Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #101
Hakuna haja ya kulipa ubaya kwa ubaya.. Kesho ipo.. Inafaa kuwajibu kwa upole ili waone walipopotoka na kupata nafasi ya kutafakari na ikiwapendeza wabadiikeBraza unahekima sana. Mie ningekuwa wewe ningewapa dhahama ya kimbunga cha kupiga kwikwi laki 2 kwa mwezi mzima..
We unatumia hekima sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Jr[emoji769]