Stoneboy
Senior Member
- Apr 4, 2019
- 197
- 310
Hapa ndio nimepata maana ya hii katuni maana niliiona nikakosa majibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndio nimepata maana ya hii katuni maana niliiona nikakosa majibu
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kufunguliwa kesi mpya.
Sabaya amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatano Juni Mosi saa 11:40 asubuhi.
--UPDATES--
Kuna jitu liko motoni sasa kwa kutoa roho za watu wasio na hatiaFanya vyote ila usitoe roho ya mtu
Bora kupoteza hirizi kuliko kufiwa na mgangaNdiyo tatizo la kumtegemea binadamu, badala ya kumtegemea Mungu aliyekuumba.
Matokeo yake ndiyo haya, yanayomkumba Ole Sabaya[emoji3064]
Bado mwenzio anasulibiwa tu,sijui hata kama utajitolea kumtetea 🤔Watafungua kesi za mchongo 100 na atawashinda zote
Matumizi mabaya ya ofisi hutoki mzee kuhama wilaya moja kwenda ingine nakupiga watu kuibaWatafungua kesi za mchongo 100 na atawashinda zote
Hakuna kuingiliwa anapaswa ajue kuwa uovu haulipi🚶Mh.aingilie kati kumnusuru huyu kijana kwenye hili sakata kuna mkono wa mtu hapa sio bure na bila shaka ni yule aliyetoka majuzi.
Huko Dar watamwacha kweli. Mwenzake ajiandae.Na bado kuna kesi mbili za ubakaji ziko mbioni
Itaje hiyo kesi mpya.Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kufunguliwa kesi mpya.
Sabaya amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatano Juni Mosi saa 11:40 asubuhi.
--UPDATES--