Ofisa wa TRC aliyefukuzwa kazi kwa kukosoa tozo akamatwa na Jeshi la Polisi akiwa nyumbani kwake

Ofisa wa TRC aliyefukuzwa kazi kwa kukosoa tozo akamatwa na Jeshi la Polisi akiwa nyumbani kwake

Taarifa iliyotufikia hivi punde inasema kwamba Jonas Afumwisye meneja wa TRC aliyesimamishwa kazi kwa kupinga Tozo, AMEKAMATWA NA POLISI.

Wakili wa Meneja huyo Peter Kibatala, amedai kupigiwa simu na Mteja wake Ndugu Afumwisye na kuelezwa kwamba amefuatwa na Polisi nyumbani kwake ambao wametumwa kumkamata.

View attachment 2335762

Chanzo : MwanaHalisi
Tz inaongozwa na vibaka machoko
 
Meneja wa shirika la umma analalamikia tozo halafu unakuta hohehahe mtaani hana hata habari!

Watumishi wa umma kuleni tu kulingana na urefu wa kamba zenu huko ofisini wenyewe mkiwakosoa wanaita mmewatukana.

Meneja uza hata "kiberege" au piga mnada mataruma.
Kwakweli nchi hii ishaharibika hii ukipata mwanya we piga tu ukijifanya unakosoa imekula kwako
 
Walikuwa wanasema mambo ya kuoneana yaliondoka na mwendazake.
 
Taarifa iliyotufikia hivi punde inasema kwamba Jonas Afumwisye meneja wa TRC aliyesimamishwa kazi kwa kupinga Tozo, AMEKAMATWA NA POLISI.

Wakili wa Meneja huyo Peter Kibatala, amedai kupigiwa simu na Mteja wake Ndugu Afumwisye na kuelezwa kwamba amefuatwa na Polisi nyumbani kwake ambao wametumwa kumkamata.

View attachment 2335762

Chanzo : MwanaHalisi

Mama Samiah amefeli kiuchumi na anaelekea kufeli kisiasa. Shauri zake. Unaleta udikteta kwenye ugumu wa Maisha.
 
Walikuwa wanasema mambo ya kuoneana yaliondoka na mwendazake.

CCM ni ile Ile. Nashangaa akina Mbowe wameingizwa kingi na Samiah eti wakae kimya kisa maridhiano. Shauri zao watakuja kugeukwa muda wasiotegemea.
 
Mama naye kumbe ana kaudikteta fulani hivi! Mzee wa Kongwa alipokosoa mikopo yalimkuta yaliyomkuta! Huyu wa TRC kakosoa tozo ndio kama hivyo!! Ccm ni janga sijui litatutoka lini??
 
Tumfundishe kadogosa kazi.
Moderator naomba kibali nianzishe UZI WA PICHA NA MATUKIO YA KADOGOSA NA TRC
Niliwai kwenda Pale TRC Aseeee kuna kakikundi flani kanapewa upendeleo Sana yaaan tena ni wasukuma. Ipo siku nitawalipua Kwa majina wakiongozwa na kadada flani ivi.
 
Back
Top Bottom