Ogopa kuoa mtu mwenye status ya chini. Utachapiwa mpaka na mkata nyasi za kulishia ng'ombe

Ndio maana koo za simba gtunaoana na wa koo za simba wenzetu tu. Tunajuana tabia na maadili yetu. Hatuchezi mbali, kama ni wa koo ya simba tutakulana tu labda uwe hutaki, Koo za simba hatulazimishia kujamiiana, na kwetu hakuna kufanya mapenzi ni kujamiiana tu, mapenzi tunafanya na wake zetu tu.
 
Kumbe hujui lolote. Namfaham mama mmoja Mme wake sasa ni balozi moja ya nchi hapa Africa. Mke yupo Mjini humu na analiwa na fundi gereji tena kwenye gari (LC300).
Kwa kifupi mambo ya kuchapiwa hayana formula inatokea kwa yoyote.
 
Nasubiri mtu atakayekuja na uthibitisho kiwa mishangazi ni mimama isiyo na pesa
 
Yes. Wapo, but they are very very few.
Mhu! Ni wengi. Kwani ndoa zinazovunjika kwa sababu ya mchepyko ni chache? Na je huwa unaona hao wa mchepyko ni wenye hadhi kuliko mume/mke wa ndoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…