Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pengine huo ushahidi tunao ona ushahidi sio ushahidi wa mahakamani uno faha... bora wamuachie huruUshahidi wa kumtia Sabaya hatiani upo wa kila aina, kuanzia audio, mpaka video CCTV Camera, sijui hao TAKUKURU wanatafuta nini kisichoonekana.
aiseeeeeKwahiyo 2045 atakayechaguliwa naye akiwa genge la akina Sabaya anaweka ndani akina Hamduna.
Tunaenda wapi?
Si " Imeandikwa"
Kisasi ni chake Bwana atalipa?
mkuu unaogopa akienda mahakamani atashinda?We chawa wa Sabaya..Usifundishe watu kufanya kazi.Vipi lile group lenu la whatsap la kumtetea bado lipo hai au mlishaleft?
Jidanganye pumbavu wewe hujui kituSabaya yuko uraiani anakula raha.
Ni wajinga tu ndio wanaamini Sabaya yuko lockup
Muombe DPP aidhinishe apelekwe mahakamani. Hujui takukuru hawapeleki mtuhumiwa mahakamani mpaka wapate idhini ya DPP.Kamanda Hamduni leo ni siku ya sita(6) toka uthibitishe kumkamata Olesabya na wenzie kwa tuhuma zisizo julikana maana hazijawekwa wazi kabisa...... kwa tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali dhidi ya Olesabaya ... tulitegemea hadi sasa ameshafikishwa mahakamani lakini si kukaa mahabusu...
Kwakuwa zimeshapita siku zaidi ya tatu ni wazi hakuna mlichonacho dhidi ya Sabaya na pengine watu wameshindwa kutoa ushahidi wa kilicho kuwa kinaongelewa na watu...... ni vyema akaachiwa huru msiogope kusema maana Mama kasema wazi msiogope kuachana na case ambazo hazina ushahidi.
Takukuru mnavyomchelewesha Olesabya kumfikisha mahakamani mnategeneza mianya ya kumbabikia case maana kwa tuhuma zilizokuwa zinatolewa dhidi ya Sabaya inakuwaje hadi sasa hamjamfikisha mahakamani na watu wanasema wana ushahidi ?
Mnakwama wapi? basi muachieni huru.
Tamko la mkurugenzi wa Takukuru
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani.!
Kamanda Hamduni leo ni siku ya sita(6) toka uthibitishe kumkamata Olesabya na wenzie kwa tuhuma zisizo julikana maana hazijawekwa wazi kabisa. Kwa tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali dhidi ya Ole Sabaya tulitegemea hadi sasa ameshafikishwa mahakamani lakini si kukaa mahabusu...
Kwakuwa zimeshapita siku zaidi ya tatu ni wazi hakuna mlichonacho dhidi ya Sabaya na pengine watu wameshindwa kutoa ushahidi wa kilicho kuwa kinaongelewa na watu. Ni vyema akaachiwa huru msiogope kusema maana Mama kasema wazi msiogope kuachana na case ambazo hazina ushahidi.
Takukuru mnavyomchelewesha Ole Sabya kumfikisha mahakamani mnategeneza mianya ya kumbabikia case maana kwa tuhuma zilizokuwa zinatolewa dhidi ya Sabaya inakuwaje hadi sasa hamjamfikisha mahakamani na watu wanasema wana ushahidi?
Mnakwama wapi? basi muachieni huru.
Tamko la mkurugenzi wa Takukuru
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani!
Hahaha haha! JamaniSabaya anatakiwa avunjiwe yai hapo nyuma
Undercover kwani kesi ya forgery alimalizaje? pia hiyo ifufuliweTaratibu ndugu,wacha atulie ndani aone utamu wa kukaa lock up,iwe fundisho kwa viongozi wengine wanaopenda kuwaweka raia lock up kwa sababu zisizo za lazima.
Wapinzani waliwekwa sana ndani bila sababu za msingi,kipande kimegeuka.
Hivi kumbe mtoa mada ndo mke wa Sabaya!! ShabashWewe ni make au mchepuko wake? Yaani siku chache tu hizo unahemkwa na genye! Akihukumiwa miaka utatubakia vivulana vya shule!
Unafikiri kazi ya uchunguzi ni ya kuendea mbio Kama kula ugali na mlenda? Kwa taarifa yako uchunguzi wa bwanako huyo waweza kufanywa mwaka mzima na huna kitu utawaambia takukuru mpya wakuelewe!
Sasa huoni hapo bado huna uhuru wako? Au kisa uliona AC mzee baba?Niliunganishwa tu kama shahidi .....mchana fresh tu unakaa pale reception unavwatch tv kunabwatu wanahojiwa hata mwezi mzima....aibu wakichukua cm yako duuuuu wana retreave sms zako zoooote miaka 10 wanasoma kila kitu hakuna siri.....aseeee
Hatumuachii huyu jamaa ni mpumbavu Sanaaiseeeee
Achana na Huyo dogo hajui kitu anawachota hapaSasa huoni hapo bado huna uhuru wako? Au kisa uliona AC mzee baba?
Aisee ni nzito sana na inabidi ajipange kwa kuwa na wanasheria wa kiwango cha juu.Hatumuachii huyu jamaa ni mpumbavu Sana
Anatuhuma nzito Sana nyie hamuwez kuelewa
Ishakula kwake muda mrefu Sana tulie muone mchezoRais wa sasa ni jinsia ya kike. Kama hizi tuhuma za ubakaji ni za kweli kuhusu wanawake basi Sabaya na marafiki zake are in for a big trouble.
Rais ndio mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, anachokijua ni cha uhakika zaidi.
Pata lain ya uwakala huko ulipo kwa majina yako yaan
Mpesa
Tigopesa
Airtelmoney
Halotel
Malipo baada ya kazi njoo pm
Hawez chomoa mzee hii ngoma ni nzito Sana imemuelemea mnooAisee ni nzito sana na inabidi ajipange kwa kuwa na wanasheria wa kiwango cha juu.
Alilia sana siku ya kumuaga JPM ni kama alikuwa amegundua kuwa siku za kutamba zimeisha.Ishakula kwake muda mrefu Sana tulie muone mchezo
Huyu dogo ni mpumbavu Sana
Sheria itachukua mkondo wake