INAUZWA Ofisi ya movie, computer 21 telabytes inauzwa

INAUZWA Ofisi ya movie, computer 21 telabytes inauzwa

Jana ulisema nini ukafanya nini?
Una akili kweli? Shule hupajui? Unalazimisha upewe mtu asichotaka kukupa?

Unahisi maisha ni marahisi hivyo? majibu uliyopewa hayakutoshi au mpaka usikie toka kwangu?

Unanijua mimi ni nani? au mpaka ni comment kwa ID yangu hii hiii?

Usikurupuke wala usigande watu, Tumia Google ni mwalimu tosha sana kwako acha uvivu acha kupenda kutafuniwa kila kitu.

uko interested sana kuna vyuo,college unaweza kwenda lipia ukapata Elimu..

Usije anza uliza watu wana akili au hawana akili, Wakati hujui hata matumizi madogo ya simu unayotumia.
 
Tumia Google ni mwalimu tosha sana kwako acha uvivu acha kupenda kutafuniwa kila kitu
Hujui hata maana ya forums? Lengo langu halikua kutegemea Google kupata majibu ya maswali yangu lengo langu ni kutaka kujua kutoka kwako wewe ambae umewahi kutumia nilichouliza Ila kwa kua umeweka ngumu baki na unachokijua, sio habari ya uvivu kwani wewe ukitoa maelezo utapungukiwa nini?
 
Back
Top Bottom