Leo caroti kesho muhogo,kesho kutwa mkono wa mtoto mchanga then mkia wa ng'ombe utaacha kupukutika??!!Mbona anaminyonyo utadhani hazina ya taifa ana nini tatizo..?
Halafu mbona uzuri umepukutika sio ule wa kwenye video ya kwetu au ndo kusema bidhaa inaenda ku expire..??[emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app