Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Telabyte ni kipimo cha ukubwa wa uwezo wa chombo hasa vihifadhi taarifa.Telabytes ? Nimejaribu kufanya kutafuta neno hili kwenye google sijaliona. Sasa nashindwa kujua ni bidhaa ya aina gani hii
Naomba nenda Karume kalete mashine yenye 5000gb kwa laki 3 ukiweza Kuleta hiyo mashine hapa sio mashine yenye 5tb kwa 300,000 na Funga huu uzi na naomba MODS wasiufungue Milele.nikienda zangu karume napata mashine yangu safi ya 5000 gb kwa laki tatu na inapiga mzigo vizuri wa library ya muvi
kuwa na mashine yenye telabyte 20 ni mzigo bora kuwa na external hdd yenye telabyte 10 kama 2 zinabebeka unaweza kwenda nazo home
angalizo kujaza muvi nyingi kwenye computer moja ni risk ni bira kuwa na hdd hata tatu maana zinabebeka
Mashine ya 300,000nikienda zangu karume napata mashine yangu safi ya 5000 gb kwa laki tatu na inapiga mzigo vizuri wa library ya muvi
kuwa na mashine yenye telabyte 20 ni mzigo bora kuwa na external hdd yenye telabyte 10 kama 2 zinabebeka unaweza kwenda nazo home
angalizo kujaza muvi nyingi kwenye computer moja ni risk ni bira kuwa na hdd hata tatu maana zinabebeka
Kati yangu mm na wewe nani shule yake mmmmmmh sijui nisemeje. Kwani telabytes ni kitu gani au ndio ulivyofundishwa shuleni? Hebu jaribu ju google hilo uliliandika halafu ulete mtejesho. Mtu anapokusahihisha sio kwamba anajua zaidi labda pia anahitaji uelewa pia. Niletee mrejesho wa hili neno.......Ulienda shule kusomea nini? Nani kasema "telabytes" ni bidhaa? Mkiendaga shule mnasomeaga nini?
Una uhakika na hicho ambacho umeandika? Anyway poa labda mm ndie uelewa wangu ni mdogo samahani sanaTelabyte ni kipimo cha ukubwa wa uwezo wa chombo hasa vihifadhi taarifa.
TelaByte moja ni sawa na Gigabyte 1000.
Nime google kamusi ya kiswahili sijakutana na neno "mtejesho" unaweza nisaidia hili neno ni kiswahili au ni l