Uchaguzi 2020 Ole Sabaya anategemewa na CCM kumng'oa Mbowe jimbo la Hai

Ole sabaya ni gaidi limejificha CCM. Mmewafunga masheikh wa uamisho mkamuacha sabaya uraiani. sabaya vurugu zote zinazotokea pale zinaratibiwa na yeye
Acha uongo wa kijinga kama angekua gaidi wewe ungekuepo hapa hadi sahizi? Unaongopa kwa faida ya nani?
 
Uongo na ukasuku
 
Hiyo ni ndoto yako, hat sie tuliemueka hapo tunajua, Ile sio size ya Mbowe, bali tuliamua kumuweka chakaramu Mmoja asiye na haya hapo hai, ili amsumbue na kumvunjia heshima Mbowe, na anatimiza kazi aliyotumwa.
Mbowe na wewe wote mnaakili sawa na watu wamewachoka
 

Nakusaidia kujua siasa za Kilimanjaro, Ni siasa za Chama na wananchi watapata nini. Kwa taarifa yako Mkoa wa Kilimanjaro ndio Mkoa ambao watu wenye umri zaidi ya miaka 45 , 80% wako CCM.

Hakuna mbunge wa ama CCM au upinzani anaeshinda kwa zaidi ya kura 65%. Kuna solid and patriots CCM members, na solid patriots Chadema. Wapenzi wa CCM kilimanjaro wana mapenzi ya kupitiliza, na Chadema pia.

Kwa hali ya kipesa patriots wa pande zote wanashindana lakini kwa leo hii Patriots wa CCM wana mizigo mikubwa. Idadi ya wazee inaendelea kupungua kila siku na vijana inaongezeka kila siku na ndio ushindi wa kura Chadema ( vijana ).

Neno msilo taka kusikia ni hili: Wenyeji na wakaazi wa kila siku Hai wa wanataka kuingia CCM , Ukweli wa pili: Uongozi wote wa Hai wa madiwani leo hii wapo CCM na karibu wote wameshinda kwa upande wa CCM.

Na uongozi wa mitaa yote leo hii Wilaya ya Hai upo CCM, na wengi wao 79% walikuwa viongozi Chadema. kwa hiyo CCM wanazo bunduki nyingi za mashambulizi kiuelekea kwa Mbowe.

Waliokuwa wakifanya kampeni ya kumuweka Mbowe madarakani leo wamehama. The grassroot mobilizers karibu wote, ama wako CCM au wako controlled na CCM. ( wakifanya kazi CCM wanalipwa, wakifanya kazi CHADEMA wanajitolea, na watani wangu kwa pesaaaaa, wamerogwa na hali huku imebana sana) huu ndio ukweli halisi.

Hii ndio hali halisi na kinyume chake nii kuwafurahisha wana JF.

Leo nipo hapa Machame napandisha watalii.

KWA KUJUA UKWELI UNATUFANYA SIASA ZETU TUNAENDESHA KWA UFAHAMU NA KWA MUONO WA ILIONYOOKA NA SAWA SAWA.
 
Yaani huyu Ole Mavi Mushi naona akili yake imejaa uchafuu..

Strike 1: Sabaya=Bashite,angalia matokeo ya Kigamboni!Rejection votes!

Strike 2: Mbowe kwa Hai ni Mungu,goodluck beating that!

Strike 3: Mbowe ni Michael Jordan of politics,Sabaya is a toddler in diapers compared to him!

What Sabaya will use?

Stealing votes?

Good luck with that too,Kilimanjaro sio Simiyu.....Muulize Davis Mosha,atakueleza vizuri!
 
Asante...kwanza Mbowe hajatokea milimani, kwao ni Lambo jirani kabisa na Machine Tools(Njiapanda ya Machame)all in all hakuna Ccm itakuja kutawala Hai mpaka dunia inaisha..
Mkuu unazungumza ukiwa wapi, hali ya hapa Machame ni lazima ifanyike kampeni ya kufa mtu mwaka huu. Vinginevyo tegemea matokeo tofauti. If you are from Machame please coma and fight for Mbowe hali sivyo mnavyoaminishwa watu.
 
Mkuu unazungumza ukiwa wapi, hali ya hapa Machame ni lazima ifanyike kampeni ya kufa mtu mwaka huu. Vinginevyo tegemea matokeo tofauti. If you are from Machame please coma and fight for Mbowe hali sivyo mnavyoaminishwa watu.
Mbowe must go
 
Maji utaita mma unazungumzia Mbowe wa 2010 katika siasa za 2020! Umechemka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…