Ogopa kupata nuksi au nyota yako kushuka

Ukaimwaga nje au ndani
 
Kwa matumizi ya kawaida usiache tafadhali .. Kuchoma kama unataka kuharibu.. Ifanye tu sehemu yako
 
Tafuta kitabu cha jabali, Munga Tehenan. Jinsi ya kupata pesa bahati na mafanikio.

Hutajuta.
 

Waoow mkuu upo sahih dah ahsante sana , kuhusu chanzo cha tatizo bado sjajua ila mim sio mzinifu, sijawahi iba mali yoyote ya mtu zaidi kupola demu wa mtu sio mke, pia naota ndoto za kuwa narud shule mara kwa mara, pia naota ndoto za mapambano na watu au kufukuzwa mara kwa mara au ndoto za kuwa nipo vitan na mim ndo jesi linanitegemea
Sasa hapo sjuhi nin maana ya hz ndoto pia spatiwi dili yaan nasahaulika au unaskia kuna shughul mahal alafu mleta dili anapotea jumla ,
Nimejifunza kitu kwenye comment yako thanks mkuu,
Omb langu nifafanulie najuaje chanzo cha yote haya
 
Weweeee, yaani Pascal Mayalla kawa mchawi siku hizi? Maisha yamemshinda nini?
 
Weweeee, yaani Pascal Mayalla kawa mchawi siku hizi? Maisha yamemshinda nini?
Mkuu mbongo_halisi, mimi sio mchawi wala maisha hayajanishinda bali napitia changamoto za kawaida za maisha, ups and downs kwenye life ni vitu vya kawaida. Mimi humu jf ni Mwalimu wa masomo mawili kuhusu maisha.
1. Powers, yaani wewe una nguvu za Kimungu ndani yako zinazokuwezesha kufanya kila kitu, kushinda kila vita na kupata kila mafanikio kwa kuitegemea nguvu ya Mungu iliyomo ndani yako.

2. Karma ni mapito anayopitia sasa ni matokeo ya matendo yako au ya wazazi wako, hivyo mafanikio, majanga, mikosi, nuksi zinaweza kuwa ni 1. Malipo, 2. Manusura 3. Majaribu.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…