Oktoba 28 ni mashindano kati ya Reality vs Ahadi Hewa? Je, Watanzania watachagua nini kati ya visible, tangible Deliverables vs The Empty Promises?

Huyo mpuuzi mwenye mkono mbovu haya yote hajayaona
 
Kwanza chadema nzima inawatukana wasukuma kwamba ni washamba,
Juzi Lisu kasema ule uwanja wa chato Magufuli kajenga kwa ajili yake na mamaake!
.
Watu wa kanda ya ziwa wanawachora tu, wamejikalia kimya majibu yao watayatoa oktoba.
 
Kanda ya ziwa gani unamaanisha ?

Maana mimi ndio kwetu huku.

Jiandaeni tu kupora kura kama mnavyofanya Zanzibar siku zote, ila kushinda kwa halali uwezo huo CCM haina.

Na Magu ataongea sana Kisukuma majukwaani mwaka huu.
 
Kanda ya ziwa ipi ambayo Lisu atachukua majimbo mengi?
. Katika sehemu msitegemee chochote ni kanda ya ziwa
 
Ukitoka nje ya box la chadema ukawa na akili za kujitegemea utamwelewa sana Pasco.
Kwako huyo Pascal hata akija kujisaidia hadharani Kariakoo utakuja humu kusema, Pascal hawezi kunya mavi ukiangalia vizuri utaelewa.
 
Paskali umechukua muda na kuandika kitu ambacho ungeweza kukifupisha.Unachojaribu kutueleza ni kuwa tukubaliane na yaliyofanyika na tupige makofi kwa bidii sana.HILI si sahihi.Hebu tuangalie cash iliyotumika kununua ndege na uendeshaji wa shirika la ndege,do we need to clap for this?Hebu tujiulize kipi kilifanya wakala wa ndege za serikali kuhamishiwa kwa Mkulu,ni dhamira nzuri kweli kwa transparency?
Achana na mambo ya Kawe ambayo umetia kejeli (kama yule aliyesema "nipanue wapi") lakini nakushauri tafuta clip ya Askofu Bogonza ameeleza vizuri kuhitilafiana katika mawazo na impact yake katika kuleta maendeleo.
Tumsaidie Rais aweze kutuachia mfumo endelevu vitu tangible viliachwa hata na Wajerumani (reli,bandari) waingereza (shule,taasisi)
 
Inasikitisha sana kukuona muandishi mzuri kama wewe na kuweka hoja mbovu kama kichwa cha tikiti. Wakati unakaa kwa wazee hujawahi kufikiria kuwa na familia yako na kuitunza zaidi ya mzee wako? Hivi rais yupi hakujenga barabara? Kama hizo flyover mbona Kikwete ndie alieweka sign ya kujengwa. Usiwe kama viongozi wa zamani wanauza rasilimali ya nchi kwa kikombe cha chai ya mwaliko tu.


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Watanzania wanajua, wanaakili na wanaona! Kakikundi kadogo sana ndani ya chadema hakawezi kufanya tz nzima ifikirie kam wao.
.
Watz wana uhuru wa kutosha wanafanya wanalotaka kwa uhuru na usalama mkubwa, watu 20 tu waliobanwa hapo chadema kwa kunyimwa kuropoka hovyo hakusababishi watz waone hawako huru.

Pambaneni na hali zenu
 
Kanda ya ziwa gani unamaanisha ?

Maana mimi ndio kwetu huku.

Jiandaeni tu kupora kura kama mnavyofanya Zanzibar siku zote, ila kushinda kwa halali uwezo huo CCM haina.

Na Magu ataongea sana Kisukuma majukwaani mwaka huu.


Endeleza kukinukisha tu hamumsaidii huyo mropokaji wenu, keshaharibu Kanda ya Ziwa na wewe unaendelea kusiliba tu!
 
Sahihi kabisa, heshima alikuwa nayo haipo tena kama zamani, haya mambo waachie akina Mary Sarungi na Fatuma Karume hawa wapo huru wewe sasahivi unafukuzia uteuzi siyo yule Paschal wa 2016 ambaye ilikuwa nikiona bandiko lako hapa hata kama naingia kanisa ilikuwa inanibidi nichelewe nisome kwanza point lakini kwa sasa hakuna tofauti na Musiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…