Ofa ya Connection ya Wachina wanaoshusha Mizigo ya jumla Kariakoo

Mkuu mi mzee wa uvuvi nipe connection ya vifaa vya uvuvi,means Nyavu,ndoano,kamba na vitu vingine
 
Sanga ndio nani Mkuu, mawasiliano yake au Ista oage yake tafadhali.
Nenda udoe Street na Nyamwezi.
Swahili na mafia mpaka Nyamwez n kariakoo.
Sana ni mfanyabiashara mkubwa mnoo pale kariakoo. Anauza vifaa vya pikipiki bei nzur tu
 
Ningependa kufahamu connection ya vifaa na material za stationery kama vile notebooks, counterbooks, pen

Pia phone accessories kama earphones za bei rahisi, viswaswadu, screen protectors, phone covers, battery, Memory card, flash disk, charger, usb wires n.k
 
Huo mguu kwenye viatu ni wa kwako dada? Ila na wewe kwa nini unaandika "Hands Bags?"
 
Wapo Wachina wanaouza vifaa vya ujenzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…