Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
wadada acheni wivu,hv hamuwezi kukubali mange kawazidi?mashauzi yanahitaji pesa na mange pesa anayo,mnashadadia kamchamba sinta,uyo sinta mbona pia huwa anamchamba mange hamsemi?kunya anye kuku akinya bata kaharisha.em achen wiVu wa kijinga wanawake,kubalini tu kawazidi. na kati yenu najua sinta yupo.ACHENI WIVU WANAWAKE LO!Mmetujazia thread kisa wivu
princess sayuni mie sijambo..we ndo mwenye wivu huoni hata haya kama we ni me wazazi wamepata janga shame on you kamzidi nani huyo hvi unajua wenye hela kina bilgate wasemeje au kwa vle ni Usa kapga vipcha na wewe ukapanik ana act maisha ya kna kardashian na kutafta attention kwa watu kama wewe eti wivu aibu yake
princess sayuni mie sijambo..
mie mzma naona kuna wazinguaji wameingia kwenye thread na kusifia upuzi
Sema wewe.tukisema sisi tunaonekana tuna wivu.
Sema wewe.tukisema sisi tunaonekana tuna wivu.
una kuta kitu cha kawaida watu watapapatka yani hata cjui niseme hawataki ukweli wa mambo ukisema kweli wivu kuna watu mambo yao safi hawaongei jaman vitu vdogo show of character na ndio mana mwenye nacho TATIANA hawajionyeshi kama Klyin sasa mtu akiweka vpicha vyake watu watateteweka wee nahc muwekaji pcha ana waonaga hamnazo tu kusifia wa change mind bwana
Tatizo sijui ni ulimbukeni au nn! Baambie baelewe bhana..
sijui hata ilikwaje bhana hii thread naona itawapeleka sero wengiOohh nooo.... what happened to her?
sijaelewa hata aiseeni nini tena amefanya?
ni kutokujielewa tu hamna lingne na team zao za kutukana bora anaye kwambia ukweli ulimbukeni mbaya dia eti unaweka pcha cjui ya ktanda jamani haya ni majanga
sijui hata naona kama kaonewa bhana
sijui hata naona kama kaonewa bhana
ume cream aaaaahaaaaa daah division 5 kazi kweli kweli umebaki kuulizia mabwana first class utawapata wp aaaahaaaaaa..ushauri kunamtu alikupa uwende dodoma kama ujui english rudi shule eeeheeh poor u...... aaaahaaaaa byeeeeh kubishana na division 5 ni mtihani mkubwa kweliPoor u.... umeishiwa point zaidi kusema kutukana ume cream dogo
yani mwenyewe cjamuona cjui ana nini njo bana