Oktoba 28 ni mashindano kati ya Reality vs Ahadi Hewa? Je, Watanzania watachagua nini kati ya visible, tangible Deliverables vs The Empty Promises?

Oktoba 28 ni mashindano kati ya Reality vs Ahadi Hewa? Je, Watanzania watachagua nini kati ya visible, tangible Deliverables vs The Empty Promises?

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert
Suala hapa sio 'visible tangible ...whatever', suala ni at whose, LIFETIME, COST?
JINSI MAGUFULI ANAFANYA MAMBO, TUTABAKI NA MASHIMO MATUPU ILIPOKUWA MIGODI, MIUNDOMBINU YA KUKATA SHOKA NA RAIA MAFUKARA WA KUTUPWA WASIO NA MITAJI NA, END OF THE DAY, ANARCHY!
 
sisi tunaenda na tangible mkuu.yaaan hewa kwanza haishikiki unahisi tu.
no big NO.
wanasingida mwaka huu hatumtaki huyu msaliti
 
Mil 50 kila kijiji,laptop kwa kila mwalimu nk,kuhakikisha uhuru wa habari kwa wana habari,masilahi wa watumishi wa umma,hizi hazikua hewa.

Mleta mada si ndio wewe uliahidi mil 10 kwa kila kata?au ilikua kiasi gani(tukumbushe ahadi ulizotoa wakati unajinadi kwa wajumbe)
 
Kwanza naomba niambie nani kati ya pombe na lisu aliyetoa ahadi hewa.
Tuanzie hapo kwanza
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, hutoa zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Watanzania tunajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo Oktoba 28, Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi uchaguzi wa 2020 ambao ni uchaguzi wa mashindano kati ya deliverable visible tangibles, ambayo ni maendeleo ya vitu vya ukweli vya kuonekanika ambavyo vimefanyika na kuwa deliverable vs ahadi, promises kuwa ukinichagua mimi nitafanya hiki na kile!. Ahadi ikitolewa usually huwa ni empty promise, ikiisha tekelezwa ndio inakuwa ahadi ya ukweli, a firm commitment.

Hili ni bandiko la swali, hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, na empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Declaration of Interest
Kwa vile JF ni members generated forum, ukitokea kuna jambo unalijua, unalibandika humu ili kushare na wengine. Naomba ku declare interest kuwa mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, na humu tuna makada wengi wa vyama vyote. Enzi zile Prof. Kitila Mkumbo akiwa very active humu alikuwa ni kada wa Chadema. Zitto Kabwe bado yuko very active ni kada wa ACT, hivyo unaweza kuwa kada na bado ukawa mchambuzi objective kwa kusoma hoja zangu na sio kuniangalia ukada wangu.

Kumhusu JPM na Uchaguzi wa 2020, Nilisema Zamani Kuwa...
Tarehe 29/10/2015 kuna kitu nilikisema kumhusu JPM na uchaguzi wa 2020!.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Sasa baada ya CCM kutoa majina ya wagombea wake, kuna kitu naomba nikiseme, Je wajua kuwa kupitishwa na vikao vya uteuzi vya CCM ni kazi ngumu kuliko hata uchaguzi wenyewe?. Jee wajua kuwa jina lako likiishapitishwa na CCM, huo tayari ni ushindi tosha?. Ili CCM kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi huu, hakuhitaji hata kupiga kampeni, kazi aliyoifanya JPM inaonekana wazi kabisa kwa naked eyes, wala huhitaji kuvaa miwani ya uchunguzi ndipo uone, wenye macho wanaona!.

Tunakwenda Kuchagua Nini
Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi huku kuna chama kimoja kinaingia kikiwa na mtaji mkubwa wa vitu ilivyofanya katika utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi iliyokipatia ushindi ile 2015, kikiwa na mtaji wa vitu vya kuonekanika, a strong showcase, huku vyama vingine vikija with nothing to show case, ukitegemea Watanzania watachagua visible deliverable tangible or just empty promises?.

Ushauri wa Bure
Kwavile tunaingia kwenye mashindano kati ya mwenye kitu cha kuonyesha na asiye na kitu cha kuonyesha, ili kuwatendea haki Watanzania waweze kufanya an informed decision hiyo October 28, natoa wito kwa asiyenacho, ili aweze kuchaguliwa, asije tuu na ahadi bali aonyeshe hiki kilichopo sii lolote sii chochote, ningekuwa mimi ningefanya hiki na hiki na hiki.

Mfano mzuri ni kwenye elimu bure, inatolewa toka darasa la kwanza hadi kidato cha 4. Kwa vile wewe ulisema ungekuwa wewe ungetoa elimu bure toka chekechea hadi chuo kikuu, then unaeleza ungeitoaje kwa bajeti gani, ili Watanzania wakuchague wewe.

Uchaguzi Mkuu huu, tushindanishe sera na mikakati ya utekelezaji na sio kushinda kwa kutukana na kubeza kila kilichofanyika bali kueleza namna bora zaidi ya kufanya kuliko hiki kilichofanyika.

Mfano JPM amejenga barabara za juu kwa juu, wewe ukifika, kwavile hizi barabara za juu kwa juu za JPM, unapita juu kisha unashuka chini na kuendelea na safari yako kwenye barabara za kawaida, then wewe ahidi kwamba utajenga barabara za juu kwa juu za moja kwa moja, ukipanda juu, unakwenda juu tuu straight hadi mbinguni kwa Sir God God mwenyewe!.

Tuwe Wakweli, Tuwe na Shukrani
It's good to appreciate kilichopo, kilichofanyika na kueleza wewe ungefanya namna bora zaidi ili Watanzania wakikuchagua, wajue wanakuchagua ili kupata kilicho bora.

By The Way Jimbo la Kawe.
Kabla ya kumalizia, kwavile mimi ni mkazi wa Kawe, Mbunge wetu wa Kawe ni mwanamke, CCM imempitisha mgombea mwanaume kushindana na mwanamke, Kidunia, Kiafrika na kimila, sio vizuri kwa mwanaume kushindana na mwanamke, hivyo kwa vile Mbunge wa Kawe ni mwanamke na hana kizingiti, na kwa vile aliyepitishwa CCM pia ana sifa za ushenga, mimi nashauri kwa jimbo la Kawe, CCM hatuhitaji kabisa kufanya kampeni, kinacho hitajika kwa Kawe ni kuandika tuu barua ya posa na kumtuma mshenga aipeleke, tumpose huyo binti tutakuwa tumemaliza mchezo!.

Hitimisho
Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, au empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
 
Sahihi kabisa, heshima alikuwa nayo haipo tena kama zamani, haya mambo waachie akina Mary Sarungi na Fatuma Karume hawa wapo huru wewe sasahivi unafukuzia uteuzi siyo yule Paschal wa 2016 ambaye ilikuwa nikiona bandiko lako hapa hata kama naingia kanisa ilikuwa inanibidi nichelewe nisome kwanza point lakini kwa sasa hakuna tofauti na Musiba

Ha ha ha ha , kwani amekuwa sio Pascal?
 
Punguani mkubwa wewe ZWAZWA.

Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer!
Wanabodi,


Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, hutoa zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Watanzania tunajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo Oktoba 28, Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi uchaguzi wa 2020 ambao ni uchaguzi wa mashindano kati ya deliverable visible tangibles, ambayo ni maendeleo ya vitu vya ukweli vya kuonekanika ambavyo vimefanyika na kuwa deliverable vs ahadi, promises kuwa ukinichagua mimi nitafanya hiki na kile!. Ahadi ikitolewa usually huwa ni empty promise, ikiisha tekelezwa ndio inakuwa ahadi ya ukweli, a firm commitment.

Hili ni bandiko la swali, hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, na empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Declaration of Interest
Kwa vile JF ni members generated forum, ukitokea kuna jambo unalijua, unalibandika humu ili kushare na wengine. Naomba ku declare interest kuwa mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, na humu tuna makada wengi wa vyama vyote. Enzi zile Prof. Kitila Mkumbo akiwa very active humu alikuwa ni kada wa Chadema. Zitto Kabwe bado yuko very active ni kada wa ACT, hivyo unaweza kuwa kada na bado ukawa mchambuzi objective kwa kusoma hoja zangu na sio kuniangalia ukada wangu.

Kumhusu JPM na Uchaguzi wa 2020, Nilisema Zamani Kuwa...
Tarehe 29/10/2015 kuna kitu nilikisema kumhusu JPM na uchaguzi wa 2020!.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Sasa baada ya CCM kutoa majina ya wagombea wake, kuna kitu naomba nikiseme, Je wajua kuwa kupitishwa na vikao vya uteuzi vya CCM ni kazi ngumu kuliko hata uchaguzi wenyewe?. Jee wajua kuwa jina lako likiishapitishwa na CCM, huo tayari ni ushindi tosha?. Ili CCM kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi huu, hakuhitaji hata kupiga kampeni, kazi aliyoifanya JPM inaonekana wazi kabisa kwa naked eyes, wala huhitaji kuvaa miwani ya uchunguzi ndipo uone, wenye macho wanaona!.

Tunakwenda Kuchagua Nini
Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi huku kuna chama kimoja kinaingia kikiwa na mtaji mkubwa wa vitu ilivyofanya katika utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi iliyokipatia ushindi ile 2015, kikiwa na mtaji wa vitu vya kuonekanika, a strong showcase, huku vyama vingine vikija with nothing to show case, ukitegemea Watanzania watachagua visible deliverable tangible or just empty promises?.

Ushauri wa Bure
Kwavile tunaingia kwenye mashindano kati ya mwenye kitu cha kuonyesha na asiye na kitu cha kuonyesha, ili kuwatendea haki Watanzania waweze kufanya an informed decision hiyo October 28, natoa wito kwa asiyenacho, ili aweze kuchaguliwa, asije tuu na ahadi bali aonyeshe hiki kilichopo sii lolote sii chochote, ningekuwa mimi ningefanya hiki na hiki na hiki.

Mfano mzuri ni kwenye elimu bure, inatolewa toka darasa la kwanza hadi kidato cha 4. Kwa vile wewe ulisema ungekuwa wewe ungetoa elimu bure toka chekechea hadi chuo kikuu, then unaeleza ungeitoaje kwa bajeti gani, ili Watanzania wakuchague wewe.

Uchaguzi Mkuu huu, tushindanishe sera na mikakati ya utekelezaji na sio kushinda kwa kutukana na kubeza kila kilichofanyika bali kueleza namna bora zaidi ya kufanya kuliko hiki kilichofanyika.

Mfano JPM amejenga barabara za juu kwa juu, wewe ukifika, kwavile hizi barabara za juu kwa juu za JPM, unapita juu kisha unashuka chini na kuendelea na safari yako kwenye barabara za kawaida, then wewe ahidi kwamba utajenga barabara za juu kwa juu za moja kwa moja, ukipanda juu, unakwenda juu tuu straight hadi mbinguni kwa Sir God God mwenyewe!.

Tuwe Wakweli, Tuwe na Shukrani
It's good to appreciate kilichopo, kilichofanyika na kueleza wewe ungefanya namna bora zaidi ili Watanzania wakikuchagua, wajue wanakuchagua ili kupata kilicho bora.

By The Way Jimbo la Kawe.
Kabla ya kumalizia, kwavile mimi ni mkazi wa Kawe, Mbunge wetu wa Kawe ni mwanamke, CCM imempitisha mgombea mwanaume kushindana na mwanamke, Kidunia, Kiafrika na kimila, sio vizuri kwa mwanaume kushindana na mwanamke, hivyo kwa vile Mbunge wa Kawe ni mwanamke na hana kizingiti, na kwa vile aliyepitishwa CCM pia ana sifa za ushenga, mimi nashauri kwa jimbo la Kawe, CCM hatuhitaji kabisa kufanya kampeni, kinacho hitajika kwa Kawe ni kuandika tuu barua ya posa na kumtuma mshenga aipeleke, tumpose huyo binti tutakuwa tumemaliza mchezo!.

Hitimisho
Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, au empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
 
We sio mtu huru wa kufanya uchambuzi huru kwahiyo sisi wengine tunakupuuza tu.

No wonder japo wewe ni mwanahabari, siku hizi uko kimya kabisa kuhusu uminywaji wa uhuru wa vyombo vya habar na ni wazi wewe ukipewa uwaziri wa habari, utakandamiza sana media na hata hii JF unaweza kuigeuka

Mtu mwenye akili timamu,alie-civilised hawezi kuwa-influenced na maendeleo ya vitu kiasi cha kupuuza kukosekana kwa utu kunakofanywa au kufumbiwa macho na watawala.

Pia jiulize hayo maendeleo ya vitu, yote ni vipaumbele sahihi na yanafanywa kwa kuzingatia taratibu na sheria za nch?

Kwa kifupi,uko biased kwa malengo yako binafsi na nyinyi ndio aina ya watu ambao Bwana yule anapenda kufanya nao kazi.

Mwisho:Siku ukipewe uteuzi,usisahau kuishukuru JF.
Mkubwa umenikimbusha critical analysis ya General Ulimwengu dhidi ya utumishi wa Hayati Mzee mkapa katika tasnia ya habari nanukuu " alikwenda kukandamiza zaidi ustawi wa sekta ya habari ikiwemo wanahabari na alikwenda kutimiza yale utawala ukiyataka ndani ya chombo cha habari"

Msinihukumu ni maneno ya General dunia.
 
Back
Top Bottom