Nina mashaka kama hata wao wenyewe wanajua, kama ilivyo kwa wazee wa PGo kwani wanayofanya katika kitekeleza majukumu Yao ya msingi haviendani na matakwa ya Sheria na katiba yetu, zaidi nikiitwacho maelekezo kutoka juu.Nini majukumu ya kila siku ya Ofisi hii ya msajili wa vyama vya siasa ikiwa vyama havifanyi kazi za siasa Nchini.
Inakuwaje Mwenyekiti wa chama kimojawapo anatoa tamko shughuli za siasa hadi apende yeye.
Ofisi hii ikaungane na Rita kupunguza matumizi ya fedha.Msajili asiwe mteule wa Rais
Wataandamana kwani uhai wa chama mambo yake yapo hapo🤔.Nini majukumu ya kila siku ya Ofisi hii ya msajili wa vyama vya siasa ikiwa vyama havifanyi kazi za siasa Nchini.
Inakuwaje Mwenyekiti wa chama kimojawapo anatoa tamko shughuli za siasa hadi apende yeye.
Ofisi hii ikaungane na Rita kupunguza matumizi ya fedha.Msajili asiwe mteule wa Rais
Msajili Yupo kimkakati Kulinda Maslahi ya CCM na Kuigandamiza Chadema kwa Kutunga Sheria kandamiziNini majukumu ya kila siku ya Ofisi hii ya msajili wa vyama vya siasa ikiwa vyama havifanyi kazi za siasa Nchini.
Inakuwaje Mwenyekiti wa chama kimojawapo anatoa tamko shughuli za siasa hadi apende yeye.
Ofisi hii ikaungane na Rita kupunguza matumizi ya fedha.Msajili asiwe mteule wa Rais
Kwa hiyo majukumu ya kila siku nikutafuta mbinu za kulinda chama tawala?Msajili Yupo kimkakati Kulinda Maslahi ya CCM na Kuigandamiza Chadema kwa Kutunga Sheria kandamizi