Ofisi ya Waendesha Mashtaka kugeuka kuwa ofisi ya wafuta mashtaka kunatia doa mfumo wa haki nchini

Ofisi ya Waendesha Mashtaka kugeuka kuwa ofisi ya wafuta mashtaka kunatia doa mfumo wa haki nchini

..haki lazima itendeke.

..fikiria ingekuwa ni wewe umewekwa mahabusu miaka 9 kwa tuhuma ambazo waliokukamata hawawezi kuzithibitisha.

..naamini wananchi wakianza kudai fidia wanaohusika na ukamataji na uchunguzi watakuwa makini zaidi ktk kazi zao.
Fidia ikiruhusiwa ndipo ubambikiaji kesi utapungua
 
Pale Gereza la Songwe zaidi ya asilimia 60 ya mahabusu wana kesi za mauaji, Katibu Mkuu Utumishi na Katibu Mkuu wizara ya katiba na sheria walifanya ziara ya kustukiza mwezi wa 5 mwaka huu..
Katika kufanya udadisi makatibu hao wakuu wakachukua mahabusu mmoja wakamuuliza ulifanya mauaji wapi? Akawajibu simjui niliye muuwa.. Nimetoka safari katika kuzurura nitafute sehemu ya kulala nilikamatwa na askari usiku.. Wakitaka chochote.. Matokeo yake nipo humu ndani miezi minne upelelezi bado....
Sasa fikiri ni wangapi wamebambikwa kesi?
Wengi sana wamepewa kesi za ujambazi wa kutumia Bunduki wakati hawajui hata kutumia gobole tu
 
Ofisi ya DPP imegeuka kuwa ofisi ya wafuta mashtaka badala ya ofisi ya waendesha mashtaka. Haya madaraka mapya yakufuta mashtaka wameyatoa wapi?

Kwanini imeacha jukumu la msingi la kuanzishwa kwake? Kama wamebaini walikosea, hao waliokosea kifungua mashtaka wanasubiri nini kushtakiwa?
Kisheria DPP ana nguvu za kufuta mashtaka ya jinai, bila kutoa maelezo yoyote.

Kama hupendi hilo jipange na mbunge wako mbadilishe sheria hiyo.
 
Dipipi anatimiza majukumu yake vizuri ya kuendesha mashitaka yanayiendesheka.

Sasa wewe utaka kila shitaka liendeshwe tu wakati halina matairi.

Muache ayafute kabisa, aendelee na yale yaliyo sahihi.
DPP nae ni binadamu ana mapungufu yake na pia ana mahitaji yake hii ni fursa mpya kwake kutengeneza kama wengine waliomtangulia kwenye msafara wa mamba na kenge nao pia wamo
 
Kila operation kwa Tanzania lazima ijae mapungufu udhaifu na malalamiko mengi zaidi kwani siku zote wajanja wachache huwaza kutumia fursa zote zinazojitokeza kila mara
 
Kisheria DPP ana nguvu za kufuta mashtaka ya jinai, bila kutoa maelezo yoyote.
Kuna wigo wa mamlaka ya kufuta mashtaka ambao umeelezwa na Katiba.

Sio swala la kuamka na kufuta tu jinsi anavyojisikia.

Ukiona mpaka MAGAIDI na MATAPELI yanaachiwa huru unabaini DPP ameshachanganyikiwa!
 
Mama kama mkuu wa serikali alifanya makosa sana kutumia maneno ya "kubambikia" kesi ambayo ni lugha ya mitaani sana. DPP atafanya lolote awezalo kuonyesha kuwa "habambikii" kesi na kuondoa ile dhana ya "kuwatuhumu wahalifu" kwanza halafu kufanya ucgungunzi na badaye kuiachia mahakama iamaue kama tuhuma hizo ni za haki na kweli. Sasa hivi DPP anasema hatuwezi kumbambikia mtu kesi mpaka tumshike "red handed."

Mama yuko mstali wa mbele kuwasimaisha akina Kakoko na Sabaya ili kuruhusu uchunguzi dhidi yao, ambayo ni kweli kabisa. Ila kuna watuhumiwa wale ambao hahitaji uchunguzi ufanywe dhidi yao kwa sababu itakuwa ni "kuwababimbikizia" kesi !!
 
Kuna wigo wa mamlaka ya kufuta mashtaka ambao umeelezwa na Katiba.

Sio swala la kuamka na kufuta tu jinsi anavyojisikia.

Ukiona mpaka MAGAIDI na MATAPELI yanaachiwa huru unabaini DPP ameshachanganyikiwa!
Wigo upi?

Unaelewa hata gaidi au tapeli ukimfunga bila kufuata due process unajiwekea mazingira ya kujitetea kaonewa yanayoweza kupelekea kesi kufutwa?
 
unaonaje ukishauri wanaoshitaki wawe wanapeleka mashtaka ya msingi yenye ushahidi usio na mashaka. Fungwa wewe kwa hila ndio utaona umuhimu wa kioichofanyika.
 
Naamini labda DPP hakuelewa vyema maelekezo maana anaachia Kila mtu,

Yaani mpaka matapeli maarufu.
Unaweza kuta Rizi moko ndiyo kakamatia hilo deal la kuwachomoa wezi jela, ndiyo maana unaona wanatoka wezi Mataita tu,Gerezani watabaki wezi wa kuku tu wa huko uswahilini!!
 
Ni uelewa tu unakusumbua.labda ungetafuta sheria iliyoanzisha Ofisi ya DPP ukaisoma vizuri ungetambua majukumu na kazi za DPP. Kwahiyo usingekuja kuandika utumbo hapa JF.
 
Pale Gereza la Songwe zaidi ya asilimia 60 ya mahabusu wana kesi za mauaji, Katibu Mkuu Utumishi na Katibu Mkuu wizara ya katiba na sheria walifanya ziara ya kustukiza mwezi wa 5 mwaka huu..
Katika kufanya udadisi makatibu hao wakuu wakachukua mahabusu mmoja wakamuuliza ulifanya mauaji wapi? Akawajibu simjui niliye muuwa.. Nimetoka safari katika kuzurura nitafute sehemu ya kulala nilikamatwa na askari usiku.. Wakitaka chochote.. Matokeo yake nipo humu ndani miezi minne upelelezi bado....
Sasa fikiri ni wangapi wamebambikwa kesi?
ndio maana tunamshauri awafutie kesi wafungwa wote,tuanzs upya.

au mnasemaje makamanda??

mi 9 kwa mama na DPP.
 
Pale Gereza la Songwe zaidi ya asilimia 60 ya mahabusu wana kesi za mauaji, Katibu Mkuu Utumishi na Katibu Mkuu wizara ya katiba na sheria walifanya ziara ya kustukiza mwezi wa 5 mwaka huu..
Katika kufanya udadisi makatibu hao wakuu wakachukua mahabusu mmoja wakamuuliza ulifanya mauaji wapi? Akawajibu simjui niliye muuwa.. Nimetoka safari katika kuzurura nitafute sehemu ya kulala nilikamatwa na askari usiku.. Wakitaka chochote.. Matokeo yake nipo humu ndani miezi minne upelelezi bado....
Sasa fikiri ni wangapi wamebambikwa kesi?

Mkuu usiwasikilize watuhumi na kuwaamini kwa 100% ,inawezekana akawa anasema kweli au anaongopa! Kuna Dogo alikuwa anaelezea jinsi alivyofanya ujambazi wa kutumia silaha akawekwa ndani ila alipohojiwa mahakamani akabadili gear angani akasema alikamatwa na askari wakati alipokuwa baa anakunywa na demu wa askari bila yeye kujua.(Akaongopa na kweli alitoka jela).
 
Pale Gereza la Songwe zaidi ya asilimia 60 ya mahabusu wana kesi za mauaji, Katibu Mkuu Utumishi na Katibu Mkuu wizara ya katiba na sheria walifanya ziara ya kustukiza mwezi wa 5 mwaka huu..
Katika kufanya udadisi makatibu hao wakuu wakachukua mahabusu mmoja wakamuuliza ulifanya mauaji wapi? Akawajibu simjui niliye muuwa.. Nimetoka safari katika kuzurura nitafute sehemu ya kulala nilikamatwa na askari usiku.. Wakitaka chochote.. Matokeo yake nipo humu ndani miezi minne upelelezi bado....
Sasa fikiri ni wangapi wamebambikwa kesi?
Mwongo huyo!
 
Back
Top Bottom