Ogopa kukataliwa na watu; Nassari amepoteza mvuto na hoja sidhani kama huko kwao watampa hata uongozi wa kijiji akiomba kura

Credibility yao iko juu sana huwez fananisha na nassari,
Ninani anayeangaika au kumsikiliza nassari au mtatiro
 
Una maono madogo sana kama nzi mwenye kuwaza msimu wa vidonda
 
uDC, uRC, uDED, vinapofusha akili. Vyeo vya kuteuliwa havikupi uhuru wa kufikiri. Unafanya kazi kama tarishi.

Ndiyo maana, maDC na maRC wengi wenye akili, huwa wanaamua kugombea ubunge. Ukiacha hawa wabunge waliopachikwa kama hawa wa safari hii, wabunge wana uhuru wa kufikiri. Hakuna adhabu mbaya kwa mwenye akili kunyimwa uhuru wa kufikiri.
 
Nyie maono yenu ni ya matusi? Hao wazee wanaotema mate chini ni wahuni waliozeeka.
 
Umeongea mambo mazito, vijana tujifunze kupitia hili.
 
Njaa zake ndiyo zinamtufuna
 
Just imagine unakuwa mbunge unalipwa mamilioni.

Unaukimbia ubunge unaenda US Unasingizia unauguza.

Unarudi bongo unahamia CCM. Unapewa ukuu wa wilaya. Unapotea kisiasa. Huna dira tena. Hoja zako moto moto zinageuka mapambio.
Shida ni tamaa
 
Kwahiyo ukiwa msomi una uhakika wa kupata kazi? Hawa wasomi walioko mtaani shida ni nini kama ukiwa msomi utapata kazi? Angekuwa anajiamini kwenye elimu yake asingejilegeza kwa dhalimu.
 
Watu tuna watoto wanasoma hadi nje na hatujipendekezi kwa mtu yoyote. Kama ili watoto wakelo wasome kokote duniani ni lazima ujipendekeze bora watoto wangu wasisome kabisa. Na ujinga wako unaamini kufanya kitu ndani ya nchi hii ni lazima uwe kiongozi, basi utakuwa hujui maana ya kufanya kitu.
 
Kwahiyo ukiwa msomi una uhakika wa kupata kazi? Hawa wasomi walioko mtaani shida ni nini kama ukiwa msomi utapata kazi? Angekuwa anajiamini kwenye elimu yake asingejilegeza kwa dhalimu.
Hahaha tayari umeshakosa mwelekeo kwenye hili suala. Connections alizo nazo Nassari hakuna kenge yeyote wa Ufipa anazo.
 
Hahaha tayari umeshakosa mwelekeo kwenye hili suala. Connections alizo nazo Nassari hakuna kenge yeyote wa Ufipa anazo.
Yeye alikuwa anasubiri ajikombe ndio apate connections, sisi tunazo bila kujikomba kwa mtu. Na hata kwenye kampeni zake tumemchangia sana.
 
Yeye alikuwa anasubiri ajikombe ndio apate connections, sisi tunazo bila kujikomba kwa mtu. Na hata kwenye kampeni zake tumemchangia sana.
Nassari ni heavyweight kisiasa. Hastahili kuendelea kuwa kwenye chama dhaifu kisiasa kama CHADEMA. Kama akitoka CCM bora aende ACT.
 
Nassari ni heavyweight kisiasa. Hastahili kuendelea kuwa kwenye chama dhaifu kisiasa kama CHADEMA. Kama akitoka CCM bora aende ACT.
Heavyweight kisha anakimbilia kwenye chama kinachotegemea vyombo vya dola! Aende ACT hakuna mwenye tatizo na hilo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…