DexterLab
Senior Member
- Oct 17, 2024
- 161
- 193
Unaset desktop mode kwenye browser yakoMie nimejaribu ku register kupitia website yako ila kila niki login sioni maelekezo yoyote. Ni kwangu tu au kuna mtu kapata changamoto kama yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaset desktop mode kwenye browser yakoMie nimejaribu ku register kupitia website yako ila kila niki login sioni maelekezo yoyote. Ni kwangu tu au kuna mtu kapata changamoto kama yangu
1181Wakuu anuani tunatumia ipi
Tunaielekeza kwa Kamishina Generali sio?1181
YeahTunaielekeza kwa Kamishina Generali sio?
Zimejaa mtandaoni acha uvivu. Andika "barua kazi uhamiaji" zitakuja kibaoMwenye sample ya barua naomba please
Habari. Vipi umefanikiwa? Mimi hata nikiweka Desktop mode haikubaliHata me nikiingia naona hewa tu after registration
Tumia Samsung browser mbona wengine fresh tuHabari. Vipi umefanikiwa? Mimi hata nikiweka Desktop mode haikubali
tuma picha inavokuwa. hakuna kinachoshindikana kwenye simu.Habari. Vipi umefanikiwa? Mimi hata nikiweka Desktop mode haikubali
Zimejaa mtandaoni acha uvivu. Andika "barua kazi uhamiaji" zitakuja kibao
Mimi ni mdau wa jamii forum kutoka kiembe samaki unguja zanzibar nina ombi juu ya idara ya uhamiaji tanzania kuhusu ombi la kazi lililotolewa November 29,2024 nilikuwa naombi kuhusu vigezo vilivotolewa na idara iyo kama kigezo cha umri na kigezo cha elimu kwamba Kuna changamoto tulionayo Kuna baadhi ya waombaji washamaliza stashahada taaluma zao Lakini kutoka na muda wa kuchelewesha kutoka kwa vyeti vyao kutoka mavyuoni walivosoma watapelekea kukosa izo nafasi za kujiunga na jeshi la uhamiaji kwahiyo ushauri wangu waturuhusu idara ya uhamiaji tanzania kutumia kama utambulisho kutoka vyuoni ili utusaidie kufanya maombi mpaka muda wa kutolewa vyeti tutaambatanisha na kufikisha sehemu husika katika idara iyo.,ahsanteni sana jamii forum natumai mtanisaidia kufikisha haya maombi yanguView attachment 3168200
Haionyesho popote pa kugusatuma picha inavokuwa. hakuna kinachoshindikana kwenye simu.
Haionyesho popote pa kugusa
Haionyesho popote pa kugusa
Tatizo umri wanawapachika watoto wao kwa mbinu za kubuni la mama yaoMbona wanaajiri vitoto vitoto tu
Kigezo umri wako ukifika kule wanadai namba ya Nida ikisoma umri mkubwa above 30 unatemwa fasta system inakukataa umri ambao system inakubari ni 0-30 ndio mwisho yaan hata ukiweka kadi ya Nida ya mtoto wako wa Nursery mfumo unampokea wanawaajiri makinda only la mama yaoHzo kazi ni mpaka upitie mafunzo kama ya mgambo au jkt??? Au hata kama hujapitia unaomba tu