Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majamaa yamebanwa yameamua kupandikiza maneno.. Huyo jamaa aletwe na dar awanyoonshe huku..
jambo afande umeamua kuja mwenyeweSuala maeendeleo nila mtu na MTU, pesa ile ile tatzo matumizi.
Kumbe kunawatu wanafurahia kuwaona watu wakiwa maskin.
Hivi Mafwele bado yuko Arusha?Kwa jiji kama ARusha kamanda wa polisi atakiwi kuwa na haiba ya kilokole
OC-CID niliopata kuwajua wote ni wala rushwa na nikiri kwamba ni watu waovu.Whaf they admit doing is horrific.Yupo mmoja amepanga nyumba yangu,dah, ni moto wa kuotea mbali kwa rushwa.Yupo aliyeondoka ndio akaja huyu wa sasa,alihamishwa na akapata demotion kwa ajili ya rushwa,so hata kwa huyo wa Arusha si ajabu ni mla rushwa.Hapo kuna mawili! Ukute yeye Ndio kiboko ya mitandao ya majambazi ya Arusha ; Sasa wanatengeneza fitna atolewe jeshi lipoteze dira na majambazi kujipanga na kuanza kusumbua!! Au hizo tuhuma ni za kweli!!
Huyu jamaa ni huyo huyo ninayemfahamu alisoma Geita Sec. Miaka ya 80' katikati? Mafwele ni Mkara, alikuwa katibu wa shule na alikuwa katili sana kiasi vijana wa kidato cha kwanza tulikuwa tunamwogopa utafikri naye ni headmaster! Kama ndo yeye basi kumbe watu huwa hatubadiliki!
Utakuwa humjui, nilishaambiwa ndiye mwenyewe!!Huyo alikuwa Kaka yake!!! Yeye hakusoma miaka hiyo na shule hiyo
Sawa labda uko sahihi! Tuache hapo! Yuko wapi sasa? Una fuatilia?Utakuwa humjui, nilishaambiwa ndiye mwenyewe!!
Hapendi wahalifuAisee kumbe kitambo tu jamaa anasumbua.