Binafsi naitumia sana haswa nikiona msichana mbichi hapa mtaani. Siwezi tembea bila kuwa na chumvi mifukoni maana vitu vibichi vinaliwa na chumvi tu.
Sawa BossMkuu mbongo_halisi, mimi sio mchawi wala maisha hayajanishinda bali napitia changamoto za kawaida za maisha, ups and downs kwenye life ni vitu vya kawaida. Mimi humu jf ni Mwalimu wa masomo mawili kuhusu maisha.
1. Powers, yaani wewe una nguvu za Kimungu ndani yako zinazokuwezesha kufanya kila kitu, kushinda kila vita na kupata kila mafanikio kwa kuitegemea nguvu ya Mungu iliyomo ndani yako.
Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
Wanabodi, Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, "Mambo ya Powers". "Powers" ndicho kitu kikubwa kabisa duniani kuliko kitu kingine chochote! . God is Power, yaani Mungu ni nguvu, hakuna kitu...www.jamiiforums.com "Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu za Kufanya Miujiza ya Uponyaji kwa Imani. Kila Mtu Anazo!
Wanabodi, Huu ni muendelezo makala zangu kuhusu "works of powers", nguvu za kutenda miujiza, "psychic powers!", leo nitajikita zaidi katika nguvu za uponaji "faith healing!". Nitakuwa na maeneo yafuatayo. Utangulizi: Naomba kuweka UTANGULIZI huu kuwa imani ya kweli has got nothing to do na dini...www.jamiiforums.com
2. Karma ni mapito anayopitia sasa ni matokeo ya matendo yako au ya wazazi wako, hivyo mafanikio, majanga, mikosi, nuksi zinaweza kuwa ni 1. Malipo, 2. Manusura 3. Majaribu.
PThe Power of Karma- Ndio hukumu pekee ya haki kamili hapa Duniani. Unahukumiwa kwa matendo yako!
Wanabodi, Sio mara moja au mbili, umewahi kusikia mtu akitendewa jambo baya, anasema "namwachia Mungu!", au neno "Malipo ni hapa hapa duniani!". likitokea jambo zuri lolote watu hufurahi na kumshukuru Mungu, au likitokea jambo baya lolote, watu hufarijiana kuwa kusema hiyo ni "kazi ya Mungu!'...www.jamiiforums.com
Ni ndani na nje ...ndani Sasa nilimwaga kwenye pembe.Ukaimwaga nje au ndani
Mmm kwenye ndoto za kukimbizwa hapo naota sana halafu hio moja tu inajirudia mara kibao mpaka nimeizoea nikiota najua inaenda kuishia wapi, na kukimbizwa na nyoka pia naota sana. Kumbe nipo hatarini.nikwel hayo yapo, na omba yasikukute ukiwa hujawai kupamban na changamoto za kimaisha ama hujakomaab ktk kupambana na hayo mambo.
..unafika wakati ndugu wanakusahau,
..marafik wanakuwa hawaelewek(hawakuelew)
..mahusiano kuyumba, kila unaempata hamdumu, na mkidumu basi migogoro kila kukicha
..maisha kuyumba, ugumu kuongozeka, kazin kukosa mvuto ama kuchukiwa bila sabbu
..watoto& baazi ya wanyama kukuogopa bila sabbu
...kuota ndoto za aina moja ama zinazojirudia rudia mfano , kuota ndoto za kurudi shule, kukimbizwa, kupanda vilima/miinuko, kupambana na nyoka ama wanyama
haya ni baazi ya mambo yanaweza kuonesha maisha yako hayapo vzr spiritual, na sabbu zake zipo nying
[emoji117]kulogwa
[emoji117]kudhurumu mali za watu, ambapo vilio vyao na vinyongo vyao hukuletea nuksi
[emoji117]ushawai kwenda kwa mganga na ukapewa dawa ya mvuto, na huenda dawa iyo ikawa outdated(kuisha nguvu)
[emoji117]kufanya uzinifu na wanawake tofaut tofaut hasa wenye vifungo
[emoji117]mahal unapoishi(nje ya eneo la kipawa chako&mvuto wako), jina unalotumia(urithi wa mtu), watu unaoshirikiana nao(wana vifungo&wana husda&hamuendan kiutafutaji), mahala unapolala(kuna vifungo vya kishirikina), kaz unayoifanya(nje ya kipawa chako)
sasa ili kujua unajitibuje jarbu kusolve haya mambo niliyoandika, achana na waganga aisee watakupotezea muda wako, japo wapo wanaosaidia kwel ama kukupoteza kweli kweli, dawa ya matatizo yako ni kuchunguza asili ya tatizo lako kwanza, acha kubeti maisha yako kwa kutumia kila dawa kisa umesikia inaponya, tafuta dawa ya tatizo lako[emoji117] chunguza muenendo na matukio ya ndoto uotazo na znazokunyima usingiz(kujirudia) then fanya maamuzi
ndio hapo sasa tatzo lako liliko, kawafuate wahudumu wa imani yako wakufanyie visomo/maombi, ukiona huoti tena juwa kuwa umeshinda ama umeshindwa kwa kufungwa macho usione maono/ndoto zaid....jichunguze maisha yako watu wako wa karbu, maadui zako na marafiki zako, puuza wale wanafiki wote, punguza mabifu yasiyo ya maana, acha kushabikia ndugu ama watu wa karbu, na hakikisha una solve mgogoro wako wowote na mtu yeyote, iwe madeni ama nini hakikisha umesolve, yakiendelea kukutesa rudi hapa tujue unasaidikajeMmm kwenye ndoto za kukimbizwa hapo naota sana halafu hio moja tu inajirudia mara kibao mpaka nimeizoea nikiota najua inaenda kuishia wapi, na kukimbizwa na nyoka pia naota sana. Kumbe nipo hatarini.
dah asante mkuu kuna mtumishi niliwahi mfuata akaniombea na kuniosha miguu akaniambia sababu ni mzaliwa wa kwanza ndo mana nina mapambano makubwa.ndio hapo sasa tatzo lako liliko, kawafuate wahudumu wa imani yako wakufanyie visomo/maombi, ukiona huoti tena juwa kuwa umeshinda ama umeshindwa kwa kufungwa macho usione maono/ndoto zaid....jichunguze maisha yako watu wako wa karbu, maadui zako na marafiki zako, puuza wale wanafiki wote, punguza mabifu yasiyo ya maana, acha kushabikia ndugu ama watu wa karbu, na hakikisha una solve mgogoro wako wowote na mtu yeyote, iwe madeni ama nini hakikisha umesolve, yakiendelea kukutesa rudi hapa tujue unasaidikaje
Mkuu umejaribu kuonana na akina mtume mwamposa
True! Ujatoa suluhishoUlishawahi kwenda kwa mganga?!!
Kuna stori flan niliwahi kuiskia kwa jamaa ambae zaman alikua ni mganga badae akaacha.
Anasema ilikua mtu akifika kwake kwa Mara ya kwanza anacho kifanya ni kuangalia nyota ya huyo mtu na kama ipo vizuri anaiteka na kama ipo vibaya basi anaangalia nyota ya mtoto wako kama iko vzur anaiteka
Akiichukua atakuja kumpa mtu mwngne ambae anatoa kafara kubwa zaid yako lakin inakua kwenye miliki yake akiamua kuichafua anaichafua muda huo wewe alieteka nyota yako anakusafisha geresha ili baada ya muda uwe unarud rud kwake kutibia ila matatizo hayatakuisha itakua yanapoa tu badae yanarudi.
Kwenda kwa mganga ni jambo baya sana kila mtu ana nyakati zake za furaha na nyakati za matatizo, ikiwa unapitia nyakat za matatzo Muombe Mungu tu utavuka na utaingia nyakat za furaha ila ukijichanganya kwenda kwa mganga unaenda kuharibikiwa kabisa ndo maana ukienda kwa mganga Mara moja utajikuta unarudi mara kwa mara .
Kinapatikana wapi?Tafuta kitabu cha jabali, Munga Tehenan. Jinsi ya kupata pesa bahati na mafanikio.
Hutajuta.
Ulishawahi kwenda kwa mganga?!!
Kuna stori flan niliwahi kuiskia kwa jamaa ambae zaman alikua ni mganga badae akaacha.
Anasema ilikua mtu akifika kwake kwa Mara ya kwanza anacho kifanya ni kuangalia nyota ya huyo mtu na kama ipo vizuri anaiteka na kama ipo vibaya basi anaangalia nyota ya mtoto wako kama iko vzur anaiteka
Akiichukua atakuja kumpa mtu mwngne ambae anatoa kafara kubwa zaid yako lakin inakua kwenye miliki yake akiamua kuichafua anaichafua muda huo wewe alieteka nyota yako anakusafisha geresha ili baada ya muda uwe unarud rud kwake kutibia ila matatizo hayatakuisha itakua yanapoa tu badae yanarudi.
Kwenda kwa mganga ni jambo baya sana kila mtu ana nyakati zake za furaha na nyakati za matatizo, ikiwa unapitia nyakat za matatzo Muombe Mungu tu utavuka na utaingia nyakat za furaha ila ukijichanganya kwenda kwa mganga unaenda kuharibikiwa kabisa ndo maana ukienda kwa mganga Mara moja utajikuta unarudi mara kwa mara .
Kwel mkuu? Ulikuwa unaitumiaje nipe mawazo zaidiNdg pole sana M/Mungu atakusaidia,hiyo khari nami naipitia sana nilipata ushauri wa kutumia chumvi kutoka kwa Mshana Jr kuna unafuu nauona
Nunua chumvi ya mawe unapoenda kuoga chota kidogo hyo chumvi weka kwenye ndoo ya maji uku ukinuwia unachokitaka/usichokitakaKwel mkuu? Ulikuwa unaitumiaje nipe mawazo zaidi