mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Ulikuwa umemuaji wewe?zote atashinda na kulipwa marupurupu lukukiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa umemuaji wewe?zote atashinda na kulipwa marupurupu lukukiiii
Wabongo tunawajua kwa roho mbaya mko vizuri lakini kesi zote atashinda jitahidini tuNa bado kuna kesi mbili za ubakaji ziko mbioni
Na huko kudunda kwa Mbowe ndio kunakomdundisha Sabaya pia.Huyu bwana mdogo Ole Sabaya ni kesi juu ya kesi sijui mateso hayo yatamwisha lini
Mstaafu mwenzake mh Mbowe anadunda tu mtaani
Hai inatisha kwa kweli
Hizo kesi zote zitashindwa.
Nikikumbuka alivyokuwa anakuja pale SG Hoteli na mademu 7 namuhurumia sana, sasa hivi atakuwa anapiga punyetoNdiyo tatizo la kumtegemea binadamu, badala ya kumtegemea Mungu aliyekuumba.
Matokeo yake ndiyo haya, yanayomkumba Ole Sabaya🥺
Safi sn afungwe mileleAliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kufunguliwa mashitaka mengine yanayomkabili, leo Jumatano Juni Mosi, 2022
Sabaya amefikishwa Mahakamani hapo Sa 11:40 Asubuhi.
--UPDATES--
Ni hatari snAisee,Ujambazi haulipi
Anapaishwa kwenda wapi?Kadri wanavyomuandama na ndivyo wanavyompaisha kwa siku zijazo!
Hao watu wawili hakuna namna unaweza wafananisha kwani wanatofautiana Pakubwa sana.Huyu bwana mdogo Ole Sabaya ni kesi juu ya kesi sijui mateso hayo yatamwisha lini
Mstaafu mwenzake mh Mbowe anadunda tu mtaani
Hai inatisha kwa kweli
Mambo darling[emoji3059]Fanya vyote ila usitoe roho ya mtu
Humu duniani kila mtu anawafuasi wake hata akiwa kibakaWatafungua kesi za mchongo 100 na atawashinda zote