OCD Meatu kuwaandikia barua Chadema kwamba wasifanye mikusanyiko kwa sababu kuna tishio la Ugaidi, kauli hii ya maandishi ina madhara gani kiuchumi?

Riz1:
Baba mbona unasemwa vibaya na unatukanwa sana hadi kwenye mitandao na hauchukui hatua..??
Jk:
Mwanangu, katiba ya JMWT imempa Rais mamlaka makubwa sana. Sasa nikitaka kuwachukulia hatua nitafunga wangapi..!!
Hayo ndiyo mawazo kutoka kwa kiongozi aliye komaa kisiasa na aliye kubali kuwa rais wa watanzania.

Maana hao wengine walikuwa kila siku wanatwambia kuwa urais ni mzigo mkubwa sana lkn ukifika uchaguzi wanenda kuchukua form.
 
Hii tuiingize kwenye maajabu 7 ya Dunia

 
Polisi walishageuka na kuwa CCM wing,hivyo huyo hata hayo aliyoyaandika hapo si kwa akili yake aliagizwa.
 
Plpl katwambia eti wahuni bado wapo
 
Aibiwe nani wakati lichama la kaskazini lilijifia siku makengeza alipobadili gia angani mwaka 2015
Ndugu yangu Nizasasa hivi sasa mchana acha kuota ndoto za mchana sii zakweli ni za uongo
🤔.
 
Hata kama ni kudanganya hivi haiwezekani kutumia sababu nyingine zaidi ya UGAIDI. Impact ya ugaidi ni kubwa haswa wakati huu nchi inapojaribu kuimarisha mahusiano na nchi nyingine na kufufua sekta ya utalii kutoka kwenye mtikisiko.
 
Kauli ya maandishi toka jeshi la polisi inayohubiri uwepo wa matishio ya ugaidi nchini ni hatari kwa mustakabali wa uwekezaji na Mpango wa mama wa kui-brand Tanzania
Watavuna walichopanda na kwa hii barua naamini kuna kundi la watu serikalini kwa makusudi wanamhujumu mama Samia.
 
Alafu kesho utasikia kiongozi na upimbi wake anasimama jukwaani anasema Tanzania ni sehemu salama
 
Wewe ndio unaota ndoto za mchana kwa sababu ni chama kipi kingeweza kuishinda CCM katika uchaguzi uliopita ? Siasa imewashinda mnabaki kuleta visingizio tu.
Ndugu yangu Nizasasa hivi sasa mchana acha kuota ndoto za mchana sii zakweli ni za uongo
[emoji848].
 
Wewe ndio unaota ndoto za mchana kwa sababu ni chama kipi kingeweza kuishinda CCM katika uchaguzi uliopita ? Siasa imewashinda mnabaki kuleta visingizio tu.
Hata slow atapingana na hoja yako ngoja apande dk45 utarudisha mrejesho humu🤔.
 
Kama rais alisha sema kuna magaidi wamesha hukumiwa, hawa wana shindwaje kuongea ugoro?
 
Natamani siombei hayo yanayoongelewa na polisitz kwa vyama vingine yaje yatokee kwenye mikusanyiko ya ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…