unamlipia kodi wewekwa ile akili endelea kumkubali wewe
halafu hata mi nakula nachotaka nalala napotaka,what is so specialabout that
sijapata favor zozote za mtoto wa kigogo
tukubaliane kutokukubaliana...he is your role model,he isn't mine because i have not seen any achievement to be my role model....the retired grandpa aliyeishi NYC for 30 damn years anaishi apartment ya kupanga!!!!!
Umenikumbusha ile stori wameumia watu sita na mgogo mmoja!Watu wengi humu mmemjua wiliam baada ya kurudishwa Tanzania kwa kushindwa kutoa child support ambalo ni kosa kubwa sana kule US.
Huyu mtu pia alishawahi kunywa sumu kutaka kujiuwa ambalo nalo pia ni kosa kubwa sana la jinai kule US. Hana cha kuchukiwa na mtu yeyote New York bali ni poor egoism yake ya kuegemea jina la baba yake!
Mtapoteza muda wenu tu kumjadili humu.
1. Swali la 11. unatumia ID feki, in other words hatukufahamu kabisa , mwenzio anajulikana na unajua ni nani na came out boldly to write the facts, so wa kuja kupinga ni aliyekuwa mkewe
looser
Jamaa ameandika stori yake ya ndoa kuhusu kuachana na mke wake amemkandia kwamba mke wake ndo chanzo cha kuvunjika ndoa na mambo mengi tu sema sasa sijaelewa kabisa chanzo cha hio ndoa kuvunjika mana anasema wabongo waishio New York ndo walichangia zaidi ye kuachana na mke wake kwasababu walikua wanamchukia na hajaeleza chanzo cha wao kumchukia mana stori yake hajasema kama alikua na tatizo na mbongo yoyote sasa swali langu uyu jamaa alikua anachukiwa kwa kosa gani mi navojua huwezi kuchukiwa na watu wote bila sababu ya msingi it is obvious le mutuz alikua mpuuzi ndo mana jamii yote ya wabongo New York ikamchukia ni kama bashite tanzania aseme hajui kwanini wabongo wanamchukia wakati anajua ye ni tatizo
Ps: hio ni observation yangu tu kuhusu stori yake don't take it personal
kwa ile akili endelea kumkubali wewe
halafu hata mi nakula nachotaka nalala napotaka,what is so specialabout that
sijapata favor zozote za mtoto wa kigogo
tukubaliane kutokukubaliana...he is your role model,he isn't mine because i have not seen any achievement to be my role model....the retired grandpa aliyeishi NYC for 30 damn years anaishi apartment ya kupanga!!!!!
eti baharia
huwezi kuwa baharia halafu ukawa bwege la kujipendekeza vile
asingekuwa mtoto wa waziri angetoka?
kuna mengi tu anaficha na mengi anaongopa huyo jamaa
akili yake ya sasa inaakisi akili yake ya zamani
Yaani ninunue kitabu cha maisha ya le kibamiazi,nitakua abnormal
Alitaka kunywa sumu duuhWatu wengi humu mmemjua wiliam baada ya kurudishwa Tanzania kwa kushindwa kutoa child support ambalo ni kosa kubwa sana kule US.
Huyu mtu pia alishawahi kunywa sumu kutaka kujiuwa ambalo nalo pia ni kosa kubwa sana la jinai kule US. Hana cha kuchukiwa na mtu yeyote New York bali ni poor egoism yake ya kuegemea jina la baba yake!
Mtapoteza muda wenu tu kumjadili humu.
Majuu hamna vijiwe utakufa njaaNNami nakiri nimemfuatilia LEMUTUZ hatua kwa hatua kwa kiasi Fulani nimemuelewa.
Hasa hilo la WABONGO wengi kumchukia ni wale waliotaka kuishi KISWAHILISWAHILI vijiweni kwa saana na ushogashoga mwingii
Jamaa alikuwa serious na kazi na kuchunga familia sasa wale wasio na kazi za kueleweka wakajenga chuki .
Alitaka kunywa sumu duuh
Jamaa ameandika stori yake ya ndoa kuhusu kuachana na mke wake amemkandia kwamba mke wake ndo chanzo cha kuvunjika ndoa na mambo mengi tu sema sasa sijaelewa kabisa chanzo cha hio ndoa kuvunjika mana anasema wabongo waishio New York ndo walichangia zaidi ye kuachana na mke wake kwasababu walikua wanamchukia na hajaeleza chanzo cha wao kumchukia mana stori yake hajasema kama alikua na tatizo na mbongo yoyote sasa swali langu uyu jamaa alikua anachukiwa kwa kosa gani mi navojua huwezi kuchukiwa na watu wote bila sababu ya msingi it is obvious le mutuz alikua mpuuzi ndo mana jamii yote ya wabongo New York ikamchukia ni kama bashite tanzania aseme hajui kwanini wabongo wanamchukia wakati anajua ye ni tatizo
Ps: hio ni observation yangu tu kuhusu stori yake don't take it personal
Baba Shikamoo, na salam zikufikieee.- Ungesema kibamia ambcho umeshawahi kupitiwa nacho ingekua na nguvu ila kusema sema tu hamna nguvu ya hoja hahahahahaha
le Mutuz
CC Al-Watan Kiranga Nyie mnaishi New York, Le Mutuz kasema mlikuwa wanafki sana kwake.- Nilikua na Rafiki mbongo Peter na ni rafiki yangu mpaka leo tunaongea kila siku kwa simu, nilisema kwenye my story wabongo wote wanyonge wa fikra ndio waliokua wananichukia, na sikua na tatizo kuchukiwa nao my ex alikua na akili ya kinyonge sana kama hao wenzake ndio maana wakaungana pamoja,
- Kuna mengi sikuyaandika ila yatakuwemo kwenye kitabu, cause I was too much of a man Wanaume wengi wakawa wanaonekana sio wanaume kwa wanawake wao kunilinganisha na mimi na maisha yangu, nilikua sinywi pombe wala kuvuta sigara nilikua nafanya kazi na kujisomesha mwenyewe na kutunza familia, hakuna mbongo aliyeweza kujaribu kuishi na mke miaka 5 bila kazi kama mimi, now kilichokuja kuwaudhi sana Wabongo ni mke wangu kupata kazi ubalozini baada ya kukaa bila kazi miaka 5. Kazi ya Ubalozini kwa wazamiaji majuu ni impossible hapo palikua na chuki kubwa sana.
- Ila naomba kusema tena na tena kwamba Wabongo wa New York hawakua sababu na nimesema sana kwenye story yangu na nitairudia vizuri kwenye kitabu,
- Hii thread imeanzishwa na mtu ambaye tayari nimeshaona anakotokea na anakotaka kwenda hahahahaha lakini atapiga ukuta tu maana ni ngumu sana kushindana na FACTS, karibu sana mkuu ila usikimbie hahahahaha!
le Mutuz
Baba Shikamoo, na salam zikufikieee.
Kiukweli pamoja na yote niliyosoma kuhusu wewe, bado nakuhukumu kwamba Unatatizo kichwani kwako.
Nenda Kawaone wana saikolojia wakusaidie tatizo la kuachana na mambo ya kitoto
Kama ulimsoma,alisema eti Wabongo walikua wanamchukia sababu alikua ana kazi yenye hela kubwa sana ya kuendesha malori ya kuzoa uchafu!!!
My ribs!
This guy is a lunatic!
- Nilikua na Rafiki mbongo Peter na ni rafiki yangu mpaka leo tunaongea kila siku kwa simu, nilisema kwenye my story wabongo wote wanyonge wa fikra ndio waliokua wananichukia, na sikua na tatizo kuchukiwa nao my ex alikua na akili ya kinyonge sana kama hao wenzake ndio maana wakaungana pamoja,
- Kuna mengi sikuyaandika ila yatakuwemo kwenye kitabu, cause I was too much of a man Wanaume wengi wakawa wanaonekana sio wanaume kwa wanawake wao kunilinganisha na mimi na maisha yangu, nilikua sinywi pombe wala kuvuta sigara nilikua nafanya kazi na kujisomesha mwenyewe na kutunza familia, hakuna mbongo aliyeweza kujaribu kuishi na mke miaka 5 bila kazi kama mimi, now kilichokuja kuwaudhi sana Wabongo ni mke wangu kupata kazi ubalozini baada ya kukaa bila kazi miaka 5. Kazi ya Ubalozini kwa wazamiaji majuu ni impossible hapo palikua na chuki kubwa sana.
- Ila naomba kusema tena na tena kwamba Wabongo wa New York hawakua sababu na nimesema sana kwenye story yangu na nitairudia vizuri kwenye kitabu,
- Hii thread imeanzishwa na mtu ambaye tayari nimeshaona anakotokea na anakotaka kwenda hahahahaha lakini atapiga ukuta tu maana ni ngumu sana kushindana na FACTS, karibu sana mkuu ila usikimbie hahahahaha!
le Mutuz
- Huu ni uswahili at best eti hoja ni nini hapo? hahahahahahaha
le Mutuz
The king of all bongo social networks........mjomba wewe ni mwili jumba ila hutaki challenges........hahahaha..... kitu chochote unachosema unataka watu waseme NDIO......nishakupa challenge moja ya hatari insta ukanipiga block [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]- Huu ni uswahili at best eti hoja ni nini hapo? hahahahahahaha
le Mutuz
- Hahahahaha sijawahi kuwa na shida na mabebezz mpaka ninywe sumu kwa sababu ya MWanamke hahahaha, hivi unaweza kunywa sumu ukapona? ok lets say ni kweli mbona sijanywa mpaka leo? hahahahahaha chezeya FACTS na bado zinakuja kwenye kitabu yaani mtaelewa somo tu hahahahaha!
le Mutuz
Kuna sababu kwanini walikuchukia!
Who are you watu wakuchukie tu?Huwezi tuaminisha uongo namna hiyo.
Sababu ipo sema wewe labda huijui,lakini ni lazima ipo.
Pia kwenye zile paragraph zako,kuna mahali ulijinasibu huenda wanakuchukia sababu ulikua na kazi inakuingizia pesa nyingi sana zaidi yao eti kwa kazi ya kuendesha malori ya kiduwanzi,of which is merely hoax na kujifagilia tu maana ulikua unajua true incomes za hii population mpaka uongee hivyo?
Ni vizuri mwanamke nae angetoa yake tujue ukweli,sababu hana platform na umaarufu wako,hana pa kusemea ukweli upande wake.
Nachojua,wanawake hawamuachi mwanaume anaewatomba kisawasawa na upendo,etc hivi hivi tu,ana sababu na hiyo sababu wewe mwanaume ndio chanzo..
I wonder,hii kitu ya wewe kujipa imani kua wewe sio chanzo yeye ndio chanzo sijui unaipata wapi?How can you 100% conclude that wakati muhusika hajaweka yake hadharani juu yako?
Kuna tatizo kubwa sana fundamental,na nikijigeuza mpiga ramli wewe Lemutuz ndio source whether unajua au hujui!