Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

awajibishwe tuhuma zake hazina shaka juu ya utu wake
 
Ukiona gazeti kama hili habari yake kubwa miezi mitatu mfululizo ni Ole Sabaya tu tena kwa habari za uzushi, ujue muda si mrefu litatoka kwenye litapotea.
Mm mwenyew nashanga kila siku Ni hbr za sabay tu linaandika na unakuta CYO kweli nin mashaka na Hilo gazeti
 
Pay master wa wizara ya fedha ambaye ni mchaga amekwapua zaidi ya billioni 1 ndani ya miezi mitatu.

Doto James arejeshwe
 
Mimi inaniuma sana alivyoealswiti wale wadosi kasingizia wahujumu anaanza kuwapa adhabu kali mwisho kawabaka duuu mbaya sana inauma mnooo
tuliza pressure em tueleze vzuri ...
 
Once upon a time, jamaa alikuwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya...

Kweli hakuna marefu yasiyo na ncha...
 
Alafu Kuna jamaa alikuwa na account ya fb anajiita mtoto wa mkulima ndio alikuwa anampamba kweli Sabaya yaani, so Kuna siku nikakoment ovyo kanitishia kunisaka dunia nzima popote nilipo, nikajisemea hiiii veve naho🤣🤣🤣🏋️🏋️🏋️
 
Na ninasikitika kwamba Said Mwamwindi hajapata mrithi wa calibre yake hadi leo.

Sijui ni kwanini Said uliondoka na ule ujasiri wako? Maana wangekuwepo watu 10 tu wa aina yako pale Hai,na wakaamua kumvaa huyo 'Saa-mbaya' kwa pamoja, angelikuwa ameshakuwa mwenyeji wa Jiwe kule Jehanamu kitambo tu.
wananchi wanakuwa kama kondoo. mtu kama huyu mnashindwa hata kumroga awehuke
 
Mm mwenyew nashanga kila siku Ni hbr za sabay tu linaandika na unakuta CYO kweli nin mashaka na Hilo gazeti
Hao ujue wanaielewa taaluma yao vizuri.

Kwenye investigative journalism, wanafundishwa mwandishi akitoa report fulani anatakiwa afuatilie mpaka mwisho.

Wapo sahihi sana.
 
Mm mwenyew nashanga kila siku Ni hbr za sabay tu linaandika na unakuta CYO kweli nin mashaka na Hilo gazeti
Jenerali Ulimwengu aliishakosa sifa za kiuandishi. Ndio maana mwenzake aliamua kujistaafia zake Kilimanjaro na kuwa mkulima akamuachia gazeti afe nalo.
 
Back
Top Bottom