Oktoba 28 ni mashindano kati ya Reality vs Ahadi Hewa? Je, Watanzania watachagua nini kati ya visible, tangible Deliverables vs The Empty Promises?

Wakala kipenyo upo kaka paskal mayala, hivi kwa kisukuma cha kwetu kahangala, nyamatala, misasi, kisesa, lugeye, mayala ni nini?
 
Unaongelea politics tu..na vingi ni nadharia..

Kuna watu wengi hawajui hawajui uhuru wa habari sababu wanapata taarifa zote muhimu..watu wanaangalia maji, umeme, miundombinu, elimu, afya, ardhi, kilimo, mifugo..umewagusa kwa kiasi katika haya.

Kumbuka si kila mtu mwanasiasa na si kila muandishi ni mwanaharakati..wengine wanaridhika na kile wanachokiandika.
 

Umepoteza Credibility na Branding yako uliyijenga kwa muda mrefu kwa njaa za tumbo.

Makala zako kwa Sasa inatosha tu kusoma heading, inakuwa haina haja ya kuingia ndani kupoteza muda.

Pole Sana Mayala, hekima inasema huwezi kumfundisha mbwa Mzee mbinu Mpya, hivo hivo inashauri ukiwa Mzee usianzishe branding Mpya na kuacha ya kale. Haya Sasa fuata Siasa za tumbo Mayala.
 
Kuna nafasi kumi za rais kuteua wabunge, jitahidi Bhangosha
 
Wengi wanapenda empty promises, tena jama atawaambia "nipeni mingine 5 nimalizie nlichoanza"
 
Kwanza chadema nzima inawatukana wasukuma kwamba ni washamba,
Juzi Lisu kasema ule uwanja wa chato Magufuli kajenga kwa ajili yake na mamaake!
.
Watu wa kanda ya ziwa wanawachora tu, wamejikalia kimya majibu yao watayatoa oktoba.
Chocheeni tu ukabila,hii inamaana kuwa ccm mpya imefilisika according to JKN
 
Sasa mihemuko yote hii inatokana na Nini?
 
Mwenyezi Mungu na akurehemu mkuu Pascal Mayalla. Umeamua kuichagua njia ambayo kwako umeona ni sahihi.

Pole sana kwa kuchagua kuishi maisha ya kinafiki kupitia chama chako cha CCM Natambua fika njaa haina baunsa! Hivyo hukuwa na namna.

Uteuzi mwema kutoka kwa Mwana Kanda ya Ziwa mwenzako.
 
People have been deprieved of their rights and wellbeing
 
Kutukana watu siyo vizuri lakini kwa hili Mayalla wewe ni mpuuzi!
 
Utuache,sisi kila mmoja anajua wa kumpigia kura,hizo tangibovu sijui vizibo kaa navyo mwenyewe
 
Rubbish.. Nani kakudanganya kuwa ccm inakubalika huku kanda ya ziwa? Huku bila wizi hata ubunge ccm hawapati
 
Paschal unaporomoka braza..hii sio level yako ...!
Unasema mgombea wako Ana sifa ya ushoga...hivi like alichokuwa anakifanya Ni ushoga....pale alikuwa anafanya uzinzi!
...na mwanamke ambaye sio mke wake!
Mbona unamuonea ingia xvideo uone jinsi Askofu alivokuwa anawajibika kikamilifu kwa kondoo wake!
 
Nimeipenda hii hoja, umechambua vizuri bila hata tusi, Kwa kuwa matusi na kejeli hazitusaidii kitu

Heko mkuu
 
Rubbish.. Nani kakudanganya kuwa ccm inakubalika huku kanda ya ziwa? Huku bila wizi hata ubunge ccm hawapati
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Mkuu, Mimi Niko huku mkuu, wakazi wa huku hulaani Sana tarifa yoyote isiyomtaja Magufuli Wao, na wewe unasemaje?
 
Nafikiri tusijione sisi wamikoa mingine ni bora sana kuliko watu wa Chato. Kwani Arusha au Mwanza wenye viwanja vya ndege walihonga nini serikalini? Issue ya maendeleo ni haki ya watanzania wote . Mkuu usiwe biased kiasi hicho kwa kufikiri wewe mkoa unakotoka ndo wananchi bora Tanzania.
 
Lisu ndiyo mkombozi wa kutufuta machozi watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…