Duh!!! AiseLove has no securely
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!!! AiseLove has no securely
Ndio maana koo za simba gtunaoana na wa koo za simba wenzetu tu. Tunajuana tabia na maadili yetu. Hatuchezi mbali, kama ni wa koo ya simba tutakulana tu labda uwe hutaki, Koo za simba hatulazimishia kujamiiana, na kwetu hakuna kufanya mapenzi ni kujamiiana tu, mapenzi tunafanya na wake zetu tu.Kabla ya mwanaume kumtongoza mwanamke huwa anaangalia hadhi (social status). Hadhi ya mwanamke inajengwa na vitu vifuatavyo:-elimu, fedha, cheo na uzuri wake.
Hadhi ndiyo Kinga inayochuja na kupunguza wanaume kumtongoza mwanamke.
Mfano mwanamke:-
1. Mwenye shahada (ya kwanza, uzamili ama uzamivu).
2. Anayemiliki duka, gari, nyumba n.k.
3. Meneja, mkurugenzi, DC, mbunge, RC, waziri, rais, n.k.
4. Miss wilaya, miss mkoa, miss Tanzania, n.k.
Hawa wote wanaogopwa (hawasogelewi hovyo) na wanaume wachovu na hohehahe
Iwapo hadhi yake ni ya chini, maana yake kila mwanaume anaweza kuifikia na kumtongoza.
Na kwasabb naye hajiamini, hawezi kuchomoa maombi ya mabaharia. Kwahiyo utakuta watu wanajipigia tu hovyo, kuanzia shamba boy, bodaboda, jirani, muuza genge, rafiki mpk bosi wako.
Nasubiri mtu atakayekuja na uthibitisho kiwa mishangazi ni mimama isiyo na pesaKabla ya mwanaume kumtongoza mwanamke huwa anaangalia hadhi (social status). Hadhi ya mwanamke inajengwa na vitu vifuatavyo:-elimu, fedha, cheo na uzuri wake.
Hadhi ndiyo Kinga inayochuja na kupunguza wanaume kumtongoza mwanamke.
Mfano mwanamke:-
1. Mwenye shahada (ya kwanza, uzamili ama uzamivu).
2. Anayemiliki duka, gari, nyumba n.k.
3. Meneja, mkurugenzi, DC, mbunge, RC, waziri, rais, n.k.
4. Miss wilaya, miss mkoa, miss Tanzania, n.k.
Hawa wote wanaogopwa (hawasogelewi hovyo) na wanaume wachovu na hohehahe
Iwapo hadhi yake ni ya chini, maana yake kila mwanaume anaweza kuifikia na kumtongoza.
Na kwasabb naye hajiamini, hawezi kuchomoa maombi ya mabaharia. Kwahiyo utakuta watu wanajipigia tu hovyo, kuanzia shamba boy, bodaboda, jirani, muuza genge, rafiki mpk bosi wako.
Mhu! Ni wengi. Kwani ndoa zinazovunjika kwa sababu ya mchepyko ni chache? Na je huwa unaona hao wa mchepyko ni wenye hadhi kuliko mume/mke wa ndoa?Yes. Wapo, but they are very very few.