Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao mabaunsa ni nyenzo muhm sana ktk ushahidi wowote coz wao ndio walikuwa wanapokea amri toka kwake na kutekeleza matakwa ya boss so ni sahihi kabisa kukamatwa kwao.Nimesikia wamewakamata na mabaunsa wake...Takukuru inawashikilia mabaunsa kwa tuhuma za rushwa za boss wao? Mbona kama kuna siasa zinaendelea.
Kwanza azitapike mali na pesa alizokwapua , then mahakamani KWA matuuma yake kibaoKamanda Hamduni leo ni siku ya sita(6) toka uthibitishe kumkamata Olesabya na wenzie kwa tuhuma zisizo julikana maana hazijawekwa wazi kabisa...... kwa tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali dhidi ya Olesabaya ... tulitegemea hadi sasa ameshafikishwa mahakamani lakini si kukaa mahabusu...
Kwakuwa zimeshapita siku zaidi ya tatu ni wazi hakuna mlichonacho dhidi ya Sabaya na pengine watu wameshindwa kutoa ushahidi wa kilicho kuwa kinaongelewa na watu...... ni vyema akaachiwa huru msiogope kusema maana Mama kasema wazi msiogope kuachana na case ambazo hazina ushahidi.
Takukuru mnavyomchelewesha Olesabya kumfikisha mahakamani mnategeneza mianya ya kumbabikia case maana kwa tuhuma zilizokuwa zinatolewa dhidi ya Sabaya inakuwaje hadi sasa hamjamfikisha mahakamani na watu wanasema wana ushahidi ?
Mnakwama wapi? basi muachieni huru.
Tamko la mkurugenzi wa Takukuru
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani.!
Mmeumia mbona Wapinzani wakikamatwa hampigi Kelele kuwa Waachiwe? Usiwafundishe KaziKamanda Hamduni leo ni siku ya sita(6) toka uthibitishe kumkamata Olesabya na wenzie kwa tuhuma zisizo julikana maana hazijawekwa wazi kabisa...... kwa tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali dhidi ya Olesabaya ... tulitegemea hadi sasa ameshafikishwa mahakamani lakini si kukaa mahabusu...
Kwakuwa zimeshapita siku zaidi ya tatu ni wazi hakuna mlichonacho dhidi ya Sabaya na pengine watu wameshindwa kutoa ushahidi wa kilicho kuwa kinaongelewa na watu...... ni vyema akaachiwa huru msiogope kusema maana Mama kasema wazi msiogope kuachana na case ambazo hazina ushahidi.
Takukuru mnavyomchelewesha Olesabya kumfikisha mahakamani mnategeneza mianya ya kumbabikia case maana kwa tuhuma zilizokuwa zinatolewa dhidi ya Sabaya inakuwaje hadi sasa hamjamfikisha mahakamani na watu wanasema wana ushahidi ?
Mnakwama wapi? basi muachieni huru.
Tamko la mkurugenzi wa Takukuru
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani.!
Wakuu wa wilaya walikuwa wanawaweka watu ndani wakijisikia kufanya hivyo hapa tunajifunza umuhimu wa katiba mpyaKamanda Hamduni leo ni siku ya sita(6) toka uthibitishe kumkamata Olesabya na wenzie kwa tuhuma zisizo julikana maana hazijawekwa wazi kabisa...... kwa tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa na watu mbali mbali dhidi ya Olesabaya ... tulitegemea hadi sasa ameshafikishwa mahakamani lakini si kukaa mahabusu...
Kwakuwa zimeshapita siku zaidi ya tatu ni wazi hakuna mlichonacho dhidi ya Sabaya na pengine watu wameshindwa kutoa ushahidi wa kilicho kuwa kinaongelewa na watu...... ni vyema akaachiwa huru msiogope kusema maana Mama kasema wazi msiogope kuachana na case ambazo hazina ushahidi.
Takukuru mnavyomchelewesha Olesabya kumfikisha mahakamani mnategeneza mianya ya kumbabikia case maana kwa tuhuma zilizokuwa zinatolewa dhidi ya Sabaya inakuwaje hadi sasa hamjamfikisha mahakamani na watu wanasema wana ushahidi ?
Mnakwama wapi? basi muachieni huru.
Tamko la mkurugenzi wa Takukuru
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani.!
Muache huyo. Amepaniki mkuuUmeelewa au umepanic bila kutumia akili? mahakama si ndiyo inafunga au dingi yako anafunga?
Kwa hiyo sukuma gang mwenzako ni mjinga?Sabaya yuko uraiani anakula raha.
Ni wajinga tu ndio wanaamini Sabaya yuko lockup
Wewe ni make au mchepuko wake? Yaani siku chache tu hizo unahemkwa na genye! Akihukumiwa miaka utatubakia vivulana vya shule!kwa hiyo wewe hutaki afikishwe mahakamani?
Siyo tuhuma za rushwa,ana genge lake la fujo na kuvamia watu ,hao mabaunsa nao ni sehemu ya hilo gengeNimesikia wamewakamata na mabaunsa wake...Takukuru inawashikilia mabaunsa kwa tuhuma za rushwa za boss wao? Mbona kama kuna siasa zinaendelea.
Hii tuhuma nzitoPindi ananituma niwakamate wasichana waliotajwa sikujua Mahusiano Wala ahadi zao za awali, nakiri kuwakamata na kuwapeleka kwake,Kuhusu kulawiti siwezi kutoa ushahidi maana sikuwa Naye ndani"
Denis Mlinzi wa SABAYA Ambaye yupo chini ya TAKUKURU tangu 25 May 2021 kwa Mahojiano
Alikuwa mgonjwa wa misambwanda 😂😂Pindi ananituma niwakamate wasichana waliotajwa sikujua Mahusiano Wala ahadi zao za awali, nakiri kuwakamata na kuwapeleka kwake,Kuhusu kulawiti siwezi kutoa ushahidi maana sikuwa Naye ndani"
Denis Mlinzi wa SABAYA Ambaye yupo chini ya TAKUKURU tangu 25 May 2021 kwa Mahojiano