Ogopa Teknolojia: Nimeweka mkataba wa bandari kwenye Chat-GPT, Imejibu kwamba bandari zitakuwa za DP World Milele!

Ogopa Teknolojia: Nimeweka mkataba wa bandari kwenye Chat-GPT, Imejibu kwamba bandari zitakuwa za DP World Milele!

kuna kitu kimekusibu huu uandishi sio wako
Sana tena, mtu nishalenga dili zangu la kuwapangisha nyumba DP World kwa Dirham.

Nishaanza na kuwanona wajukuu Kiarabu hao, Mungu akiwajaalia wanaweza kupata wachumba wa Dubai huko, halafu wajinga wajinga wanataka kuleta kauzibe.
 
Sana tena, mtu nishalenga dili zangu la kuwapangisha nyumba DP World kwa Dirham.

Nishaanza na kuwanoa wajukuu Kiarabuchao, Mungu akiwajaalia wanaweza kupata wachumba wa Dubai huko, halafu wajinga wajinga wanataka kuleta kauzibe.
mrudishie bibi simu yake
 
mrudishie bibi simu yake
Mie nazikimbiza fursa kwa ajili ya wajukuu, simu gani tena?


Wajukuu wakipata Waarabu wenye Dirham zao na mimi tena shopping za Dubai si ndiyo ntakuwa kama naenda Kariakoo?

Nani tena akahangaike na mavitu ya kichina Kariakoo, na kafa ulaya za Ilala?

Mtanisikia Dubai tu. Nipitwee?
 
Hili la bandari zetu. Litatenga mchele na pumba. Udhalimu na haki. Muda unakuja. Tunaendelea kuandaa list ya ya wote wanautetea udhalimu na wanaotetea haki.
 
Ndugu huko kwenye akili bandia mbona mbali, kifupi kipande cha Ardhi ya Tanganyika tushamuuzia mwarabu milele. Hata Rais wetu akitaka kukitumia kipande hiki kwa matumizi mengine kwa sasa Hataweza, kajifunga mikono - mamlaka yake hayataweza na akichukua kwa nguvu tunakwenda kusuruhiswa S.A - Mahakama za kimataifa za kibiashara. (Yale yale ambayo JIWE akiyakataa kabisa na kuyatungia sheria tayari washayapindua)

Kifupi Mwarabu ashatufanya kitu mbaya.
 
Tatizo wenye akili wanamdanganya Mama ili waendelee kuchumia tumbo na wanaopinga wanaonekana upinzani
 
Ndugu huko kwenye akili bandia mbona mbali, kifupi kipande cha Ardhi ya Tanganyika tushamuuzia mwarabu milele. Hata Rais wetu akitaka kukitumia kipande hiki kwa matumizi mengine kwa sasa Hataweza, kajifunga mikono - mamlaka yake hayataweza na akichukua kwa nguvu tunakwenda kusuruhiswa S.A - Mahakama za kimataifa za kibiashara. (Yale yale ambayo JIWE akiyakataa kabisa na kuyatungia sheria tayari washayapindua)

Kifupi Mwarabu ashatufanya kitu mbaya.
Kipande tu?

Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
 
Hivi TPA TEHAMA ya DP World inaendaje huko?


Nasikia hiyo mama Samia hata akiwa Dubai anaiona bandari kutokea kwenye simu tu, na data zote za Makontena.

Tena watu wa TEHAMA hapa wananambi itakuwa na uwezo wa kuona mpaka mfanyakazi mmoja mmoja yupo wapi na anafanya nini.

Dah, sasa Waarabu hawa huo si utumwa wanaudisha Tanganyika? Mambo ya kuchunguliana haya mpaka chooni?
Bandari sio za mama Samiamia,akaangalie bunge live kama anashida kuangalia live sio bandari achana nazo kabisa.
 
Shida ya watu wale wengi shule hawajaenda halafu huona waraabu kama ni ndugu zao kumbe ni wafanyabiashara ya watumwa na pembe za ndovu.
Huna hoja una kashfa .mada imeletwa nzuri unaleta kashfa na dharau ndio maana huwezi kusikiizwa .mama kanyaga twende nchi imejaa wapuuzi wengi hii.
 
Hatukatai hilo, bali vipengele vyenye mashaka ndio hoja, hoja hizo ndio zijibiwe
Hakuna mkataba duniani uliokosa vipengele vya kujibiwa.

Ujinga tu kupotezeana wakati.
Watu tuna mabinti hapa tunangoja waume wa Dubai nyie mmekalia vipengele vipengele. Kaondoeni vipingiri vya miwa mvimalize ndiyo mtaweza kumaliza vipengele vya mikataba.

Sheria ziliwekwa kuvunjwa.

Unafikiri sheria kama hazivunjwi wanasheria wakale wapi?
 
Hakuna mkataba duniani uliokosa vipengele vya kujibiwa.

Ujinga tu kupotezeana wakati. Wayu tuna mabinti hapantunangoja waume wa Dubai nyie.mmekalia vipengele vipengele. Kaondoeni vipingiri vya miwa mvimalize ndiyo mtaweza kumaliza vipengele vya mikataba.

Sheria ziliwekwa kuvunjwa.


Unafikiri sheria kama hazivunjwi wanasheria wakale wapi?
Vipengele tunavyotaka hoja zijibiwe ni vile vya kuiuza Tanganyika bila UKOMO
 
Back
Top Bottom