Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
Due process maana yake nini?Wigo upi?
Unaelewa hata gaidi au tapeli ukimfunga bila kufuata due process unajiwekea mazingira ya kujitetea kaonewa yanayoweza kupelekea kesi kufutwa?
Usikute wewe ulikua katibu muhtasi kwenye kundi la mauaji la wasiojulikana,,zama zenu zimepita,,kiongozi mwenye hekima hawezi kukaa anawinda winda kuwaumiza raia wake na kuwafirisi ili yeye na ukoo wake ndo wabakie matajiriOfisi ya DPP imegeuka kuwa ofisi ya wafuta mashtaka badala ya ofisi ya waendesha mashtaka. Haya madaraka mapya yakufuta mashtaka wameyatoa wapi?
Kwanini imeacha jukumu la msingi la kuanzishwa kwake? Kama wamebaini walikosea, hao waliokosea kifungua mashtaka wanasubiri nini kushtakiwa?
Ofisi ya DPP imegeuka kuwa ofisi ya wafuta mashtaka badala ya ofisi ya waendesha mashtaka. Haya madaraka mapya yakufuta mashtaka wameyatoa wapi?
Kwanini imeacha jukumu la msingi la kuanzishwa kwake? Kama wamebaini walikosea, hao waliokosea kifungua mashtaka wanasubiri nini kushtakiwa?
Tapeli yupi?,kama unamuongelea papa msofe ,huyo si alihukumiwa na wakamtoa pesa kisha wakamkamata tena ,wakamtoa upepo,kusha wakamkamata tena..Naamini labda DPP hakuelewa vyema maelekezo maana anaachia Kila mtu,
Yaani mpaka matapeli maarufu.
Hujajibu wigo upi kwanza.Due process maana yake nini?
Kuna sheria inayotoa mwongozo kuhusu muda wa kufanya upelelezi?
Mtapata tabu sana, kubambika kesi kisa mnatofautiana siasa au itikadi no.Imeisha hiyoMama kama mkuu wa serikali alifanya makosa sana kutumia maneno ya "kubambikia" kesi ambayo ni lugha ya mitaani sana. DPP atafanya lolote awezalo kuonyesha kuwa "habambikii" kesi na kuondoa ile dhana ya "kuwatuhumu wahalifu" kwanza halafu kufanya ucgungunzi na badaye kuiachia mahakama iamaue kama tuhuma hizo ni za haki na kweli. Sasa hivi DPP anasema hatuwezi kumbambikia mtu kesi mpaka tumshike "red handed."
Mama yuko mstali wa mbele kuwasimaisha akina Kakoko na Sabaya ili kuruhusu uchunguzi dhidi yao, ambayo ni kweli kabisa. Ila kuna watuhumiwa wale ambao hahitaji uchunguzi ufanywe dhidi yao kwa sababu itakuwa ni "kuwababimbikizia" kesi !!
.kwa nn Askari hakupeleka uthibitisho?Mkuu usiwasikilize watuhumi na kuwaamini kwa 100% ,inawezekana akawa anasema kweli au anaongopa! Kuna Dogo alikuwa anaelezea jinsi alivyofanya ujambazi wa kutumia silaha akawekwa ndani ila alipohojiwa mahakamani akabadili gear angani akasema alikamatwa na askari wakati alipokuwa baa anakunywa na demu wa askari bila yeye kujua.(Akaongopa na kweli alitoka jela).
Kama haipo Ni uhuni, unaanzaje kumkamata mtu na kumweka ndani miaka 9 Kisha unasema upelelezi haujakamilika?Due process maana yake nini?
Kuna sheria inayotoa mwongozo kuhusu muda wa kufanya upelelezi?
Kama unadhania DPP anawaachia watuhumiwa wanaosahili kuhukumiwa, peleka huo ushahidi ambao mpaka leo Mahakama haijapokea.Ofisi ya DPP imegeuka kuwa ofisi ya wafuta mashtaka badala ya ofisi ya waendesha mashtaka. Haya madaraka mapya yakufuta mashtaka wameyatoa wapi?
Kwanini imeacha jukumu la Msingi la kuanzishwa kwake? Kama wamebaini walikosea, hao waliokosea kifungua mashtaka wanasubiri nini kushtakiwa?
Hata makaburu walikuwa na sheria ya ubaguzi wa rangi. Ilikuwa ndiyo sheria ya nchi, lakini ni sheria dhalimu.Kama haipo Ni uhuni, unaanzaje kumkamata mtu na kumweka ndani miaka 9 Kisha unasema upelelezi haujakamilika?
Wigo uliowekwa na Katiba. Kautizame — umeelezwa vyema.Hujajibu wigo upi kwanza.
Jibu swali, halafu uliza swali.
Ulitaka wafanyeje?Kama haipo Ni uhuni, unaanzaje kumkamata mtu na kumweka ndani miaka 9 Kisha unasema upelelezi haujakamilika?
DuhM.bwa nyie, hamjulikani mnataka nini, dikteta ndio alikuwa anawaweza kumbe k.enge nyinyi
Laana kama hii alitengeneza mwendazakeLaana inayolitesa bara la afrika chanzo chake ni uonevu uliopo katika mifumo ya utoaji haki.
Kesi 147 za takukuru za uonevu zinapofutwa inabidi tuangalie kwa kina na kujadili ni wangapi wameteseka ambao maisha yao yanawategemea wote waliobambikiwa kesi.
Due process inayoondokana na letter na spirit ya sheria kandamizi za kikoloni 40 kama zilivyotajwa katika ripoti ya tume ya Jaji Nyalali.Wigo uliowekwa na Katiba. Kautizame — umeelezwa vyema.
Hiyo "due process" unayoitaka wewe ni ipi?
Kiranga kongole, well put and professionally with living examplesHata makaburu walikuwa na sheria ya ubaguzi wa rangi. Ilikuwa ndiyo sheria ya nchi, lakini ni sheria dhalimu.
Hata sheria zipo dhalimu zinazotakiwa kuping3a na kufutwa.
Hizi sheria za "indefinite detention" ni sheria ambazo zilisemwa vibaya kama sheria 40 kandamizi na marehemu Jaji Nyalali katika ripoti ya tume aliyoiongoza.
Ni sheria za kikoloni zilizotumika kuwadhibiti wapigania uhuru.
Cha ajabu, wazalendo wamechukua nchi zao, watu walewale waliopinga ukoloni, walipochukua madaraka wao wakaona sheria hizi za kikoloni ni tamu, hawakuziondoa.
Tangu ukoloni mpaka tume ya Nyalali sheria hizi kandamizi za hazijaondolewa.
Tangu Jaji Nyalali akemee ubaya wa sheria hizi kandamizi, moaka leo hazijaondolewa.
Unataka muda wa kufanya upelelezi uwe kiasi gani?Due process inayoondokana na letter na spirit ya sheria kandamizi za kikoloni 40 kama zilivyotajwa katika ripoti ya tume ya Jaji Nyalali.
Sheria hizi na zinazofanana nazo zinaipa nguvu serikali kuwafunga watu kizuizini bila mashitaka, au kuwaweka mahabusu kwa muda mrefu kwa kisingizio cha "uchunguzi unaendelea".