cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapana aisee, 42 midogo. Huyu ni jika moja na kina Kigwangala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapana aisee, 42 midogo. Huyu ni jika moja na kina Kigwangala
Nikweli,Yanga alikuja kutafuta maisha kama ndugu yenu ManaraMwenye mapenzi makubwa na Simba SC mpk leo....
Umeona eee mtani hahahaNikweli,Yanga alikuja kutafuta maisha kama ndugu yenu Manara
Muongo huyu, mwaka 2001 alicheza timu ya taifa under 19, huyu kwa sasa ana miaka 42 Nina uhakika.Njooni tumpongeze na kumtakia heri na fanaka Emanuel Arnold Okwi kwa kutimiza miaka 32 juzi.
Huyu ni mmoja ya wachezaji bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi yetuView attachment 3188574
Alicheza simba akiwa na miaka9Huo ni umri wa uwanjani, na pia kwenye hati yake ya kusafiria. Atuambie kwanza umri wake wa kweli wa kuzaliwa ili tumpongeze.
Hapana, mwaka 2001 alicheza timu ya taifa U19, kwa sasa ana 42 minimum.Ameanza kucheza Tz 2010 akiwa na miaka 19. Jumlisha miaka 14 mbele inakuwa 33.
Alisajiliwa Simba akiwa 18 mwaka 2010Okwi ahache uongo, ana anza kucheza Simba mm nikiwa darasa la 5 leo hii naikimbiza 30 yeye bado tu yuko 32?
Alikuwa 18Ameanza kucheza Tz 2010 akiwa na miaka 19. Jumlisha miaka 14 mbele inakuwa 33.
Huyu atakuwa mtoto kweli unaona anaongea utoto tuView attachment 3190240
Kupangua Gia kupo kila Kona.
45.Njooni tumpongeze na kumtakia heri na fanaka Emanuel Arnold Okwi kwa kutimiza miaka 32 juzi.
Huyu ni mmoja ya wachezaji bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi yetuView attachment 3188574
Heri ya Mwaka mpya mtani 🙏Umeona eee mtani hahaha
Na kwako pia mtani...Heri ya Mwaka mpya mtani 🙏
Unawajua wachezaji wangapi walioaminiwa kuanza timu ya wakubwa na timu kubwa hapa East Africa wakiwa na umri huo?Ameanza kucheza Tz 2010 akiwa na miaka 19. Jumlisha miaka 14 mbele inakuwa 33.