Njooni tumpongeze na kumtakia heri na fanaka Emanuel Arnold Okwi kwa kutimiza miaka 32 juzi.
Huyu ni mmoja ya wachezaji bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi yetuView attachment 3188574
Njooni tumpongeze na kumtakia heri na fanaka Emanuel Arnold Okwi kwa kutimiza miaka 32 juzi.
Huyu ni mmoja ya wachezaji bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi yetuView attachment 3188574
Ngoja aanze kucheza lakini soon mwili utaanza kuisaliti akili.
Akili inataka ukimbie speed hii, upige mpira hivi, ufanye turn ya namna hii, lakini mwili unagoma.
Hapo ndio mwisho wa mpira.