwa muono wako kwamba hawana nyumba? hahahaha nimekusoma sana hahahahaha!

le Mutuz
 
eti baharia
huwezi kuwa baharia halafu ukawa bwege la kujipendekeza vile
asingekuwa mtoto wa waziri angetoka?
kuna mengi tu anaficha na mengi anaongopa huyo jamaa
akili yake ya sasa inaakisi akili yake ya zamani

- Sema ukweli umekuumiza sasa unatapa tapa maana huna pa kutokea, kila mtu na itikadi zake kama wewe unavyojipendekeza kwa Chadema na mimi ni hivyo hivyo kwa CCM kama kuwa na itikadi ni kujipendekeza, hahahahaha imagine huna ishu sasa tatizo limekua kujipendekeza? hahahahahahaha

le Mutuz
 
Alitaka kunywa sumu duuh
 
Majuu hamna vijiwe utakufa njaa
 
Alitaka kunywa sumu duuh

- Hahahahaha sijawahi kuwa na shida na mabebezz mpaka ninywe sumu kwa sababu ya MWanamke hahahaha, hivi unaweza kunywa sumu ukapona? ok lets say ni kweli mbona sijanywa mpaka leo? hahahahahaha chezeya FACTS na bado zinakuja kwenye kitabu yaani mtaelewa somo tu hahahahaha!

le Mutuz
 


Kama ulimsoma,alisema eti Wabongo walikua wanamchukia sababu alikua ana kazi yenye hela kubwa sana ya kuendesha malori ya kuzoa uchafu!!!

My ribs!
 
- Ungesema kibamia ambcho umeshawahi kupitiwa nacho ingekua na nguvu ila kusema sema tu hamna nguvu ya hoja hahahahahaha

le Mutuz
Baba Shikamoo, na salam zikufikieee.

Kiukweli pamoja na yote niliyosoma kuhusu wewe, bado nakuhukumu kwamba Unatatizo kichwani kwako.

Nenda Kawaone wana saikolojia wakusaidie tatizo la kuachana na mambo ya kitoto
 
CC Al-Watan Kiranga Nyie mnaishi New York, Le Mutuz kasema mlikuwa wanafki sana kwake.

Sasa inakuaje mlimnyanyapaa ndugu yenu ughaibuni?
 
Baba Shikamoo, na salam zikufikieee.

Kiukweli pamoja na yote niliyosoma kuhusu wewe, bado nakuhukumu kwamba Unatatizo kichwani kwako.

Nenda Kawaone wana saikolojia wakusaidie tatizo la kuachana na mambo ya kitoto

- Yaani kama yapi hayo? nisaidie utoto ni upi hasa? please help me

le Mutuz
 


Kuna sababu kwanini walikuchukia!

Who are you watu wakuchukie tu?Huwezi tuaminisha uongo namna hiyo.

Sababu ipo sema wewe labda huijui,lakini ni lazima ipo.

Pia kwenye zile paragraph zako,kuna mahali ulijinasibu huenda wanakuchukia sababu ulikua na kazi inakuingizia pesa nyingi sana zaidi yao eti kwa kazi ya kuendesha malori ya kiduwanzi,of which is merely hoax na kujifagilia tu maana ulikua unajua true incomes za hii population mpaka uongee hivyo?

Ni vizuri mwanamke nae angetoa yake tujue ukweli,sababu hana platform na umaarufu wako,hana pa kusemea ukweli upande wake.

Nachojua,wanawake hawamuachi mwanaume anaewatomba kisawasawa na upendo,etc hivi hivi tu,ana sababu na hiyo sababu wewe mwanaume ndio chanzo..

I wonder,hii kitu ya wewe kujipa imani kua wewe sio chanzo yeye ndio chanzo sijui unaipata wapi?How can you 100% conclude that wakati muhusika hajaweka yake hadharani juu yako?

Kuna tatizo kubwa sana fundamental,na nikijigeuza mpiga ramli wewe Lemutuz ndio source whether unajua au hujui!
 
- Huu ni uswahili at best eti hoja ni nini hapo? hahahahahahaha

le Mutuz


Hoja ni mwanaume kujitangazia ufalme wa kipato zaidi ya wanaume wengine ambao infact hajui their incomes in real numbers...ni utoto wa hali ya juu!
 
- Huu ni uswahili at best eti hoja ni nini hapo? hahahahahahaha

le Mutuz
The king of all bongo social networks........mjomba wewe ni mwili jumba ila hutaki challenges........hahahaha..... kitu chochote unachosema unataka watu waseme NDIO......nishakupa challenge moja ya hatari insta ukanipiga block [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 

Kama mwanaume ya nini kumuanika mwanamke wako na madem zako uliokwishakuwa nao kwenye mahusiano that much?

Mwanamke kakuzalia watoto, ulivyo so petty umeenda kumuandikia kitabu cha kumdhalilisha of which uliyoyatoa mle mwote sio ukweli 100%,kuna mahali umeongeza au kupunguza kitu kukujengea wewe image kua ni malaika zaidi yake!

Halafu, cant you just move on?Mlishaachana,yanini na mavitabu?Why cant you just shut up and move on with life and leave her alone maana still ana maisha ya kuishi yaliyobakia? Unajinasibu ni kitabu cha maisha yako, can you just remove the pages concerning her kuonesha u have decency ya ku-keep private the life of a woman who gave you kids?

Ninachoona bado hujamove on, na huo ndio ukweli....

Kuna shida sana unayo, kuna sababu kubwa sana anayo ya kukuacha..achana nae mkuu move on mkuu...
 

1. Well, kulipwa majuu haina ubishi ni matendo ndio yanazungumza sio maneno maneno, ninarudia tena waliokua wananichukia ni wanyonge wa akili cause nilikua na marafiki pia na hasa Peter. Nilipofika walinipeleka kwenye kazi ya kule matahira na kulea wazee nikagoma na kuondoka, hili peke yake lilikua tatizo kubwa sana.

2. Kazi ya kuendesha malori ya Harzadous Material haikuwa sawa na kazi yoyote ya kawaida kwa wazamiaji, yes ukiamua kuiandika kizandiki na kimbeya mbeya kama unavyofanya ni kweli inaonekana ni ujinga fulani ila niliokua ninaishi nao kule wanajua vizuri na wala sina sababu ya kubishana na wewe on that.

3. Kama ninataka kukuelewa ni kwamba ndoa zote Duniani hufwa kwa sababu wanaume wamewashindwa wanawake wao kitandani? hahahahaha

4. Nimesema mimi ni binadam mpungufu ila sikuwahi ku cheat in 15 years of my ndoa, sikuwahi kumpiga, wala kumtukana hata kwenye Counselling walimuambia wamezoea serious cases kama za Kupigwa mwanamke, kucheat, na MWanaume kua Gay none of these were his issues wakamuambia huna tatizo, tatizo lake namba moja lilikua natumia muda mwingi kwenye Internet hahahahaha that was a big joke

5. Well, my ex ameniandika sana humu na kwa muda mrefu sana, nashangaa hujamsoma pole sana nenda kwenye kazi zake uone, hata yeye anajikanyaga kanyaga kama wewe ndio aakaanza kumsahbulia marehemu mama yangu, ni kwa sababu anajua hana sababu za msingi against me ila ulikua ujinga wake

- Now kama kweli I was that bad ananitafutia nini mpaka leo?

le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…