Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MzizeUnawajua wachezaji wangapi walioaminiwa kuanza timu ya wakubwa na timu kubwa hapa East Africa wakiwa na umri huo?
Utamtaja mmoja tu. Samata
Huyu anachezea 44Njooni tumpongeze na kumtakia heri na fanaka Emanuel Arnold Okwi kwa kutimiza miaka 32 juzi.
Huyu ni mmoja ya wachezaji bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi yetuView attachment 3188574
Nipo Primary jamaa anacheza Simba kwamba alianza mpira na miaka 8 auNjooni tumpongeze na kumtakia heri na fanaka Emanuel Arnold Okwi kwa kutimiza miaka 32 juzi.
Huyu ni mmoja ya wachezaji bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi yetuView attachment 3188574
😹😹😹Eti okwi ni mdogo wangu 😂🤣
Ngoja aanze kucheza lakini soon mwili utaanza kuisaliti akili.😹😹😹
Miaka inaenda kisengere nyuma, sura imemsaliti.!!