Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

Kamanda Hamduni leo ni siku ya sita(6) toka uthibitishe kumkamata Olesabya na wenzie kwa tuhuma zisizo julikana maana hazijawekwa wazi kabisa...... kwa tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali dhidi ya Olesabaya ... tulitegemea hadi sasa ameshafikishwa mahakamani lakini si kukaa mahabusu...

Kwakuwa zimeshapita siku zaidi ya tatu ni wazi hakuna mlichonacho dhidi ya Sabaya na pengine watu wameshindwa kutoa ushahidi wa kilicho kuwa kinaongelewa na watu...... ni vyema akaachiwa huru msiogope kusema maana Mama kasema wazi msiogope kuachana na case ambazo hazina ushahidi.

Takukuru mnavyomchelewesha Olesabya kumfikisha mahakamani mnategeneza mianya ya kumbabikia case maana kwa tuhuma zilizokuwa zinatolewa dhidi ya Sabaya inakuwaje hadi sasa hamjamfikisha mahakamani na watu wanasema wana ushahidi ?

Mnakwama wapi? basi muachieni huru.

Tamko la mkurugenzi wa Takukuru

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani.!
Kumbe inauma eegh? Hahahaha wacha wavune walichokipanda!
 
Pindi ananituma niwakamate wasichana waliotajwa sikujua Mahusiano Wala ahadi zao za awali, nakiri kuwakamata na kuwapeleka kwake,Kuhusu kulawiti siwezi kutoa ushahidi maana sikuwa Naye ndani"

Denis Mlinzi wa SABAYA Ambaye yupo chini ya TAKUKURU tangu 25 May 2021 kwa Mahojiano
Walinzi nao walipewa shavu kulawiti wanaokamatwa pia kula mademu wanaowachukua club.....lao moja hao
 
Mmmmm hiyo mahabusu ungejua acha tu ina AC na makochi....ni chumba tu cha kawaida mimi niliwahi kuhojiwa week nzima kama uko home tu ila sasa ukienda kisutu ukakosa dhamana ndio umeisha
Ulipiga Bei gani??
 
tungekuwa tunasaidiana kutetea haki kila siku tungefika mbali sana....wapo wengi sana zaidi ya miaka 5 wako mahabusu kesi zao zinapigwa danadana lakini hatujawahi kupaza sauti..
 
Kamanda Hamduni leo ni siku ya sita(6) toka uthibitishe kumkamata Olesabya na wenzie kwa tuhuma zisizo julikana maana hazijawekwa wazi kabisa...... kwa tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali dhidi ya Olesabaya ... tulitegemea hadi sasa ameshafikishwa mahakamani lakini si kukaa mahabusu...

Kwakuwa zimeshapita siku zaidi ya tatu ni wazi hakuna mlichonacho dhidi ya Sabaya na pengine watu wameshindwa kutoa ushahidi wa kilicho kuwa kinaongelewa na watu...... ni vyema akaachiwa huru msiogope kusema maana Mama kasema wazi msiogope kuachana na case ambazo hazina ushahidi.

Takukuru mnavyomchelewesha Olesabya kumfikisha mahakamani mnategeneza mianya ya kumbabikia case maana kwa tuhuma zilizokuwa zinatolewa dhidi ya Sabaya inakuwaje hadi sasa hamjamfikisha mahakamani na watu wanasema wana ushahidi ?

Mnakwama wapi? basi muachieni huru.

Tamko la mkurugenzi wa Takukuru

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani.!

Wakati yeye anawalaza watu ndani hakuwa anawabambikizia kesi? Nashangaa ilikuwaje mtu mwenye uwezo mdogo kama yule kupata madaraka na kuongoza watu. hakuna kitu kibaya kama dhuluma. Na huwa tunalipa hapa hapa duniani.
 
Nimesikia wamewakamata na mabaunsa wake...Takukuru inawashikilia mabaunsa kwa tuhuma za rushwa za boss wao? Mbona kama kuna siasa zinaendelea.
Mwache apambane na hali yake. Umri mdogo, cheo kidogo, halafu anatenda mambo ya wachawi
 
Niliunganishwa tu kama shahidi .....mchana fresh tu unakaa pale reception unavwatch tv kunabwatu wanahojiwa hata mwezi mzima....aibu wakichukua cm yako duuuuu wana retreave sms zako zoooote miaka 10 wanasoma kila kitu hakuna siri.....aseeee
Hutaki kusema kweli Ila ulipiga mkuu hakuna shahidi anahojiwa akiwa mahabusu Kwa siku kumi.
 
Pindi ananituma niwakamate wasichana waliotajwa sikujua Mahusiano Wala ahadi zao za awali, nakiri kuwakamata na kuwapeleka kwake,Kuhusu kulawiti siwezi kutoa ushahidi maana sikuwa Naye ndani"

Denis Mlinzi wa SABAYA Ambaye yupo chini ya TAKUKURU tangu 25 May 2021 kwa Mahojiano
Inaonesha uko ndani
 
Hao mabaunsa ni nyenzo muhm sana ktk ushahidi wowote coz wao ndio walikuwa wanapokea amri toka kwake na kutekeleza matakwa ya boss so ni sahihi kabisa kukamatwa kwao.
Mabaunsa watatumia plea bargain watakubali makosa ili Bosi wao aende na maji
 
Kamanda Hamduni leo ni siku ya sita(6) toka uthibitishe kumkamata Olesabya na wenzie kwa tuhuma zisizo julikana maana hazijawekwa wazi kabisa...... kwa tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali dhidi ya Olesabaya ... tulitegemea hadi sasa ameshafikishwa mahakamani lakini si kukaa mahabusu...

Kwakuwa zimeshapita siku zaidi ya tatu ni wazi hakuna mlichonacho dhidi ya Sabaya na pengine watu wameshindwa kutoa ushahidi wa kilicho kuwa kinaongelewa na watu...... ni vyema akaachiwa huru msiogope kusema maana Mama kasema wazi msiogope kuachana na case ambazo hazina ushahidi.

Takukuru mnavyomchelewesha Olesabya kumfikisha mahakamani mnategeneza mianya ya kumbabikia case maana kwa tuhuma zilizokuwa zinatolewa dhidi ya Sabaya inakuwaje hadi sasa hamjamfikisha mahakamani na watu wanasema wana ushahidi ?

Mnakwama wapi? basi muachieni huru.

Tamko la mkurugenzi wa Takukuru

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani.!
Asiyefunzwa na babaye, hufunzwa na ulimwengu. Mwache yupo kwenye mafunzo!!
 
Back
Top Bottom