Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
What the hell! Picha ya pisi yangu humu veepe mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What the hell! Picha ya pisi yangu humu veepe mkuu
😂😂😂Sio makubwa tu.. ni makubwa afu hayako seksi 🤣🤣
Hapana .....Ila tu nadhan kuna ujumbe fulani upooo apoooUnamuogopa??
Ndio yakoje hayamacho mchuzi hayana shida si ndio?
😂😂😂😂😂dahUkitaka amani ya kudumu kwenye maisha yako usiishi na mwanamke zaidi ya masaa 5 kwa siku. Unless awe ni mama yako
😂😂😂😂😂dahUkitaka amani ya kudumu kwenye maisha yako usiishi na mwanamke zaidi ya masaa 5 kwa siku. Unless awe ni mama yako
Huyo wa mwisho mwenye kichwa kama kitenesi cha Roger Federer ana lips nzuri ila pua limeshuka sana na hakika hata miwani havaiKama unahitaji amani kwenye mahusiano yako basi zingatia sana macho ya uyo mwanamke, ogopa wanawake wenye macho madogo yakujifinya, wastani yalivoshuka pembeni, makubwa ila hasiyo sexy.
No offens.
Madogo yakujifinya
Hawa wengi ni wembamba, wanatunza vitu moyoni hawajui kusamehe,visilani,wakiongea hadi mishipa ya mabegani inatoka.
wastani yaloshuka pembeni
Hawa hupenda utawala, wajuaji, wababe kweli kweli, ukitaka amani nae kua fala, wanaroho za kikatiri sana ukingia 18zao, hawa hua wanauwezo wakuua kabisa.
Makubwa yasio sexy
Hawa usiombe uwakute masokoni, usiponunua kwake mboga unaweza usiku usilale, wabinafsi haswa, wapenda magomvi ila nguvu hawana, wachonganishi saana.
Kama unabisha chunguza hapo ulipo.
View attachment 2826798
View attachment 2826798View attachment 2826799View attachment 2826800View attachment 2826801View attachment 2826802
Mi naona tuzike tu hapahapa kuliko kusafirisha .... maana nimeyaona macho yako kama yalivyo mwl..
Nimeenda kujiangalia kwenye kiooMi naona tuzike tu hapahapa kuliko kusafirisha .... maana nimeyaona macho yako kama yalivyo mwl..
Kioo chako si ni mimi au.. ni wakuogopwa sana watu nyie, Salam zimfikie @lapedNimeenda kujiangalia kwenye kioo
Mwalimu nakataa 😂😂😂 sipoo
Ni wewe ndiyo lakini naona hapa nadanganywa kweupee,, kioo kimepata vumbi 🤣🤣Kioo chako si ni mimi au.. ni wakuogopwa sana watu nyie, Salam zimfikie @ladep
[emoji1787][emoji1787]mbona ndo macho yangu hayo?so niogopwe?
Hahahhebu hebu anza leo kuniamin sasa, we ni Mwema sana mkuu 😘😘..Ni wewe ndiyo lakini naona hapa nadanganywa kweupee,, kioo kimepata vumbi 🤣🤣
Salam zimefika 😘