Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

Ahojiwe hata mwaka mmoja akiwa hukohuko ndani asitoke nje akaharibu ushahidi
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza huyu TUJITEGEMEE ni nani? Kumbe na wewe umo! Pole sana na yanayokukumba baada ya mwendazake kuwaacha yatima. Jipige moyo ndugu yangu, Sabaya hakuwa peke yake...mko wengi. I feel your pain...!
Mkuu achana naye huyo mtu wa kitengo changanyikiwa.
Sisi tulalishukuru jeshi, JWTZ, kwa kuiletea nchi heshima kwa kutetea katiba na Mama kuingia madarakani.
Wangeendekezwa hawa kina TUJITENGEMEE, ingekuwa chaos nchini.
 
Kwahiyo 2045 atakayechaguliwa naye akiwa genge la akina Sabaya anaweka ndani akina Hamduna.
Tunaenda wapi?
Si " Imeandikwa"
Kisasi ni chake Bwana atalipa?
Kwani hamduni kamuonea nani umesikia?
 
Kumbe unalijua hilo kuwa mahakama ndiyo ina mamlaka ya haki kutoa hukumu, sasa imekuwaje tena kuita watu majambazi bila udhibitisho kisha kuamuru watu hao wafungwe!? Sasa kwa pamoja tujiulize umepanic bila kutumia akili ama umeelewa mwenzetu?!
Huyu anatakiwa afungwe jiwe kubwa la kusagia shingoni mwake akatupwe ferry hata mahakamani asipelekwe ushahidi wa cctv upo
 

Nitafurahi sana mkiwatetea na masheikh wa UAMSHO kama ambavyo mnavyowatetea wanasiasa n.k. Ndio kwanza hajafikisha hata wiki huyu ndugu yenu mmeanza kelele zenu, UAMSHO wana 8 years na ushee huko gerezani lakini mnajifanya kusilent.


Acha mahakama itende haki, si tu kwa sabaya bali kwa wote., japo kwa masheikh hawakuwatendea haki mpaka wa leo, Allah atawalipa kwa dhuluma wanayofanya.
 
MKUU WA WILAYA ANATEMBEA NA MABAUNSA?
YEYE NIMENEJA WA CASINO.
INAKUWAJE M/KITI WAKAMATI YA ULINZI WILAYA asipewe ulinzi polisi?tena anaagiza tu niletee polisi OCD.
Kwa mazingira hayo SABAYA NI MHUNI WA MITAANI HAKUSTAHILI KUWA DC.
 
Mwamwindi ilikuwa ni jeuri ya kihehe, ', Mgaya siida' kwa waliofanya kazi na mhehe akikutamkia maneno haya jua yupo tayari kwa lolote na hatojutia maamuzi yake kamwe .
.
Kitendo cha kutoka Isimani hadi iringa mjini wakati huo njia ni vumbi, huku akiwa ameubeba mwili wa kleruu kwenye buti ni level nyingine ya ukatili

Inasemekana mwl nyerere alijaribu mara kadhaa Kumtaka akiri kosa ili apunguziwe adhabu , mwamwindi alikataa kata kata
 
Mwamwindi aliyetembeza mapanga kwa rc...?
Gobore !
Ila pia inasemekana kulikuwa na ugonvi wa mapenzi baina ya wawili hao , kuna tetesi kuwa kleruu alikuwa mtu wa mademu , na katika pitapita zake huko iringa mjini aliwahi kupita na mke wa mwamwindi , na mwamwindi alikuwa anafahamu hilo , ni vile wakuu wa mikoa wana nguvu na mamlaka ya kisheria
 

😂 Yeye mbona alikuwa anaweka watu ndani bila makosa afundishwe adabu ili ajue inakuwaje huko ndani mateso yanamrudia
 
Mbinyeni huko huko mpaka awaonyeshe lile panga alilotumia kukata masikio #FREESABAYA 🤸🐒🤣
 

Nani aliyekwambia kakoko kaachiwa wakati yupo ansnyea kopo....

Na sasa deals zao za mafuta zimeibuliwa...
Jiwe angeua hii nchi *****...
Fikiria miaka yote hiyo wameiba mafuta kiasi gani
 
Dah mwendazake alikuwa ni hatari
 
Rais wa sasa ni jinsia ya kike. Kama hizi tuhuma za ubakaji ni za kweli kuhusu wanawake basi Sabaya na marafiki zake are in for a big trouble.

Rais ndio mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, anachokijua ni cha uhakika zaidi.
Mkuu Kuna key witness Wa kuthibitisha haya??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…