Kuna sababu kwanini walikuchukia!
Who are you watu wakuchukie tu?Huwezi tuaminisha uongo namna hiyo.
Sababu ipo sema wewe labda huijui,lakini ni lazima ipo.
Pia kwenye zile paragraph zako,kuna mahali ulijinasibu huenda wanakuchukia sababu ulikua na kazi inakuingizia pesa nyingi sana zaidi yao eti kwa kazi ya kuendesha malori ya kiduwanzi,of which is merely hoax na kujifagilia tu maana ulikua unajua true incomes za hii population mpaka uongee hivyo?
Ni vizuri mwanamke nae angetoa yake tujue ukweli,sababu hana platform na umaarufu wako,hana pa kusemea ukweli upande wake.
Nachojua,wanawake hawamuachi mwanaume anaewatomba kisawasawa na upendo,etc hivi hivi tu,ana sababu na hiyo sababu wewe mwanaume ndio chanzo..
I wonder,hii kitu ya wewe kujipa imani kua wewe sio chanzo yeye ndio chanzo sijui unaipata wapi?How can you 100% conclude that wakati muhusika hajaweka yake hadharani juu yako?
Kuna tatizo kubwa sana fundamental,na nikijigeuza mpiga ramli wewe Lemutuz ndio source whether unajua au hujui!