Hahaha yani Mange amejua kubrain wash watu..kale kakitu Kama Kaungo alikomlazia Keanu day 2 after kutoka hospo (apart from Kile kitanda cha duara -crib) nilikaona mahali bei Wala haikuzidi laki 3 ya tz...ila sasa watu walivyomuabudu na kuona Kama sijui ni nini....
Hivi assume mshahara wako ni dollar 10,000 as rates za Majuu si Kama za bongo hasa kwa watu wenye ujuzi na uzoefu wa kutosha wanaofanya kwenye kampuni kubwa utashindwa kununua crib na kale Kaungo ka mtoto?? Vitu vingine tunakuza.
Kama angekuwa wa high life angejifungua last week Leo yuko kiwandani kusimamia nguo? Klyn bwana Ndo alijua kuweka heshima wengine wote waigaji tu