Ole Sabaya amtaka OCD achunguze wanafunzi wa kiislamu waliochoma shule walitumwa na nani na kwa sababu zipi!

Ole Sabaya amtaka OCD achunguze wanafunzi wa kiislamu waliochoma shule walitumwa na nani na kwa sababu zipi!

Hizi siku9 zilizobakia tutaona mengi
Uchunguzi utaleta majibu tuu
 
Hapa sabaya anamlenga tu mbowebndio maana anasema kua awabembeleze.

Sabaya ni mtu atari sana,anataka mbowe asishinde kwa kila aina ya matukio.

Sabaya kaa ukijua kua wewe ni Binadamu kama binadamu wengine.
Wala sio hatari, ni mpuuzi anajilipua mwenyewe

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Hapa sabaya anamlenga tu mbowebndio maana anasema kua awabembeleze.

Sabaya ni mtu atari sana,anataka mbowe asishinde kwa kila aina ya matukio.

Sabaya kaa ukijua kua wewe ni Binadamu kama binadamu wengine.
Mbowe atashindwa kwa madudu yake mwenyewe hata yeye anajua na Wala wasimsimsingizie Sabaya wa watu..
Maendeleo hayana chama
 
Nishasemaga.matatzo ya muslim wamalize muslim...kila mtu na msalaba wake....kama wanachomeana shule u ategemea nn..hawatak elim dunia nyie mnawafos
 
Kwanini Mbowe anahusishwa/kutajwa?
Wanao tumia mattercho kufikiri ndio wanamhusisha mume wao Mbowe na kila baya nchini. Hata kule kusini Mikoroshoni wanatamani waseme Ni Mbowe ndio kawaleta watekaji.
 
Mwenyekiti wa saccos, safari hii umedakwa kila kona. Wanafunzi lazima wakutaje tu, maana najua mtu Mzalendo na mwadilifu hawezi fanya upuuzi huo.
Yaaaninunaiita chadema saccos wakati wakubwa zako hawalali Embu kaangalie clip za lisu kanda ya ziwa kanda naenda za juu kusini kanda ya kati, kanda ya ziwa Victoria , kanda ya kaskazini, kanda ya ,magharibi.... kwa sasa chama cha mchango ndo saccos ya wale wezi wa mbali za umma
 
Sabaya asipomtaje mbowe mje mniambie. Jamaa watashinikiza tu
 
Back
Top Bottom