Ogopa wanawake wenye macho ya hivi kwenye mahusiano

Ogopa wanawake wenye macho ya hivi kwenye mahusiano

Duuu sasa tutafute hela au tutafute macho? 😭😭😭😭
Kwakuwa kila siku huwa mnasema tutafute pesa mimi nilijua ndio suluhu kumbe bado kuna mtihani aiseee
 
Kama amerithi kwa mimi Baba yake mtumishi inakaaje hapo.
 
Kama amerithi kwa mimi Baba yake mtumishi inakaaje hapo.

Hata kama amerith trust me muundo wa macho hua yanabadirika kadri anavyodeverop tabia fulani, akianza kua mkali kufokafoka sana macho yake yatanza kukaa kuringana na tabia yake iyo na akiwa mpole nyenyekevu pia macho yake tayakaa kinyenyekevu.
 
Duuu sasa tutafute hela au tutafute macho? [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kwakuwa kila siku huwa mnasema tutafute pesa mimi nilijua ndio suluhu kumbe bado kuna mtihani aiseee

Pesa ni kwajili yake macho ni kwajili yako. Nitakuonesha macho yawadada wasio tanguliza pesa kwenye mahusiano.
 
😂 😂 😂 😂 make ncheke kwanza..



Huu mwaka mpaka ukaishe huu eeh
 
Kama unahitaji amani kwenye mahusiano yako basi zingatia sana macho ya uyo mwanamke, ogopa wanawake wenye macho madogo yakujifinya, wastani yalivoshuka pembeni, makubwa ila hasiyo sexy.
No offens.

Madogo yakujifinya
Hawa wengi ni wembamba, wanatunza vitu moyoni hawajui kusamehe,visilani,wakiongea hadi mishipa ya mabegani inatoka.

wastani yaloshuka pembeni
Hawa hupenda utawala, wajuaji, wababe kweli kweli, ukitaka amani nae kua fala, wanaroho za kikatiri sana ukingia 18zao, hawa hua wanauwezo wakuua kabisa.

Makubwa yasio sexy
Hawa usiombe uwakute masokoni, usiponunua kwake mboga unaweza usiku usilale, wabinafsi haswa, wapenda magomvi ila nguvu hawana, wachonganishi saana.

Kama unabisha chunguza hapo ulipo.

View attachment 2826798
View attachment 2826798View attachment 2826799View attachment 2826800View attachment 2826801View attachment 2826802
Mimi ni kama mchawi tuu na wengi wanasemaga na mashetani.. mimi na angaliaga wanawake macho yalivyo kaa na ninajua kabisa tabia yake.


Japo kuna staili flani ya macho mwanamke anakua nayo ile ukikutanisha tuu macho kuna hali flani inatokea kwako huyo kimbia direct atakuja kuwa single mother/ malaysia / chuma ulete.

Macho ya mwanamke yanasadifu tabia yake ile mbaya
 
Mimi ni kama mchawi tuu na wengi wanasemaga na mashetani.. mimi na angaliaga wanawake macho yalivyo kaa na ninajua kabisa tabia yake.


Japo kuna staili flani ya macho mwanamke anakua nayo ile ukikutanisha tuu macho kuna hali flani inatokea kwako huyo kimbia direct atakuja kuwa single mother/ malaysia / chuma ulete.

Macho ya mwanamke yanasadifu tabia yake ile mbaya

Kheri yako wewe mkuu umegundua ilo pia, wengi hawajui iyo siri.
 
Back
Top Bottom