Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe inauma eegh? Hahahaha wacha wavune walichokipanda!Kamanda Hamduni leo ni siku ya sita(6) toka uthibitishe kumkamata Olesabya na wenzie kwa tuhuma zisizo julikana maana hazijawekwa wazi kabisa...... kwa tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali dhidi ya Olesabaya ... tulitegemea hadi sasa ameshafikishwa mahakamani lakini si kukaa mahabusu...
Kwakuwa zimeshapita siku zaidi ya tatu ni wazi hakuna mlichonacho dhidi ya Sabaya na pengine watu wameshindwa kutoa ushahidi wa kilicho kuwa kinaongelewa na watu...... ni vyema akaachiwa huru msiogope kusema maana Mama kasema wazi msiogope kuachana na case ambazo hazina ushahidi.
Takukuru mnavyomchelewesha Olesabya kumfikisha mahakamani mnategeneza mianya ya kumbabikia case maana kwa tuhuma zilizokuwa zinatolewa dhidi ya Sabaya inakuwaje hadi sasa hamjamfikisha mahakamani na watu wanasema wana ushahidi ?
Mnakwama wapi? basi muachieni huru.
Tamko la mkurugenzi wa Takukuru
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani.!
Walinzi nao walipewa shavu kulawiti wanaokamatwa pia kula mademu wanaowachukua club.....lao moja haoPindi ananituma niwakamate wasichana waliotajwa sikujua Mahusiano Wala ahadi zao za awali, nakiri kuwakamata na kuwapeleka kwake,Kuhusu kulawiti siwezi kutoa ushahidi maana sikuwa Naye ndani"
Denis Mlinzi wa SABAYA Ambaye yupo chini ya TAKUKURU tangu 25 May 2021 kwa Mahojiano
Ulipiga Bei gani??Mmmmm hiyo mahabusu ungejua acha tu ina AC na makochi....ni chumba tu cha kawaida mimi niliwahi kuhojiwa week nzima kama uko home tu ila sasa ukienda kisutu ukakosa dhamana ndio umeisha
Kamanda Hamduni leo ni siku ya sita(6) toka uthibitishe kumkamata Olesabya na wenzie kwa tuhuma zisizo julikana maana hazijawekwa wazi kabisa...... kwa tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali dhidi ya Olesabaya ... tulitegemea hadi sasa ameshafikishwa mahakamani lakini si kukaa mahabusu...
Kwakuwa zimeshapita siku zaidi ya tatu ni wazi hakuna mlichonacho dhidi ya Sabaya na pengine watu wameshindwa kutoa ushahidi wa kilicho kuwa kinaongelewa na watu...... ni vyema akaachiwa huru msiogope kusema maana Mama kasema wazi msiogope kuachana na case ambazo hazina ushahidi.
Takukuru mnavyomchelewesha Olesabya kumfikisha mahakamani mnategeneza mianya ya kumbabikia case maana kwa tuhuma zilizokuwa zinatolewa dhidi ya Sabaya inakuwaje hadi sasa hamjamfikisha mahakamani na watu wanasema wana ushahidi ?
Mnakwama wapi? basi muachieni huru.
Tamko la mkurugenzi wa Takukuru
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani.!
Niliunganishwa tu kama shahidi .....mchana fresh tu unakaa pale reception unavwatch tv kunabwatu wanahojiwa hata mwezi mzima....aibu wakichukua cm yako duuuuu wana retreave sms zako zoooote miaka 10 wanasoma kila kitu hakuna siri.....aseeeeUlipiga Bei gani??
Mwache apambane na hali yake. Umri mdogo, cheo kidogo, halafu anatenda mambo ya wachawiNimesikia wamewakamata na mabaunsa wake...Takukuru inawashikilia mabaunsa kwa tuhuma za rushwa za boss wao? Mbona kama kuna siasa zinaendelea.
Hutaki kusema kweli Ila ulipiga mkuu hakuna shahidi anahojiwa akiwa mahabusu Kwa siku kumi.Niliunganishwa tu kama shahidi .....mchana fresh tu unakaa pale reception unavwatch tv kunabwatu wanahojiwa hata mwezi mzima....aibu wakichukua cm yako duuuuu wana retreave sms zako zoooote miaka 10 wanasoma kila kitu hakuna siri.....aseeee
bona unaongea tu ya saa baya na wale wana chadema na wengine ambao wako ndani toka mwaka jana kwa kesi za kubadikiwa? au wewe mulikuwa munafanya ujambazi na ole saa bayakwa hiyo tusipiganie haki tena kwa wote ......?
Inaonesha uko ndaniPindi ananituma niwakamate wasichana waliotajwa sikujua Mahusiano Wala ahadi zao za awali, nakiri kuwakamata na kuwapeleka kwake,Kuhusu kulawiti siwezi kutoa ushahidi maana sikuwa Naye ndani"
Denis Mlinzi wa SABAYA Ambaye yupo chini ya TAKUKURU tangu 25 May 2021 kwa Mahojiano
Mabaunsa watatumia plea bargain watakubali makosa ili Bosi wao aende na majiHao mabaunsa ni nyenzo muhm sana ktk ushahidi wowote coz wao ndio walikuwa wanapokea amri toka kwake na kutekeleza matakwa ya boss so ni sahihi kabisa kukamatwa kwao.
Asiyefunzwa na babaye, hufunzwa na ulimwengu. Mwache yupo kwenye mafunzo!!Kamanda Hamduni leo ni siku ya sita(6) toka uthibitishe kumkamata Olesabya na wenzie kwa tuhuma zisizo julikana maana hazijawekwa wazi kabisa...... kwa tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali dhidi ya Olesabaya ... tulitegemea hadi sasa ameshafikishwa mahakamani lakini si kukaa mahabusu...
Kwakuwa zimeshapita siku zaidi ya tatu ni wazi hakuna mlichonacho dhidi ya Sabaya na pengine watu wameshindwa kutoa ushahidi wa kilicho kuwa kinaongelewa na watu...... ni vyema akaachiwa huru msiogope kusema maana Mama kasema wazi msiogope kuachana na case ambazo hazina ushahidi.
Takukuru mnavyomchelewesha Olesabya kumfikisha mahakamani mnategeneza mianya ya kumbabikia case maana kwa tuhuma zilizokuwa zinatolewa dhidi ya Sabaya inakuwaje hadi sasa hamjamfikisha mahakamani na watu wanasema wana ushahidi ?
Mnakwama wapi? basi muachieni huru.
Tamko la mkurugenzi wa Takukuru
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani.!