Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GoboreMwamwindi aliyetembeza mapanga kwa rc...?
Source: Hii habari na picha ni gazeti gani?Mei 13, 2021 Rais Samia Suluhu alimsimamisha Lengai Ole Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya na kuamuru uchunguzi dhidi yake. Zaidi soma Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya
Baada ya kusimamishwa kazi, iliripotiwa kuwa Ole Sabaya anapanga kutoroka nchini. Zaidi soma Ole Sabaya apanga kutoroka nchini
- Mtozi Alloyce Nyanda: Kuna watu wanamtumia Swai kumchafua Sabaya?
- Ole Sabaya hizi tuhuma za Wafanyabiashara wa Hotel ni nzito kwako, huu sio uongozi!
- RC Kilimanjaro Anna Mghwira alaani wahuni walioshambulia msafara wa Tundu Lissu
- Kilimanjaro: Waliohusishwa na utekaji wa watu na kujitambulisha kama Usalama wa Taifa watiwa mbaroni
- Mbowe: Ole Sabaya akiwa na gari lenye namba UN na silaha za moto aliongoza genge la wahalifu kwa lengo la kunidhuru na kuniua
View attachment 1800070
Picha: Raia Mwema
Mm mwenyew nashanga kila siku Ni hbr za sabay tu linaandika na unakuta CYO kweli nin mashaka na Hilo gazetiUkiona gazeti kama hili habari yake kubwa miezi mitatu mfululizo ni Ole Sabaya tu tena kwa habari za uzushi, ujue muda si mrefu litatoka kwenye litapotea.
Na ni Gerezani au Mochwari kabisa.Na afikishwe kunakostahili
Alikuwa na ulinzi mkaliUongo mtupu, alivyonyanyasa watu vile alipaswa kaburi lake liwe limeota nyasi mihula miwili
tuliza pressure em tueleze vzuri ...Mimi inaniuma sana alivyoealswiti wale wadosi kasingizia wahujumu anaanza kuwapa adhabu kali mwisho kawabaka duuu mbaya sana inauma mnooo
Kazi nzuriMagu angetawala hata miaka 10 tungepata kina Sabaya kama 20 hivi. Watatu tayari wapo, Makonda, Sabaya na Heri James.
Kesi zake hazina dhamanaNa afikishwe kunakostahili
Unataka kusema Ray C ni mkuu wa mkoa wa Mwanza, akitokea Mbeya!Bado rehema chalamila na happy, hawa siku yao yaja
wananchi wanakuwa kama kondoo. mtu kama huyu mnashindwa hata kumroga awehukeNa ninasikitika kwamba Said Mwamwindi hajapata mrithi wa calibre yake hadi leo.
Sijui ni kwanini Said uliondoka na ule ujasiri wako? Maana wangekuwepo watu 10 tu wa aina yako pale Hai,na wakaamua kumvaa huyo 'Saa-mbaya' kwa pamoja, angelikuwa ameshakuwa mwenyeji wa Jiwe kule Jehanamu kitambo tu.
Hao ujue wanaielewa taaluma yao vizuri.Mm mwenyew nashanga kila siku Ni hbr za sabay tu linaandika na unakuta CYO kweli nin mashaka na Hilo gazeti
Jenerali Ulimwengu aliishakosa sifa za kiuandishi. Ndio maana mwenzake aliamua kujistaafia zake Kilimanjaro na kuwa mkulima akamuachia gazeti afe nalo.Mm mwenyew nashanga kila siku Ni hbr za sabay tu linaandika na unakuta CYO kweli nin mashaka na Hilo gazeti
Ray c hanaga shida,Ni maneno na kukata kiuno tu.Na akikikata utadhani hana mfupa.Naonaga watu wanamuweka Chalamila kwenye kundi moja na kina Sabaya, kwanini? Chalamila naonaga ni kama comedian, sijawahi kuona shida ya Chalamila
Anaweza asiwe kwenye kundi lile lkn kwa maandiko yake ya kichatolism unaweza kuunganishwa naoJapokuwa huwa simwelewi PASCO lakini kumfananiaha na Sabaya kweli ni uonevu.