Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

Jamanieeeeeee kuna wasabaya wengi kwenye halmashauri zetu...hawa ni wakurugenzi wateule..wana roho mby sana.....sabaya anaunafuu
 
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani.!
 
A
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Kamishna wa Polisi Salum Hamduni AMETHIBITISHA kuwa wanamshikilia aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwa maojiano tangu May 25 mwaka huu. Kamishna Hamduni amesema Sabaya hakukamatiwa Arusha kama vyombo mbalimbali vya habari vilivyoripoti, bali alikamatwa jijini Dar akiwa na watu wawili waliotambuliwa kuwa ni "mabaunsa" wake na wote wapo mahabusu kwa mahojiano. Amesema wanaendelea kuhojiwa na wakipatikana na kesi ya kujibu watafikishwa mahakamani.!
Aisee! Viongozi hapa mnapata funzo, na ni bado chama ni CCM siku wapinzani wakichukua nchi wale viongozi waliofnya kazi kinyume na taratibu za nchi nawaonea huruma.
 
Huyu jambazi afungwe ikiwezekana ni mpumbavu sana
Halafu kutwa mnatupigia kelele mnataka uwepo wa haki za binadamu, utawala wa sheria haki ya kusikilizwa...wakati hamuwezi kuyaishi muyapigiayo kelele. Hii ipo chini sana, mkuu.
 
Umeelewa au umepanic bila kutumia akili? mahakama si ndiyo inafunga au dingi yako anafunga?
Kumbe unalijua hilo kuwa mahakama ndiyo ina mamlaka ya haki kutoa hukumu, sasa imekuwaje tena kuita watu majambazi bila udhibitisho kisha kuamuru watu hao wafungwe!? Sasa kwa pamoja tujiulize umepanic bila kutumia akili ama umeelewa mwenzetu?!
 
Kumbe unalijua hilo kuwa mahakama ndiyo ina mamlaka ya haki kutoa hukumu, sasa imekuwaje tena kuita watu majambazi bila udhibitisho kisha kuamuru watu hao wafungwe!? Sasa kwa pamoja tujiulize umepanic bila kutumia akili ama umeelewa mwenzetu?!
Watafungwa bila kupelekwa mahakamani?
 
Sabaya ana mambo ya kitoto, kubiashara na serikali ni sawa na kupiga ngumi kwenye ukuta imara. Ukishavuliwa madaraka ni kujisalimisha tu.
 
Halafu kutwa mnatupigia kelele mnataka uwepo wa haki za binadamu, utawala wa sheria haki ya kusikilizwa...wakati hamuwezi kuyaishi muyapigiayo kelele. Hii ipo chini sana, mkuu.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza huyu TUJITEGEMEE ni nani? Kumbe na wewe umo! Pole sana na yanayokukumba baada ya mwendazake kuwaacha yatima. Jipige moyo ndugu yangu, Sabaya hakuwa peke yake...mko wengi. I feel your pain...!
 
Back
Top Bottom