Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
serikali za weusi sijui nani aliwadanganya hawapsi kukosolewa! Wanadhani kuna mtu anapenda Tozo ? No hata Bosi Samia na Coin master wake Mwigulu wenyewe hawazipendi maana zinawafanya uchaguzi ujao badala ya kunadi sera na mazuri itabidi watumie corrupts methods kushinda uchaguzi, hali ni mbaya mtaani watatudanganya na nini ? Vita ya Ukraine?Taarifa iliyotufikia hivi punde inasema kwamba Jonas Afumwisye meneja wa TRC aliyesimamishwa kazi kwa kupinga Tozo, AMEKAMATWA NA POLISI.
Wakili wa Meneja huyo Peter Kibatala, amedai kupigiwa simu na Mteja wake Ndugu Afumwisye na kuelezwa kwamba amefuatwa na Polisi nyumbani kwake ambao wametumwa kumkamata.
View attachment 2335762
Chanzo : MwanaHalisi