Geni nione hayo makubwa!, alafu huyu ndugu yetu katabia ka uongo anako kwa mbaaali.Duh kwaiyo sisi wenye macho makubwa tumefikiwa😂😂😂huu mwak mgumu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Geni nione hayo makubwa!, alafu huyu ndugu yetu katabia ka uongo anako kwa mbaaali.Duh kwaiyo sisi wenye macho makubwa tumefikiwa😂😂😂huu mwak mgumu sana
AiseeHata sijaona yangu 🤣
😀😀😀TuliaGeni nione hayo makubwa!, alafu huyu ndugu yetu katabia ka uongo anako kwa mbaaali.
Kama amerithi kwa mimi Baba yake mtumishi inakaaje hapo.
Duuu sasa tutafute hela au tutafute macho? [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kwakuwa kila siku huwa mnasema tutafute pesa mimi nilijua ndio suluhu kumbe bado kuna mtihani aiseee
Hebu nione bwana!😀😀😀Tulia
mwaka mgumu sanaa huuDuh kwaiyo sisi wenye macho makubwa tumefikiwa😂😂😂huu mwak mgumu sana
Mimi ni kama mchawi tuu na wengi wanasemaga na mashetani.. mimi na angaliaga wanawake macho yalivyo kaa na ninajua kabisa tabia yake.Kama unahitaji amani kwenye mahusiano yako basi zingatia sana macho ya uyo mwanamke, ogopa wanawake wenye macho madogo yakujifinya, wastani yalivoshuka pembeni, makubwa ila hasiyo sexy.
No offens.
Madogo yakujifinya
Hawa wengi ni wembamba, wanatunza vitu moyoni hawajui kusamehe,visilani,wakiongea hadi mishipa ya mabegani inatoka.
wastani yaloshuka pembeni
Hawa hupenda utawala, wajuaji, wababe kweli kweli, ukitaka amani nae kua fala, wanaroho za kikatiri sana ukingia 18zao, hawa hua wanauwezo wakuua kabisa.
Makubwa yasio sexy
Hawa usiombe uwakute masokoni, usiponunua kwake mboga unaweza usiku usilale, wabinafsi haswa, wapenda magomvi ila nguvu hawana, wachonganishi saana.
Kama unabisha chunguza hapo ulipo.
View attachment 2826798
View attachment 2826798View attachment 2826799View attachment 2826800View attachment 2826801View attachment 2826802
Mimi ni kama mchawi tuu na wengi wanasemaga na mashetani.. mimi na angaliaga wanawake macho yalivyo kaa na ninajua kabisa tabia yake.
Japo kuna staili flani ya macho mwanamke anakua nayo ile ukikutanisha tuu macho kuna hali flani inatokea kwako huyo kimbia direct atakuja kuwa single mother/ malaysia / chuma ulete.
Macho ya mwanamke yanasadifu tabia yake ile mbaya