Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

Pumbavu kabisa siku sita tu nazo siku wao mbona waliwaweka watu miaka 6 ndani bila ushahidi.
Kama kweli yupo ndani akae miaka
 
Aisee! lakini kweli inawezekana kabisa hata zile cctv footage zilikuwa ni za kugushi asee wanamsingizia kabisa huyo jamaa!
 
...hili se.nge naskia lilikua linaenda the don arusha linapora wake za watu Kwa kutumia mabaunsa...Yani kudadeki lingenikuta Mimi..ningewapiga lenyewe na watu wake na kuwapora silaha...lilikutana na wanaume dhaifu.
Ningeyakata kungfu za ukweli ....na kuyapora silaha...wa tz waoga Sana...jitu linaiba hotel live...linapora watu hela..linapora wake za watu..wao wanaliacha Tu....hapana aisee..Mimi hata nikikutana nalo Leo nalichapa ipasavyo...sitojali...ningelikata mbo.ro lake la kimasai kudadeki ..
 
Acha akae ndani,unaharaka gani?,Jambazi kama huyu hawezi kuachiwa kirahisi hivyo
 
We chawa wa Sabaya..Usifundishe watu kufanya kazi.Vipi lile group lenu la whatsap la kumtetea bado lipo hai au mlishaleft?
 
Kamanda Hamduni leo ni siku ya sita(6) toka uthibitishe kumkamata Olesabya na wenzie kwa tuhuma zisizo julikana maana hazijawekwa wazi kabisa...... kwa tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali dhidi ya Olesabaya ... tulitegemea hadi sasa ameshafikishwa mahakamani lakini si kukaa mahabusu...

Kwakuwa zimeshapita siku zaidi ya tatu ni wazi hakuna mlichonacho dhidi ya Sabaya na pengine watu wameshindwa kutoa ushahidi wa kilicho kuwa kinaongelewa na watu...... ni vyema akaachiwa huru msiogope kusema maana Mama kasema wazi msiogope kuachana na case ambazo hazina ushahidi.

Takukuru mnavyomchelewesha Olesabya kumfikisha mahakamani mnategeneza mianya ya kumbabikia case maana kwa tuhuma zilizokuwa zinatolewa dhidi ya Sabaya inakuwaje hadi sasa hamjamfikisha mahakamani na watu wanasema wana ushahidi ?

Mnakwama wapi? basi muachieni huru.

Tamko la mkurugenzi wa Takukuru

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani.!
Kamanda Hamduni leo ni siku ya sita(6) toka uthibitishe kumkamata Olesabya na wenzie kwa tuhuma zisizo julikana maana hazijawekwa wazi kabisa...... kwa tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali dhidi ya Olesabaya ... tulitegemea hadi sasa ameshafikishwa mahakamani lakini si kukaa mahabusu...

Kwakuwa zimeshapita siku zaidi ya tatu ni wazi hakuna mlichonacho dhidi ya Sabaya na pengine watu wameshindwa kutoa ushahidi wa kilicho kuwa kinaongelewa na watu...... ni vyema akaachiwa huru msiogope kusema maana Mama kasema wazi msiogope kuachana na case ambazo hazina ushahidi.

Takukuru mnavyomchelewesha Olesabya kumfikisha mahakamani mnategeneza mianya ya kumbabikia case maana kwa tuhuma zilizokuwa zinatolewa dhidi ya Sabaya inakuwaje hadi sasa hamjamfikisha mahakamani na watu wanasema wana ushahidi ?

Mnakwama wapi? basi muachieni huru.

Tamko la mkurugenzi wa Takukuru

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani.!
Huyo jamaa kaingia cha kike..
 
...hili se.nge naskia lilikua linaenda the don arusha linapora wake za watu Kwa kutumia mabaunsa...Yani kudadeki lingenikuta Mimi..ningewapiga lenyewe na watu wake na kuwapora silaha...lilikutana na wanaume dhaifu.
Ningeyakata kungfu za ukweli ....na kuyapora silaha...wa tz waoga Sana...jitu linaiba hotel live...linapora watu hela..linapora wake za watu..wao wanaliacha Tu....hapana aisee..Mimi hata nikikutana nalo Leo nalichapa ipasavyo...sitojali...ningelikata mbo.ro lake la kimasai kudadeki ..
Kwa hiyo unasema " irudiwe" hukuwepo
 
Subiri Kuna kitu wanamfanyia huko ili akili irudi kwenye Factory setting
JamiiForums-1959247043.jpg
 
Kamanda Hamduni leo ni siku ya sita(6) toka uthibitishe kumkamata Olesabya na wenzie kwa tuhuma zisizo julikana maana hazijawekwa wazi kabisa...... kwa tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali dhidi ya Olesabaya ... tulitegemea hadi sasa ameshafikishwa mahakamani lakini si kukaa mahabusu...

Kwakuwa zimeshapita siku zaidi ya tatu ni wazi hakuna mlichonacho dhidi ya Sabaya na pengine watu wameshindwa kutoa ushahidi wa kilicho kuwa kinaongelewa na watu...... ni vyema akaachiwa huru msiogope kusema maana Mama kasema wazi msiogope kuachana na case ambazo hazina ushahidi.

Takukuru mnavyomchelewesha Olesabya kumfikisha mahakamani mnategeneza mianya ya kumbabikia case maana kwa tuhuma zilizokuwa zinatolewa dhidi ya Sabaya inakuwaje hadi sasa hamjamfikisha mahakamani na watu wanasema wana ushahidi ?

Mnakwama wapi? basi muachieni huru.

Tamko la mkurugenzi wa Takukuru

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani.!
Tulia wewe , hata wewe upo mawindoni
 
Wewe utakua ni miongoni mwa wahusika, unaogopa Ole Sabaaya atakutaja jina lako. Well, Well kaa mkao wa kuliwa kitenesi.

Halafu mbona Rugemarila na Singa Singa wazee wazima wamekaa mahabusu huu ni mwaka wa 6 unaenda, na wamevumilia. Yeye Ole Sabaaya kijana mwenye umri wa miaka 33 kukaa ndani siku 6 imekua nongwa.!!! Acheni wazimu.

Hebu mwacheni Kamanda Salum Hamduni afanye kazi zake taratiiibu na kwa weredi mbwa nyie. Uchunguzi hata ukichukua miaka 10, fresh tu, raia tutagharamia kwa kodi zetu.
 
Back
Top Bottom