X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
-
- #41
nashukuru kwa kunielewa ndugu yangu....mambo yapo hivyo kazi ya mtu haiendani na tabia kuna mijitu ni mikatiri na inafanya biashara ya mamantilieBabu, tusameheane tusiombeane mabaya wala kutakiana laana.
Kila mtu ana ndoto ya kupata kile anachokipenda.
Ingawa unaweza kupenda kitu kumbe kina shari ndani yake na ukakichukia kitu kumbe kina heri ndani yake.
Si police wote wabaya na si madaktari wote ni wema.
Hahah dah [emoji23][emoji23]Kiko wapi? Kesho asubuhi ukaapishwe kuwa IGP?
nashukuru ila namuomba Mungu dua yako isinipate...nimelelewa ndani ya jeshi la polisi...kiujumla jeshi la polisi limenilea limenisomesha...hadi leo nahanaika kulitafuta naijua thamani yake lakini ndio hivyo bahati sinaAlafu Ukishaipata, hasira zako za kuhonga kazi kwa kutoa kiwanja uje uwatolee bodaboda, wapinzani na wauza mkaa.
Omba kazi nyingine hii ya upolisi nakuombea ukose kabisa! Tena ukiendelea kubembeleza hii kazi nakuombea upate laana ya maisha yako yote.
Tena shindwa katika jina la Yesu Kristo
ndio ninayo leseni ya udereva...ninacho cheti cha udereva pamoja na vyeti vya sekondari kwa umri nina miaka 26...Samahani mkuu, umesoma vigezo hata vitatu tu vya kujiunga na hilo jeshi?
12+8=20
Tuseme kuzaliwa mpaka kusoma kwako ulitumia miaka6.
20+6=26 umri huu tayari disqualified
Tuzungumzie huo uwanja sasa
Upo eneo gani.
Kila la kheri ktk maombi yako, lakini tahadhari tu nakupa, watu wanautamani huo uwanja kuliko hiyo kazi uipendayo. Ogopa matapeli km vipi mtafute Kamanda Sirro direct hukosi shavu. Una magamba yoyote ya ujuzi?
kwanini ndugu yangu...nisaidie kama lipo ndani ya uwezo wako...sio kila polisi ni mbayaUkiwa polisi utazingua sana
Naishi ndani ya Tanzania na nimewahi kufanya kazi ya bodaboda na kazi nyinginyingi tofautitofauti, hivyo usiwapambe polisi wakati nina uzoefu nao.nashukuru ila namuomba Mungu dua yako isinipate...nimelelewa ndani ya jeshi la polisi...kiujumla jeshi la polisi limenilea limenisomesha...hadi leo nahanaika kulitafuta naijua thamani yake lakini ndio hivyo bahati sina
inawezekana ndugu yangu kwani hakuna boda boda wenye tabia ovu...? kwahiyo unataka kuniambia boda boda wote ni waovu ukiwemo wewe...?Naishi ndani ya Tanzania na nimewahi kufanya kazi ya bodaboda na kazi nyinginyingi tofautitofauti, hivyo usiwapambe polisi wakati nina uzoefu nao.
yote yanawezekana ikitokea hivyo nitaleta mrejesho...na nitakuja kukushukuru kuwa ulinitahadharisha nikakupuuzaKiwanja utapigwa na kazi hupati na hutoweza kufanya chochote
walikukosea nini polisiAlafu Ukishaipata, hasira zako za kuhonga kazi kwa kutoa kiwanja uje uwatolee bodaboda, wapinzani na wauza mkaa.
Omba kazi nyingine hii ya upolisi nakuombea ukose kabisa! Tena ukiendelea kubembeleza hii kazi nakuombea upate laana ya maisha yako yote.
Tena shindwa katika jina la Yesu Kristo
asante nikikosa nitafanya mambo mengineKwani lazima uwe polisi? Fanya mambo mengine
asante ndugu yangu....kwakweli tunaopata shida nini sisi tu ambao hatuna ndugu wa kutushika mkono...ila tutafika tuPole sana kijana mwenzangu mungu akutie nguvu,azima yako iweze kutimia......izi nafasi naona kama watatoana roho sana,kwani yapata miaka 3 hadi 4 hakuna depo iliyoenda uko kipindi icho,so hapo naona zile kamati za ulinzi na usalama za wilaya na mikoa zikiwekana bila kushurutishwa
Kuanzia Tsh 250,000 - 1,600,000 kwa mwezi
ila ndio hivyo bwana bahati sinaBy any means
Inategemea mkuu maana hata IGP nae ni police
naipenda sana...kiongozi tatizo bahati...ningekuwa sijaipenda ningeshaachana nayo...ila bado najipa moyo kuwa ipo siku tu nitakutana nayoUnapenda kazi hiyo kutoka rohoni au unaitamani?