Ofisa wa TRC aliyefukuzwa kazi kwa kukosoa tozo akamatwa na Jeshi la Polisi akiwa nyumbani kwake

Ofisa wa TRC aliyefukuzwa kazi kwa kukosoa tozo akamatwa na Jeshi la Polisi akiwa nyumbani kwake

Ametukanaje? Pumbavu wewe. Yakikukuta siku Moja utaelewa hayo maumivu, imagine watoto wake, ndugu zake and other dependents wana Hali Gani muda huu?
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Maneno mazito kutoka kwa Kamishna wa Polisi Zanzibar


THRDC yawakutanisha wadau wa haki binadamu, kamishna wa Polisi Zanzibar atoa agizo kwa askari polisi
Source : wasafi media
 
Kwa sababu siyo awamu ya tano basi inachukuliwa simple tu hata kelele siyo nzito sana.

Ila kila mwananchi hasa wa JF unapaswa kupata jibu mujarabu.
Lissu kapewa mafao, Mwenyekiti katolewa kwa kesi ya ugaidi, Kabwe anakula ruzuku kutoka serikali ya umoja, lema analipiwa mkopo wake banki... Nashangaa huyu kibatala
 
Huyo ni ile mko kundi la ofisini au la washkaji wa ofisini mnakuwa mna chat katika free time jamaa akaamua kupasuka tu bila kujua kunakuwaga na wakuder miongoni mwetu, kama kuna mkubwa alikuwa anamchukia ndio akapenyezewa screenshots.

Akapata sababu ya kumuumiza kupitia sheria.
Yaah mm huyu jamaa nilikuwa naish nae jirani kbsa kosa lake kubwa Zaid alikoment vibaya kuhusu ndugai kipindi kile ndugai akiwa na nguvu kisa kina mdee jmaa alichukia a jinsi ndugai anavyo watetea kina mdee ndipo akakoment ktk grupo lake kuwa ndugai Ni kilaza tu

Kosa lapili nikucritise kuhusu tozo zilizoanzishwa na serekali

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
N
Yaah mm huyu jamaa nilikuwa naish nae jirani kbsa kosa lake kubwa Zaid alikoment vibaya kuhusu ndugai kipindi kile ndugai akiwa na nguvu kisa kina mdee jmaa alichukia a jinsi ndugai anavyo watetea kina mdee ndipo akakoment ktk grupo lake kuwa ndugai Ni kilaza tu

Kosa lapili nikucritise kuhusu tozo zilizoanzishwa na serekali

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ndugai ndio alimshitaki au
 
Ila Watumishi wengi wa Umma Nchi hii hawana Ushirikiano kabisa, kazi Yao ni kuimba Solidarity Siku ya Mei Mosi pasi kuionesha Kwa vitendo.

Suala la huyu Meneja wa TRC kuhusu Tozo za makato ya Benki halimuathiri yeye peke yake isipokuwa Watumishi wote kwani Mishahara Yao inapita huko Benki na makato lazima yahusike.

Kutokuwa na Solidarity baina ya Watumishi wa Umma ilifanya hata Hayati JPM hadi anafariki asiweze kuwaongezea hata shilingi 1 kwenye Mishahara yao huku wao wakikaa Kimya tu.

Mama naye amewaongezea shilingi 63,000 Kwa kima Cha Chini na wengine shilingi 20,000 huku Yeye akiishia kuichukua hiyo ongezeko Kwa Mlango wa nyuma Kwa Kuimpose Tozo za Miamala ya Simu, Tozo za Kutoa Hela Benki n.k

So kama Watumishi wataendelea kutokuwa na Umoja baina Yao wataendelea Kuumia hadi Siku Wanastaafu Utumishi wao na kuishia kujenga Makazi Yao Kwa Hela ya Pension tena nyumba ya Vyumba Mbili kwani Kujenga nyumba kubwa watashindwa, Kwani Pension yao ya Mkupuo imeshuka kutoka 100% zamani hadi kuwa 33% Kwa Awamu [emoji119]
Kak huyu jamma alisimamishwa Kaz mwka jana kipind miezi Kama hii hii kipindi tozo za miamala ya simu na umeme ilivyoanzishwa

Na pia skataka la kina mdee lilimposa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Taarifa iliyotufikia hivi punde inasema kwamba Jonas Afumwisye meneja wa TRC aliyesimamishwa kazi kwa kupinga Tozo, AMEKAMATWA NA POLISI.

Wakili wa Meneja huyo Peter Kibatala, amedai kupigiwa simu na Mteja wake Ndugu Afumwisye na kuelezwa kwamba amefuatwa na Polisi nyumbani kwake ambao wametumwa kumkamata.

View attachment 2335762

Chanzo : MwanaHalisi
MIMI GENIUS NILIWAAMBIA WATANZANIA NA WAPINZANI NCHINI KUWA KAMA KIFO CHA MAGUFULI KINA MKONO WA MTU BASI TUTASHUHUDIA MENGI MAOVU KWA SABABU YA HOFU YA HAO WALIO WEKA HUO MKONO KILA HAKI ITAPIGWA VITA ...mpaka sasa tunashuhudia kupigwa vita Nyerere na Magufuli wazi wazi ..kikundi cha Waarabu koko kinatumia kila mbinu kufanikisha kutokomeza LEGACY ZA WAZALENDO WA KWELI YA NYERERE NA MAGUFULI ....Nakumbuka vyama vya upinzani vilifurahia sana kifo cha JPM ila mimi niliwaambia kwa kutumia ujiniasi wangu kuwa wasifurahi bila kwanza ya kujua kama kifo cha jpm kina mkono wa mtu au la, wao wakaniona mjinga nisiye na akili ...sasa mara tu tukasikia Mbowe gaidi yupo rupango watu wote wasio na akili wa chama tawala na waupinzani wakabaki kushangaa kwanini kesi inazidi kusongeshwa mbele na sa100 wakati adui yao alikuwa ni magufuli...imekuwaje...wengine wakasema sa100 kapatia yote ya kumchafua na kumponda JPM ila kakosea kwenye kesi ya mbowe tu kumbe kumbe kumbe[emoji117]HAWAKUJUA ILI FUMBO LA KIJINIASI LILILO NDANI YA HAYA MANENO NILIYO WAAMBIA KUWA WASIFURAHI KIFO CHA JPM HADI WAJUE KAMA KINA MKONO WA MTU AU LA. Kwa maana yote yaliyo kipata chadema na mbowe yapo ndani ya ilo fumbo ...kama kifo kilikuwa cha kawaida basi ndipo wapinzani wafurahi ila kama kilikuwa na mkono wa mtu wajue tu mbele kutakuwa na kilio na kusaga meno .....Pia kuhusu swala la katiba pia linategemea hicho kifo kama ni mkono wa mtu basi ni ujinga kudhani kuwa katiba ya kweli itapatikana kwa kupitia SA100
 
Nchi inakua na laana ya kudumu kwa sababu ya uonezi usio na kichwa wala miguu...mmemfukuza kazi kisa asiwapinge tena mnaenda kumkamata Mungu ni mwema wakati wote...
 
Jeshi la polisi lafanya makosa makubwa kutekeleza agizo la kumkamata huyu kijana na kutaka kumharibia kabisa maisha yake.

Hatimae Kingai ajinyoosha makucha yake halisi.
 
Ametukanaje? Pumbavu wewe. Yakikukuta siku Moja utaelewa hayo maumivu, imagine watoto wake, ndugu zake and other dependents wana Hali Gani muda huu?
Kama aliyajua yote hayo, aache maisha ya kihuni na kipumbavu kama ya kwako
 
Back
Top Bottom