Ogopa kuoa mtu mwenye status ya chini. Utachapiwa mpaka na mkata nyasi za kulishia ng'ombe

Ogopa kuoa mtu mwenye status ya chini. Utachapiwa mpaka na mkata nyasi za kulishia ng'ombe

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kabla ya mwanaume kumtongoza mwanamke huwa anaangalia hadhi (social status). Hadhi ya mwanamke inajengwa na vitu vifuatavyo:-elimu, fedha, cheo na uzuri wake.

Hadhi ndiyo Kinga inayochuja na kupunguza wanaume kumtongoza mwanamke.
Mfano mwanamke:-
1. Mwenye shahada (ya kwanza, uzamili ama uzamivu).
2. Anayemiliki duka, gari, nyumba n.k.
3. Meneja, mkurugenzi, DC, mbunge, RC, waziri, rais, n.k.
4. Miss wilaya, miss mkoa, miss Tanzania, n.k.
Hawa wote wanaogopwa (hawasogelewi hovyo) na wanaume wachovu na hohehahe

Iwapo hadhi yake ni ya chini, maana yake kila mwanaume anaweza kuifikia na kumtongoza.

Na kwasabb naye hajiamini, hawezi kuchomoa maombi ya mabaharia. Kwahiyo utakuta watu wanajipigia tu hovyo, kuanzia shamba boy, bodaboda, jirani, muuza genge, rafiki mpk bosi wako.
 
Hayana formula haya.. Huwezi zuia mwanamke kutongozwa, kila mwemye hadhi ana wa hadhi yake na wengine juu zaidi yake.. Ana kadegree kake, ka kazi ka mshahara wa milioni na ka crown kake, kuna mwanaume ana range, na mshahara wa milioni 5.

Kukubali ama kukataa ni juu yake, mapenzi kwa mwenza wake na heshima tu.

Mwanamke anagongwa ama kutokugongwa kwa maamuzi ama mapenzi yake yeye.
 
Hii research umeifanyia wapi?
Hao uliowaorodhesha wote wanalika tena wengine kimasihara… hizi degree holder zinapatikana hadi kitambaa cheupe zinauza.
 
Wanaume kujadili mambo ya wanawake kila siku ni matumizi mabaya ya muda na nguvu tunazopaswa kuzitumia kufanya gunduzi mbalimbali za kimaendeleo.
Kuna pahala tunawasumbua si bure
 
Kabla ya mwanaume kumtongoza mwanamke huwa anaangalia hadhi (social status). Hadhi ya mwanamke inajengwa na vitu vifuatavyo:-elimu, fedha, cheo na uzuri wake...
Mwanamke hana status ata aje awe nani. Status ya mwanamke ipo kichwani kwa mwanaume. Na zinatofautiana mwanaume na mwanaume.

Wewe unaweza ukamdekeza mwanamke, mwenzako anampiga makofi. Na bado anarudi kwake na anampea ,wewe unapewa kwa masharti.

Ni mwanaume pekee mwenye status ambayo imesimama na kuheshimiwa bila kupingwa katika jamii. Kuna wanawake ni majaji, na wakurugenzi ila wanaongozwa na intern na walinzi wa getini wanakuja kulalamika.
 
Kabla ya mwanaume kumtongoza mwanamke huwa anaangalia hadhi (social status). Hadhi ya mwanamke inajengwa na vitu vifuatavyo:-elimu, fedha, cheo na uzuri wake...
Hao unaowaona wa juu wanachapwa hadi na matango. Acha ujuaji.
 
Kabla ya mwanaume kumtongoza mwanamke huwa anaangalia hadhi (social status). Hadhi ya mwanamke inajengwa na vitu vifuatavyo:-elimu, fedha, cheo na uzuri wake...
Heshima na hadhi ya mwanamke wa kuolewa ni BIKRA, kama hajawahi kuolewa na sio BIKRA basi hana heshima na amewakosesha heshima wazazi wake.

UKIPINGA HAPA BASI KAA UKIJUA KWENU MNAISHI KAMA WANYAMA NA KWENU MWANAMKE HAJAPEWA HESHIMA.
 
Mama yako mzazi ana kigezo chochote hapo?
Binafsi mama yangu hana hata kimoja lakini amedumu katika ndoa yake mpaka leo.
 
Kabla ya mwanaume kumtongoza mwanamke huwa anaangalia hadhi (social status). Hadhi ya mwanamke inajengwa na vitu vifuatavyo:-elimu, fedha, cheo na uzuri wake...
Ngoja tukuambie ukweli. Hao unaowasifia wanajiamini mno, hawahitaji mume katika maisha yao, na wakiamua kutembea nje wanatembea tu, kwa sababu they have nothing to lose but their boring man. Kutotembea au kutembea nje kwao ni uamuzi au maadili, sio uoga wa kuachwa na mume.

Hao wa hali ya chini wanakuambudu hata ukiwa na ka digirii kamoja, maana wanaona umewatoa jalalani na ukiwaacha wataenda wapi? Wewe ndio umewafanya wapande SGR.

Wanatamani wakubebe kukupeleka bafuni ili usiwaache. Mwanamke mwenye gari yake au meneja, mkurugenzi, mbunge, RC, waziri, raisi nk, atakuambia njoo mume wangu nikubebe kwenda bafuni ukaoge? Thubutu, waulize, si wapo hapa kina Gwajima, Jenista Mhagama, Tulia, nk. Waulize
 
Back
Top Bottom