yani ni kweli haiwezekani tunapishana tu pale nje na parking wanakuja mpaka eneo letu alafu posho wanatutosa na kwenda kufata vidada vya udom na St. John
Hahaha yani Mange amejua kubrain wash watu..kale kakitu Kama Kaungo alikomlazia Keanu day 2 after kutoka hospo (apart from Kile kitanda cha duara -crib) nilikaona mahali bei Wala haikuzidi laki 3 ya tz...ila sasa watu walivyomuabudu na kuona Kama sijui ni nini....
Hivi assume mshahara wako ni dollar 10,000 as rates za Majuu si Kama za bongo hasa kwa watu wenye ujuzi na uzoefu wa kutosha wanaofanya kwenye kampuni kubwa utashindwa kununua crib na kale Kaungo ka mtoto?? Vitu vingine tunakuza.
Kama angekuwa wa high life angejifungua last week Leo yuko kiwandani kusimamia nguo? Klyn bwana Ndo alijua kuweka heshima wengine wote waigaji tu
Eti alikuwa anasema ooh anasafir business class halafu mara kwa mara anakuja bongo ooh...
Mara ooh sijui ona anakula restaurants Kali.
I was like eeeh...kweli ushamba na ujuha ni mzigo wa misumari
weka picha tafwadhali
Ya kale Kaungo au?? Nenda kwa blog yake utakaona Hana hahahahahah
Nimemuiga @tyataweka picha tafwadhali
Duniani Kama una akili timamu hauwezi kujivunia how umespend kwenye kula ila how much umeinvest na ma asset yako. Kuna Mshipa kichwani utakuwa umelegea si bure...
Nimemuiga @tyata
kwa faida ya team umbea jf naomba iwekwe hapa
Only in LA watu wanajifungua Leo Kesho wako street
Haka hapa cc. Tyta
Haka hapa cc. Tyta
ohooo kumbe ndo haka enheee na hako ka kitanda tati pleaseee
ohooo kumbe ndo haka enheee na hako ka kitanda tati pleaseee
Sio haka shouger....Angalia picha after kutoka hospitali wakiwa home
ohooo kumbe ndo haka enheee na hako ka kitanda tati pleaseee
hahhaha nitaenda huko huko nikaone kwa macho na hicho kibabu cha kizungu kwenye picha ndo shem wetu au
Sio haka shouger....Angalia picha after kutoka hospitali wakiwa home