Ofisi za CHADEMA Kanda ya Kaskazini zimechomwa moto usiku wa kuamkia leo ikiwa katika maandalizi ya kumpokea Tundu Lissu

Ofisi za CHADEMA Kanda ya Kaskazini zimechomwa moto usiku wa kuamkia leo ikiwa katika maandalizi ya kumpokea Tundu Lissu

CCM haijawahi mjengea hofu mpiga kura ukimjengea hofu hatapiga kura. Hiyo ni kutafuta tu kick kwa kitoto kwa Chadema. Mnachofanya ni utoto

Ccm haitegemei wapiga kura, usitake kupotosha. Ccm imeshajuwa wapiga kura ni wa kizazi hiki, na kizazi hiki hakiitakitaki ccm. Ccm sasa hivi inategemea kupita bila kupingwa, mfano halisi ni chaguzi zote za marudio, na uchaguzi wa SM. Kama nimesema uongo, niambie uchaguzi wa SM ccm mlishinda kwa kura ngapi?

Iko hivi boss, kila kitu kina zama zake. Ccm sio chama cha zama hizi na mifano ya dhahiri ipo. Ni kipi ambacho ccm haijafanya ndani ya hii miaka mitano lakini bado watu wanapenda upinzani? Ccm imejenga miundombinu kibao, imeteka, kujeruhi, kuwafunga wapinzani hata kuwaua, lakini bado watu wanapenda upinzani tu.

Kama ni siasa wapinzani wamekataliwa kufanya kwa mujibu wa sheria, lakini muda mchache tu wameonyesha hisia zao. Hiyo ni dalili kuwa hakuna uwezekano tena wa ccm kutawala nchi hii kwa kura halali, zaidi ya 60%.
 
Yote hiyo wanatafuta media attention wameona hawatangazwi wameanza kujitengenezea matukio kutafuta media attention

Media attention Zaidi ya hii inayowaumiza? Mnalazimisha kufunga vyombo vya habari visivyo wafagilia, saa hii mmehamia kutotaka vyombo vya habari vya nje kusikika vyema.

Ni hatari gani ambayo itapatikana baada ya Magufuli kuingia madarakani, ambayo haikutokea huko nyuma tulipokuwa tukisikiliza hivyo vyombo vya habari? Sasa hivi habari za cdm zinatangazwa mpaka useme wanatafuta media attention?
 
Jambo mnalopaswa kulifanya nyinyi Chadema ni kuhakikisha mnatumia zaidi TEHAMA kwa shughuli zenu, hayo makaratasi yote kwenye maofisi yenu yatalipuliwa, huu ni mpango maalum uliopangwa, na wala hakuna haja yoyote ya kuripoti mambo haya polisi, hamtasaidiwa.

Moto waliouwasha wananchi kwenye mapokezi ya Lissu umewafanya watu waoga kufikia maamuzi hayo, hivi ni vitisho vya kichovu sana ambavyo havitaweza kumtisha yeyote kwenye mapambano haya.
 
Mnauhakika gani kama ni wapinzani wa Lissu ndiyo wamechoma moto acheni ushabiki acheni police wafanye kazi ya uchunguzi

Hao Polisi waanze na Wasiojulikana waliompiga RISASI TAL,

Waliochoma Moto madhara yao hayalingani na yale ya risasi.
 
Kutoa taarifa za uhalifu kwa jeshi la polisi ni lazima. Tuliamini jeshi letu.
 
#Sasa basi
View attachment 1536624
View attachment 1536705

===
Taarifa ya awali inasema Watu ambao hawajajulikana, usiku wa kuamkia leo wamevamia na kumwagia petroli kisha kuchoma moto Ofisi za CHADEMA Kaskazini na ofisi za Mkoa na Wilaya

Uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea kubaini wahusika na madhara yaliyojitokeza

ZAIDI:

Ofisi za kanda ya Kaskazini zilizopo Arusha, zimechomwa moto. Jengo lote limepigwa petroli, madirisha yakavunjwa, moto ukawashwa mlango wa mapokezi. Moto ulizimwa na "fire". Mlinzi hajukikani alipo, silaha zake zimeokotwa, jirani anasema alimsikia Mlinzi akipiga kelele kuwa amevamiwa akiomba msaada akiwa anakimbia - anafukuzwa, hajapatikana hadi sasa.

Yote hayo yanatokea wakati mgombea urais wa CHADEMA ndg. Tundu Lissu akiingia Arusha leo kutafuta saini za wadhamini akitokea Katesh, Hanang
Ndo tatizo la vyma vya mifukoni. Ofisini munakotegemea kumpokea mgombea, hakuna hata walinzi? Ina maana hata usalama haukuandaliwa hapo ofisini? Usanii mwiiingi!
 
Wewe utumbo wa kuku acha upuuzi. Huyo kilema wenu alikuwa chato lini!! Uliambiwa chato kuna mabasha.

Na hizo mbinu zenu za kijinga mnazifanga kwa hao wavuta bangi huwenda mkafanikisha. Lakini kwa wanaojielewa huwezi kufanya ujinga huo. Uchome ofisi ya chama ofisi ndiyo inayopiga kura? Au ofisi ndiyo inadhamini mgombea?
Wewe kistobe cha kuku unajua nn kuhusu siasa wewe, nenda Kapange foleni upewe ujira wako Lumumba , huku unajaza saver tu.
 
Back
Top Bottom