pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
We umeanza kufuatilia mziki liniHii kitu inamgharimu sana Kiba yani Hata afanyeje lazima alinganishwe Na Mond Na tatizo Mond yuko mbali,lakini aliyataka alivyorudi kwenye game asingrrudi na jina la Mond mdomoni,sasa yani kila anachofanya lazima alinganishwe video ni nzuri sema watu wanalingnisha na kazi za Mond cha msingi ajitahidi atafika tu na asikubali kupelekeshwa na mashabiki afanye kazi kwa uwezo Wake na mipangilio yake.
Naona unaongea porojo tu hapa
